wamarekani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Us department:'' Raia wamarekani ondokeni mara moja Cyprus sababu ya kiusalama

    Serikali ya marekani imewaambia raia wake wanaoishi Cyprus waondoke mara moja na wahame na mali zao kwasababu za kiusalama. Ina maana jumba bovu wanaachiwa wa Cyprus wenyewe?
  2. M

    Muungano umeshapitwa na wakati; Ulishinikizwa na Wamarekani na mabepari wakiogopa kuenea kwa ushawishi wa Urusi kuigeuza Zanzibar iwe kama Cuba

    Muungano uliingiwa kwa hofu, baada ya vita vya pili vya dunia kulikuwa kunanukia vita ya tatu Maandalizi ya kimya kimya ya vita ya tatu ilikuwa na pande mbili Mabepari - nchi kama Marekani, Uingereza, Ufaransa, n.k. wasoshalisti - mataifa makubwa kama Urusi na China waliokuwa wakieneza mfumo...
  3. Yoda

    Trump awaonya Wamarekani kutotumia Paracetamol, adai zinasababisha usonji(autism)

    Hili taifa kwa sasa linaongozwa na watu ajabu ajabu sana, yani Trump na Tanzania wa Afya/bush dokta RFK Jr sasa hivi ndio wako mstari wa mbele kutoa elimu ya afya. Sasa hivi wamekuja na kituko eti kwamba paracetamol zikitumiwa na wajawazito watoto wanazaliwa na usonji(autism)!
  4. The Burning Spear

    Wamarekani walimpiga chini Biden Kwa kukosa uwezo sisi tunashindwa nini?

    GT. Watanganyika kama tutaendelea kama ilivyo sasa tunakoelekea ni kubaya zaidi ya hapa tulipo. Dalili zote zimeshaonyesha kwamba namba moja hana uwezo wowote shida ipo wapi kumweka pembeni? Maono ya mzee wa msoga yameshatimia mambo tayari yashakuwa mabya saaana kwa hiyo hakuna budi akae...
  5. Mhafidhina07

    Hivi Wamarekani wanatumia sheria gani kuweka vikwazo nchi zinazopinga tawala za kisheria lakini wanashindwa kuwachukulia hatua Israel?

    Kuna double standard hata katika nchi ambazo mnaona kuna utawala wa kisheria,Mwenye mamlaka daima hawezi kufanana na wewe hata iweje.
  6. B

    Kumbe Likud alikuwa sahihi bana. Asilimia sabini ya wamarekani ni masikini. Ushahidi huu hapa chini

    Tena maneno ya mmarekani mwenyewe.
  7. Yoda

    Wamarekani walalamika uchawa mfano wa Korea Kaskazini katika utawala wa Trump

    Wengi wanaona hizi ni siasa mpya kabisa huko Marekani ambapo mawaziri na watumishi wa Serikali wanashinda wakimsifu Trump kwa sifa zilizopitiliza.
  8. Sigonella Island

    Wamarekani wanajisifu kwa Houth wameshindwa kuizamiza Carrier yao ila kwa sas haifai kwa matumizi

    Wamarekani hawapendi kuonekana wamefel watazua hata sababu za kijinga ili ionekane adui hajafanikiwa lakini ukija kwenye uhalisia ni kwamba US kapasuka.
  9. LIKUD

    Asilimia 70% ya wamarekani( USA) ni masikini. Takwimu hizi ni za ukweli?

    Haya si maneno yangu. Ni maneno ya 👇👇👇
  10. Echolima1

    Ijumaa kuu kwa wakristo!! Wahouth nao wameshirikishwa ijumaa kuu na wamarekani

    Jana ilikuwa Ijumaa kuu maelfu ya Wakristo tuliandamana kupitia Dolorosa mjini Jerusalem kukumbuka mateso ya Bwana wetu Yesu kristo. Tulipita njia ile aliyoipitia wakati ananda kusulubiwa Jana tuliadhimisha siku ambayo Yesu alisulubishwa—matembezi yake ya mwisho kupitia Yerusalemu, akiwa...
  11. Mbwichichi

    Nilimpoteza demu mkali kisa kutojua nyimbo na story za wamarekani na Netflix

    Nakumbuka mwaka 2017 nilipata nafasi fulani ya kwenda mahala kujifunza masuala ya ufugaji.Ilikua ni programe imeandaliwa na mahali pangu pa kazi. Tulivyofika Kule singida tulikutana watu kutoka mikoa tofauti,siku ya kwanza ilikua ni maalumu kwa ajili ya shopping ya vifaa vya yale mafunzo ambayo...
  12. Ricky Blair

    Yafahamu makundi ya wahamiaji Marekani wenye mafanikio makubwa sana wengine hata zaidi ya Wamarekani wazungu

    Hapa kuna makundi ya wahamiaji yenye mafanikio zaidi nchini Marekani, kulingana na kipato, elimu, na taaluma: 1. Wahindi wa Amerika • Kipato cha Kati cha Kaya: ~$150,000 (cha juu zaidi) • Elimu: ~79% wana shahada ya kwanza au zaidi • Taaluma: Sayansi ya kompyuta, tiba...
  13. Carlos The Jackal

    Rais Trump : Wamarekani Kuajiriwa au kupandishwa vyeo kwa kuzingatia Uwezo wako na sio Jinsia yako

    Njoo Bongo, Kuna mapambio Kila siku , Si Wanawake Si Wanaume wa bongo walioko vyaman wao wameamua kua machawa Pro Max . Na kweli bana,Uchawa Kwa Bongo unalipa. Wao wana msemo wao ukitaka kutoka lazima umsifie aliyetoka. Matokeo yake kuanzia majeshini, Mahakaman, Wizaran Bungeni ,Kila Mahali...
  14. kavulata

    Hotuba hii ya Wamarekani itafsiriwe katika lugha zote, inatuhusu wote,

    Hotuba hii JD Vance, Makamu wa Rais wa Marekani alikuwa anawaambia watu wa Ulaya lakini ukweli ni nchi zote za dunia hii na Tanzania ikiwemo, kifupi JD anawaambia viongozi wa Ulaya waache tabia ya kuwatenga, kuwaadhibu, kuwateka na kuwabambikia kesi raia wao wenye mawazo tofauti na yao, badala...
  15. Nkaburu

    "Mabingwa wa Dunia" ety "World Champs" Kwanini Wamarekani wanawaita mabingwa wa michezo yao mabigwa wa dunia?

    Katika ligi nyingi za michezo za Kimarekani, kama MLB Major League Baseball, NBA National Basketball Association, na NFL National Football League, timu zinazoshindana na wachezaji wake huitwa "Mabingwa wa Dunia"? Ukizingatia kuwa mashindano hayo yanajumuisha timu na wachezaji kutoka Marekani tu...
  16. Yoda

    Wachina wengi wanaamini nchi yao ni ya kidemokrasia, Wamarekani wengi zaidi wanaamini nchi yao(US) sio demokrasia!

  17. Mr Why

    Wamarekani wanalalamikia uongozi wa Trump angali wao wenyewe ndio waliomchagua wakiwa na akili timamu bila kushurutishwa

    Maumivu ya uongozi wa Trump yametokana na Wamarekani wenyewe kwasababu ya kumpa Trump uraisi Maana ya kupiga kura ni kumchagua kiongozi mwenye ueledi wa kuongoza Wananchi wake Trump ameshawahi kuwa raisi na mkaona impacts zake kama hakustahili kuwa raisi mlimpaje tena kura Trump amekuwa...
  18. U

    Mtoto wa Makamu wa Rais wamarekani J.D Vance awa kivutio kwa mamilioni ya watu duniani ni baada ya kusinzia wakati babake akiapishwa!

    Wadau hamjamboni
  19. D

    Wamarekani wamekuwa obsessed na app za mchina sasa

    Zimebaki siku tano hadi ban ya tiktok kuanza nchini Marekani lakini habari zinasema japo tiktok inajaribu kuwapeleka watuamiaji wake kwenye app yao nyingine inayoitwa lemonde wao wameamua kuanza kutumia app nyingine ya mchina inaitwa rednote ambayo ni kama mchanganyiko wa instagram, reddit na...
Back
Top Bottom