Wakuu #noreformsnoelection
Kuna mdada mmoja nilikutana naye maeneo ya kazini nikamuelewa nikarisha ndoano akatick baadaye sana nilikuja gundua ni mke wa mtu kwa maelezo yake mumewe hakai wilaya tuliyopo yupo wilaya nyingne kutoka hapa tulipo mpaka huko alipo ni masaa matatu.
Alinambia bwana...