wafanyakazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Return Of Undertaker

    Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

    "Marufuku kwa watumishi wa serikali kudai nyogeza ya Mshahara" Anasema walioandamana kudai nyongeza ya Mshahara mei mosi walipaswa kuchapwa viboko. Nini Maoni yako?
  2. tpaul

    Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

    Punguzo la 1% (kutoka 15% hadi 14%) kwenye kodi ya mishahara (PAYE) ni dhihaka kwa wafanyakazi wa Tanzania kwani gharama za maisha ziko juu sana kufuatia mfumuko mkubwa wa bei. Ifike wakati sasa serikali iwaonee huruma wafanyakazi kwa kuwapunguzia mzigo wa kodi badala ya kufawafanyia mzaha kama...
Back
Top Bottom