Huko bungeni vururuvururu tu!,wamejazana kijani tupu na wale kumi na tisa waliingia kimazabemazabe!.
Uwazirini wengi wamerithiwa na wanaowekwa kama hawajitoshelezi,nafasi ya waziri mkuu imekuwa mguu ndani mguu nje!.
Makamu wa rais nae kimya sana Kama hayupo..
Wengi wanaotaka kuteuliwa wamekuwa...