Habari wana JF,
Kuna tabia imekuwa ya kawaida siku hizi - mtu anakupangia jinsi ya kutumia pesa zako. Ukihifadhi, unasemwa ni bahili. Ukipanga bajeti, unasemwa huna moyo wa kutoa. Ukikataa matumizi yasiyo na mpango, unasemwa una roho ngumu.
Lakini swali langu ni moja tu:
Kama unaona mimi ni...
Wanabodi,
Mwaka Huu 2026 JF Inatimiza Miaka 20!, tangu uwepo wake, tangu enzi zile za JamboForums.
Pia soma Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?
Pia unaweza kujikumbusha Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa JamiiForums...
Natoa wito, kwanza...
It was not a date, just a few minutes meeting. Mara ghafla anatokea msichana , mdada, mzuri hadi naogopa, huyu ni jini au ni malaika? Otea alikuwa ni nani kati ya hawa?
Miss Natafuta, Nakubusu , Evelyn Salt Jemima Mrembo, au @mamdenyi? Hapo hujakutana na FaizaFoxy, mtu mwenye maruhani wake...
Unakumbuka nini, tukio gani kila ukilikumbuka unaishia kucheka?
Vipi JF imekuletea michongo gani na connection ipi!
Umewahi kubahatika kuonana na member yoyote nje JF?
Unahisi miaka ya sahivi na miaka ile kuna utofauti gani hapa jukwaani.
Ulikuwa wapi kipindi kile ofisi za JF zinapigwa msako...
HAYA LAND HOV manyaunyau
GENTAMYCINE popoma
Binti wa zamani bibi kizee cha tulin
min -me bwashee
ELI COHEN myahudi
Lucas Mwashambwa chawa
Mshana Jr mtaalam
Shusha nyingine😁
Mwaka 2025 umeisha , ila hope utaanzia ulipoishia, vijana wangu Mungu awepe pumziko la milele pale mlipo ,na hukumu kwa mujibu ya matendo yenu hapa Duniani , najua niliwalea vizuri ,ila Mungu ndo anajua vizuri.
Nami kama baba yenu , na familia mwaka huu ,tutazika nguo zenu kama ishara ya...
Wakuu mwaka Jana nilikuja kuomba kukaribishwa lakini nilikataliwa kutokana na jina 'popobawa', lakini Leo nasema Popobawa Nimefika na Sina Nia mbaya na members.
Nikaribusheni popobawa.
Sina mengi ila nina mfano tu mdogo,
Mtu anakuambia "mpige huyo mtoto mchanga"
Kwa kawaida utashi uliozaliwa utakuambia hii sio vyema kabisa, tafakuri yako itasaidia usute nafsi yako thus utaacha kabisa kumpiga huyo mwana.
Lakini kuna huyu "great thinker" nafsi itamsuta lakini ataanza kwa...
Ndugu zangu wazalendo wa nchi hii, poleni na msiba mzito kwa kuondokewa na ndugu zetu waliouawa kinyama wakiwa wanapigania taifa lao.
Baada ya huo utangulizi naomba tuzipuuzie nyuzi zote za machawa wanaokejeli na kudhihaki damu za ndugu zetu zilizomwagwa kwa kupambania rasilimali zetu. Hawa...
Nashauri Mshana Jr akitangulia mbele ya haki tumjue mtu huyu muhimu Kwa hili jukwaa pendwa la JamiiForums. Nashauri aache wosia rasmi ili siku akitutoka basi tupate bahati ya kukijua hiki kichwa.
Mshana Jr ana mchango MKUBWA mno kwa JamiiForums na maisha ya wana JamiiForums. Nyuzi zake ndio...
1: PLAY BOY
2: MTU WA SYSTEM
3: MTU WA AMANI (CHILL BOY/CHILL GIRL)
4: MPENDA BATA
5: DADA WA MJINI
6: KAUKA NIKUVAE
7: NGUMI NJE NJE
8: PESA MAKARATASI
9: MZEE/MAMAA WA CHAI
10: CONFUSED
1: RAIS
2: WAZIRI MKUU
3: WAZIRI WA HABARI/MAWASILIANO
4: SPEAKER WA BUNGE
5: WAZIRI WA UTAMADUNI/SANAA/MICHEZO
6: MKUU WA T.I.S.S
7: IGP
8: WAZIRI WA FEDHA
9: MSHAURI WA RAIS
10: WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII
karibu ujipatie
ULTRAPODS MAX
wireless 5.3
IP4 waterproff
95 LED Digital Display
Noise cancelling
Hi-Res High Quality Sound
inarangi 4 blue,pink,white and black
BEI TSH 20000/= TU
huduma ya delivery inapatikana nchi nzima
kwa mawasiliano tupigie 0629535915
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.