wahitimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Nini kinaendelea nyuma ya huu ufaulu wa kushangaza wa kidato cha sita?

    DIVISION 1 - 61,120 DIVISION 2 - 49,385 DIVISION 3 - 14,870 DIVISION 4 NA 0 - 760 Watu wanasema elimu imerahisishwa kuna vitabu mitandaoni lakini haibadilishi uhalisia kuna wanafunzi hawapo serious, kuna wanafunzi wenye uwezo mdogo hata kuwe na rundo la material, wanafunzi watoro, n.k.
  2. Just Pray

    TCU: Wahitimu wa vyuo 2024, fani za Biashara, Elimu na Sayansi za Jamii zaongoza kuwa na wahitimu wengi, matazizo ya kifedha sababu kukatisha masomo

    Wakuu, Katika pitapita zangu mtandaoni, nimepitia tovuti ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) nimekutana na takwimu hizi za wahitimu wa vyuo nchini kwa mwaka 2024 ambapo fani za Biashara, Elimu na Sayansi za Jamii zinaongoza kuwa na wahitimu wengi, Pia usawa wa kijinsia unaimarika kwani idadi...
  3. A

    KERO Nimemaliza Diploma kwenye Taasisi ya watu wazima(IAE) mwaka jana, lakini hadi leo AVN hajitoka na hakuna maelezo

    Habari, Mimi ni Muhitimu WA chuo Taasisi ya watu wazima IAE kampasi ya mwanza nimemaliza Mwaka Jana 2024 lakini toka tumalize Hadi Leo hatujapa AVN na tukihoji wanatoa majibu ambayo hayaeleweka. Mara Subirini tunashughulikia hakuna majibu yoyote na Watu tunahitaji kwenda kuendelea na elimu ya...
  4. N

    Wahitimu wengi sikuhizi hawauzi vitu baada ya kuhitimu, ni dalili ya maisha yamekuwa magumu sana mtaani

    Hapo kabla ilishazoeleka, wanachuo wakihitimu vyuo wanauza vitu kwa bei za kutupa mfano pasi, laptop, kitanda, godoro, mitungi ya gesi, n.k. Leo hii nikiwa naongea na moja ya rafiki yangu ambae ni dalali, yeye huwa anaanda hata milioni 3 kununua vitu aje kuwauzia wanachuo wapya, kalalamika...
  5. Blasio Kachuchu

    Zungu: Shule ya Mfano ya Benki ya CRDB itazalisha wahitimu wenye ujuzi

    Dar es Salaam. Tarehe 23 Juni 2025: Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ambaye pia ni Mbunge wa Ilala, Mheshimiwa Mussa Zungu amesema kutokana na vifaa vya kisasa vitakavyofungwa katika Shule ya Mfano ya Benki ya CRDB basi itakapokamilika na kuanza kupokea wanafunzi itazalisha wahitimu...
  6. DuaZaMama

    Mbunge Ahoji kuhusu wahitimu kufanya mitihani kupata ajira

    Mbunge wa Viti Maalum, Cecilia Paresso amehoji utaratibu mpya wa serikali unaowataka wahitimu wa vyuo kufanya mitihani mbalimbali ili kuajiriwa, akitaka kujua kama hatua hiyo inaashiria kwamba serikali haina imani na elimu inayotolewa vyuoni.
  7. Magodi Katuni

    DOKEZO Wahitimu wa Institute of Adult Education (IAE) 2024 tumeshindwa kuendelea na masomo kisa kutokupata AVN tangu mwaka jana

    Kuna tatizo sugu katika vyuo vya kati hususani chuo nilichosoma mimi Institute of Adult Education (IAE) wahitimu wa june 2024 hatujapata AVN mpaka sasa. Mwaka jana tumeshindwa kujiendeleza kimasomo kwasababu ya kukosa AVN na mwaka huu tunaelekea kukosa tena, kila ukiwasiliana nao unaambiwa...
  8. ufalmedigital

    “Masomo ya Chuo vs. Maisha Halisi – Ukweli Mzito Uliofichwa kwa Wahitimu”

    "Umewahi kujiuliza kwa nini wahitimu wengi wana maisha magumu hata baada ya miaka minne chuoni? Je, elimu tunayopata inaendana na uhalisia wa maisha? Nimeandika makala inayoeleza wazi pengo hili – na jinsi ya kulitatua." Katika makala hii nimeeleza tabia 7 ambazo wengi wetu tunazo, lakini...
  9. C

    Onyo kwa wahitimu wanaotarajia kuomba kujiunga na kozi ya diploma ya famasi

    Naomba nitumie jukwaa hili kuwaonya wazazi na wahititimu wanaotarajia kujiunga na vyuo vya ngazi ya kati kwa program ya famasia. Kwanza niwaeleze kwa nini ninaandika kutoa tahadhari hii. Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mfumuko wa ongezeko la vyuo vinavyodahili wanafunzi wengi wa famasi na...
  10. R

    Wahitimu wengi wasio na ajira hawapo serious kwenye shughuli zao, akili huwaza ajira, wakifika 30s hakuna walichofanya, maisha huwacharaza kikatili

    Vijana wengi humaliza vyuo wakiwa 20s mbichi lakini wanapoteza muda mwingi sana kuwaza ajira badala ya kutia mkazo kwenye shughuli zao, matokeo yake mtu anafika 30s hana ajira wala maendeleo na umri umeshaenda hana tena vigezo vya kuendelea kuomba ajira, its too late and its the beginning of the...
  11. N

    Apps and Girls na Yas Tanzania Waadhimisha Mahafali ya Wahitimu wa Jovia 2025

    Meneja Mahusiano ya Nje wa Yas, Bi. Rukia Mtingwa (wa tatu kushoto), akikabidhi cheti cha kuhitimu programu ya Jovia kwa Bi. Martha Chomola. Programu hiyo inayoratibiwa na Taasisi ya Apps and Girls kwa udhamini wa Yas, inatoa mafunzo kwa mabinti katika nyanja ya teknolojia. Hafla hiyo imefanyika...
  12. D

    Hoja ya sera mpya ya elimu na wahitimu wa vyuo vikuu kwenda VETA ni kichaka cha serikali kujifichia au kukwepa majukumu.

    Kwanza kabisa niikumbushe serikali kwamba swala la tatizo la ajira nchi hii sio swala la ujuzi bali ni swala la DEMAND AND SUPPLY wale ambao wanaosemwa hawana ujuzi nadhani nimeeleweka kiasi chake. Pili Swala la tatizo la ajira ni kushindwa kutafsiri nganzi za elimu ndo maana kila siku...
  13. W

    Waziri Biteko: Tuna vijana waliomaliza kidato cha sita ama digrii ya elimu fulani, lakini hawezi kujipikia chakula chake

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema ni kawaida kuona mtoto amemaliza kidato cha sita ama digrii ya elimu fulani, lakini hawezi kajipikia chakula chake mwenyewe. Amesema Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi sStadi (Veta) ina uwezo na jukumu la kubadilisha Tanzania...
  14. C

    Wahitimu wa BA Sociology, Political Science & Archaeology waitwa VETA kujifunza Mapishi kwa ajili ya AFCON 2027

    Wito umetolewa kwa wahitimu haswa kozi za BA Sociology, Archaeology & Political Science wakimbilieVETA kujifunza mapishi kwa ajili ya wageni wa AFCON 2027. GHARAMA zote zitalipwa na Madiwani
  15. Masalu Jacob

    Wahitimu wa vyuo na Serikali: Elimu hasa ngazi ya Shahada

    Tanzania ! Tanzania ! Tanzania ! Habari za leo vijana wasomi. Naomba kutoa wazo hapa hasa kwa Serikali dhidi ya Vijana wa elimu ngazi ya Shahada. 1. Serikali tunaweza anzisha "VIJANA SECURITY FUND". Hii ikawa maalumu sana kwa vijana wa taifa letu umri kuanzia miaka 18 mpaka 44. Huu uwe...
  16. Mrndumbarojl

    Je ni sawa walimu au wahitimu kujiajiri au kwenda Veta kwa sasa?Ungana nami

    UJUMBE KWA WANASIASA WOTE: MSITUDANGANYE KWA KAULI ZENU! Utangulizi Katika miaka ya hivi karibuni, viongozi wa serikali wamekuwa wakirudia kauli ya "Wasomi wajiajiri" *"Wenye Degree Waende VETA" kana kwamba tatizo la ajira lipo mikononi mwa wahitimu wenyewe. Lakini swali ni moja tu: Kwa nini...
  17. R

    Miaka 25 - 35 ndio umri mgumu zaidi kwa vijana wahitimu wa degree, Presha ya kupata mafanikio au kuwa mtu wa level fulani inakuwa ni kubwa mno

    Wahitimu wa degree wanaopitia changamoto za kiuchumi hupata msongo wa mawazo kwa sababu jamii huwa na matarajio makubwa kwao. Jamii huamini wanapaswa kuwa wajanja zaidi kwenye fursa hata wasipopata ajira. jamii huwashusha thamani na hata kuwatania vijana hawa inapoona kuna vijana wenye elimu ya...
  18. The redemeer

    Wahitimu msing'ang'anie kuomba kazi bongo pekee hata kama uridhiki na ajira uliyonayo muda haurudi nyuma fursa popote

    Hawa vijana wa singeli uenda bongo ndio tuna vijana wa hovyo kutwa kutumia bando kuangalia ujinga mda hauendi mtu analia connection connection connection haikufuati umelala kitandani ukiwa unapambana bongo usiache na kupambana nje pia nje hapa hitaji connection ili kupata kazi kule ni cv na...
  19. Roving Journalist

    Baraza la Uuguzi na Ukunga (TNMC): Wahitimu wanaosubiri Leseni wawe watulivu, tupo kwenye mchakato

    Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kuwasilisha hoja akilitaka Baraza la Uuguzi na Ukunga (TNMC) kuwasaidia wahitimu kwa kuwapatia Leseni mapema kwa kuwa wanapitwa na fursa nyingi Mtaani, ufafanuzi umetolewa na Baraza hilo. Kusoma hoja ya awali, bofya hapa ~ Baraza la Uuguzi na Ukunga (TNMC)...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Serikali kuweka siku ya jumamosi kuwa siku ya Usaili ni kuwakosea Haki Wahitimu waumini wa kisabato

    Serikali kuweka siku ya jumamosi kuwa siku ya Usaili ni kuwakosea HAKI Wahitimu waumini wa kisabato. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Sabato Njema. (itikia Njema Sana). Wahitimu wa kisabato wanasikitika baada ya baadhi Yao kukosa kwenda kwenye Usaili kutokana na siku iliyowekwa kwaajili ya...
Back
Top Bottom