wachawi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JASUSI LA MBINGUNI

    JamiiForums Tanzania Kwanini wachawi hutupia watu majini?

    Wachawi wanaporoga sio lazima wakutumie majini ama mapepo. Wanaweza kukuloga kwa laana za kichawi, ama kukulisha uchafu nk Je, ni kwa wakati gani wachawi wanalazimika kutumia majini kumloga mtu? Kwanini watumie jini na sio uchawi wa kawaida? cc Mshana Jr Rakims
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanga na wachawi wana ushirikiano sana kwenye kazi zao

    Nimeona kutumia hawa watu ambao wanga na wachawi kwa jinsi walivo na ushirikiano wa hali ya juu kabisa. Maana mikasa mingi inayosimuliwa kuhusu hawa watu unaweza kubaki mdomo wazi. Ila tuje kwenye mada iliyonileta sio sehemu yangu huko labda kaka @Mshana Jr anaweza kunieleza kuhusu kichwa cha...
  3. donlucchese

    JamiiForums Tanzania Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

    Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa, majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone...
Back
Top Bottom