Habari..
Kumekuwa na udanganyifu kwenye baadhi ya ndoa za kikristo. Kwa sheria na taratibu zao imeruhusiwa ndoa moja tu. (Nyingine zitafungwa ikiwa mwanandoa mmoja amefariki au ndoa kubatilishwa na kanisa)
Nimeshahudia kesi za watu watatu wakristo, mmoja alifunga ndoa na mwanamke ambaye alishafunga ndoa mkoani Kilimanjaro na baadae kuamia Dar Es Salaam. Mwanamke alidanganya kuwa hakuwahi kuolewa. Baada ya kesi kuunguruma- ndoa ilibatilishwa.
Pia kuna ndoa mbili wanaume wamefunga ndoa mikoani (nje ya dar), baadae wakagundulika kuwa walishafunga ndoa.
Ushauri: ingekuwa vyema swala La ndoa lingewekwa kwenye mtandao. Taarifa za ndoa zingekuwa kama kwenye google sheet ili taarifa ziweze kuonekana katika makanisa. Wachungaji na mapadri wapewe access ya hiyo program ili kuondoa duplicate.
Kumekuwa na udanganyifu kwenye baadhi ya ndoa za kikristo. Kwa sheria na taratibu zao imeruhusiwa ndoa moja tu. (Nyingine zitafungwa ikiwa mwanandoa mmoja amefariki au ndoa kubatilishwa na kanisa)
Nimeshahudia kesi za watu watatu wakristo, mmoja alifunga ndoa na mwanamke ambaye alishafunga ndoa mkoani Kilimanjaro na baadae kuamia Dar Es Salaam. Mwanamke alidanganya kuwa hakuwahi kuolewa. Baada ya kesi kuunguruma- ndoa ilibatilishwa.
Pia kuna ndoa mbili wanaume wamefunga ndoa mikoani (nje ya dar), baadae wakagundulika kuwa walishafunga ndoa.
Ushauri: ingekuwa vyema swala La ndoa lingewekwa kwenye mtandao. Taarifa za ndoa zingekuwa kama kwenye google sheet ili taarifa ziweze kuonekana katika makanisa. Wachungaji na mapadri wapewe access ya hiyo program ili kuondoa duplicate.