Kuna jamaa yangu alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya vifaa vya ujenzi, akapunguzwa kazi kutokana na hali iliyopo ya kiuchumi iliyokolezwa na janga la korona.
Kwenda NSSF anaambiwa hawezi kupewa mafao yake yote, aendelee kutafuta kazi au apewe asilimia 30 ya mafao yake. Sasa cha kujiuliza...