wakorofi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ChekoFagia

    Mbowe: Msitoke serikali mkafikiri CHADEMA ni wakorofi sio wakorofi, wameonewa

    Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema kelele za chama hicho si kwa sababu ya ubinafsi wa madaraka, bali wanataka kuijenga nchi pamoja.
  2. R

    Nyie watu wa JF nipe msaada, mbona mnakuwa wakorofi?

    Ni VPN gani naweza tumia kwenye desktop computer?
  3. Mfalme_wa_Nyika

    Kabila la Wameru ni watu wabinafsi na wakorofi sana

    Nakumbuka nilihamishwa kikazi kipindi fulani na kukaa katika wilaya ya Arumeru, halmashauri Meru, aloo sinawahi kukutana na sampuli la kabila hili la wameru aiseehawa jamaa kiboko!... Yaani wameru ni kabila la hovyo yaani wana tabia zakifala sana kuishi nao hawa jamaa inahitaji ubabe na akili...
  4. Sodoku

    Jamii ya Kiarabu ni watu wakorofi, washari, wenye ukatili na wasio na utu?

    Angalieni na fanyeni tathmini. Teams zetu za Simba na Yanga wakienda cheza. Morocco, Tunisia,Algeria,Egypt, Libya. Kisha wakienda kucheza Botswana,Zambia,Congo,Zimbabwe, nk Lakini angalieni pia matches hata zinazochezwa hapa Tz na teams toka kwa nchi za Kiarabu. Leteni majibu.
  5. M

    Marry Chatanda wa UWT: Asema wakorofi wachezee ndevu na si kuchezea Dola

    Kiongozi wa UWT asema watu wanaoikosoa Serikali wachezee ndevu na si kuchezea Dola. Nini maana ya kauli hii kwa wale wajuvi ya kiswahili? Je, ni kama Jino kwa Jino au Ngangari na Ngunguri?
  6. Paul dybala

    Bodaboda wazee ni wakoloni

    Wakuu,,.hawa ndugu zetu ambao wanaendesha bodaboda hali ya kuwa umri wao kidogo umesogea huwa wanakuwaga na ka ukoloni flani hivi. Leo nikiwa nimetokea kigamboni,niliposhuka na pantoni pale ferry nilipointiwa na abiria alie kuwa akielekea jengo la RITA Tower..,,niliposimama ili niweze kufanya...
  7. masai dada

    Mnawahudumiaje Wateja wakorofi?

    Mteja kaniambia nafanya biasharara kishamba jana kwa sababu hakuna free delivery Yaani aliniwakia nahisi alikua ana stress, Leo katuma mwingine kuchukua mzigo. Kwa kifupi jana alinigombeza sana,ni kitambo sana kukutana na mteja mkorofi hivi, Hayo maneno aliongea kwa simu wakati anaweka order...
  8. sky soldier

    Wazungu waliokuja kikazi hapa ofisini wanafurahi watanzania ni wakarimu maana wanapata treatment na attention nzuri hata kwa mabosi wakorofi.

    Sijui niseme ni ushamba wa rangi au vp, ila nikisema kwamba hii nchi kuna ubaguzi nako naweza kukaribia. Kuna wazungu hapa wanafunzi wa waliotoka huko ulaya wamekuja kikazi hapa ofisini, wamefika jumatatu watakuwa hapa kwa wiki mbili. wawili wa kiume na wawili wa kike wapo kwenye rika la 21...
  9. H

    Ni kwanini wanawake wengi huwa wapole sana pale wanapoihitaji ndoa ila wakishaipata wanakuwa wakorofi

    Maisha ni safari na msafiri ni mimi na wewe, katika Maisha kuna kuzaliwa, kukua then kufa, wale wenye bahati kama sio walio imara huoa na kupata chance ya kuproduce their offsprings , hii ni KWA kila kiumbe japo huko mwituni huwa hatuiti ndoa. Mwanzoni huba huwa la kushanta kama siyo kuzidi...
  10. sky soldier

    KUNA TETESI WAKOLONI WA KIJERUUMANI WALIKUWA WAKOROFI KUZIDI WAINGEREZA, NI KWELI?

    Hao wajerumani kuna stori zao kwamba walikuwa ni wakorofi sana enzi hizo hapa ni koloni lao. je pana ukweli au ni story
  11. sky soldier

    Ni kero zipi uliwahi kupitia kwa kuishi na majirani wasumbufu/wakorofi?

    Kuna kipindi niliwahi kupanga nyumba hapo zamani, ilikuwa na miti mingi yenye matunda ndani ya fensi, nikaja kuambiwa kuna mtu huwa anakuja usiku nikizima taa anaruka ukuta anachuma matunda (asante kwa jirani yangu mzaramo alinijuza hili). Siku ijayo usiku ulipofika nilimwambia wife azime taa...
  12. M

    Msaada: Najiandaa kwenda kutambulishwa ukweni kwenye familia ambayo baba na mkwe ni wakorofi

    Nina week nimebakiza niende kujitambulisha ukweni kwenye familia ambayo kwa jinsi binti alivyonieleza baba na mama mkwe ni wakorofi Sana. Ameniambia pia nijiandae kujibu maswali kwani unaweza kuulizwa maswali ya maudhi yakakutoa kwenye reli au ya kawaida kwani familia yake anailewa jinsi ilivyo...
  13. Fbn

    Idadi kubwa ya waendesha pikipiki ni wabishi, wakorofi na wajeuri

    Tunashukuru Wachina kutufikisha vyombo vya moto kama pikipiki. Ila ni moja la janga kubwa katika taifa kuanzia kwenye matumizi yake kufikia kujiingiza kwenye hualifu, uporaji kwa kutumia chombo chenyewe, uporaji wa pikipiki na mauaji yake, ajali za pikipiki na n.k Tuje kwenye matumizi ya...
Back
Top Bottom