Nimeona clip ndogo ya vijana waliokata tamaa wa UVCCM mkoa wa Dar es salaam wakijaribu kuwajibu watu wanaomkosoa mpendwa wao , lakini wakiwa wanajibu wao wanakiri kuwa wabunge baadhi. Wakiwa sirini huko husema Bora alivyokuwa Magufuli kuliko huyu Ile kauli ili lenga kumanisha nini
Nimesikiliza wabunge wakilalamikia shule zilizo ktk majimbo yao kutokuwa na walimu wa kike wa kutosha, kwanza wanawatakia nini?
Pili mbona huku Arusha hasa wilaya za Arumeru na Arusha walimu wa kike ni wengi sana kiasi kwamba kuna shule kwa mfano shule ya Sekondari Kaloleni iliyo ktk jiji la...
Fuatilia mijadala yao Bungeni kwa ujumla utaona kuwa wapo kwa ajili ya kupata posho na mshahara tu.
Mbunge anaropoka hovyo kuwa Watu washughulikiwe kwa kutekwa! Mbaya Zaidi anakazia kuwa Waanziwe wana CCM baadae wapinzani na wasio wapinzani.
Msukuma hovyo kabisa...
Bunge hili ni lile ambalo...
Naibu Spika, alisimamia michango ya "waheshimiwa" Wabunge walipokuwa wakibwabwaja na kutoa kauli za kitoto na kijinga katika suala lililoanzishwa na Raisi Samia kuhusu wanaharakati wa Kenya kuja Tanzania. Wakati huo Dr Tulia hakuwapo bungeni.
Wengi wetu tulishitushwa sana na kauli zilizotolewa...
Namkumbuka Mwalimu wangu wa Somo la Uraia (Civics) mpaka pengine nawaza uenda hawa wabunge wetu hawakusoma somo hili la lazima na la muhimu sana kwenye mitaala ya Elimu.
Wabunge wengi ni kama wamesahau kwamba wao wako Bungeni kutetea Raia wao na kuwasemea matatizo yao hili Mahakama na Serikali...
Wakati Watanzania sio wawekezaji wakubwa Kenya . Wakenya ndiyo wawekezaji wakubwa Tanzania na wanunuzi wakubwa na nafaka zetu za kilimo. Cha ajabu wabunge badala ya kuweka nchi mbele wanajiingiza kwenye kiki na uchawa ambao hauna msingi.
Wamesahau kabisa ni sawa na kuanza kumtukana mteja wako...
Mpo salama!
Mbunge mzima, yupo bungeni, anatumia muda wa bunge na watanzania kujibishana na Gen Z ya Kenya. Kweli!
Ni ukosefu wa mambo ya kujadili au ni nini?
Ni kuongozwa na mihemko au ni kitu gani?
Yaani mtu mzima na akili zake asumbuliwe na Gen Z wa Kenya kweli?
Nimesikitika Sana...
Habari wakuu
Ni kawaida hapa Tanzania kuwasikia wabunge wakimsifia Mh Raisi na ku amplify kile alichokisema ktk hotuba yake yeyote
Hii hali tulishaizoea,
Mh Raisi hakupendezwa na ujio wa wanaharakati wa kenya nchini, narudia tena ujio wa wanaharakati wa kenya nchini kwetu
Hivi sasa wabunge...
Wakuu,
Inauma sana nimesikiliza jinsi viongozi wetu tuliowatuma (ingawa wengi hawakuchaguliwa kwa kura) kuwakilisha wananchi wanavyoongea kujibu hoja ya Gwajima.
Wamepotea watu wengi, wameuwawa watu wengi, wametekwa watu wengi hao wote wana wazazi, wana ndugu na wana familia pia lakini hakuna...
Uwekezaji na misaada tuliyopata hivi miaka ya karibuni ikiwa pamoja wa watalii kuongezeka ni kwasababu Raisi Samia alifanya mabadiliko na mwamko 2021-2022. Haya mabadiliko yalitoa mwanga wa siasa mpya na mazingira mazuri ya uwekezaji
Sasa badala ya kuendeleza mazuri kuanzia 2023 Raisi Samia na...
Tunatekwa mpo kimya,
Tunapotezwa mpo kimya,
Wanatukamata kutulawiti na kutubaka Mpo kimya,
Wenye mawazo mbadala wanafunguliwa kesi za kupika ili kuwakomoa mpo kimya.
Unafanyika Ufisadi wa Kutisha pesa za Watanzania masikini zinaibwa na kuwanufaisha kikundi cha watu wachache huku Watanzania...
Bila kujali kama waliingia kwa mlango wa mbele au waliingizwa kupitia mlango wa nyuma, bunge lina Wabunge alau hata 5?
Nimejaribu kuwahesabu bila mafanikio. Nimepata kama watatu tu:
1. Jumanne Kishimba!
2. Josephath Gwajima!
3. Luhaga Mpina!
Hao tu ndiyo Wabunge waliopo kwa sasa bungeni?
Habari JF
Za chini ya kapeti, ni kuwa Gwajima nyuma yake kuna kundi kubwa hasa hasa makada wenzie, na hii ni strategic move, yapo mengi na huyu ni kwanza, makada wengine wako njiani.
Ya kesho yanafurahisha
Wabunge, polisi, na mamlaka zote mmekataa haki mmeamuwa kufuata njia yenu mtegemee hivyo vyeo mlivyonavyo kupewa ndugu wa raisi kama museven alavyofanya.
Hatukupaswa kufanya kosa kubwa sana la kuondoa haki kama hakuna haki hata nyinyi hamtopata haki baadae endapo mtabadirisha nchi kwa kuunga...
Tume huru imekuja na mgawanyo wa majimbo.
Arusha idadi ya watu 620,000 ina jimbo mmoja la uchaguzi.
Mbeya idadi ya watu 540,000 majimbo mawili ya uchaguzi.
Huu ni mfano mdogo ambao unadhihirisha tume yetu huru ya uchaguzi si tume huru hata kidogo.
Ngongo kwasasa Kwamromboo 🐐
1. Ndugu Mgombea, pambana (kwa fedha na kijadi-UCHAWI) upitishwe kwenye Chama.
2. Mengine ni kukamilisha ratiba tu.
3. Kura za Wazalendo aka Wanyonge ni kiini macho tu. Asanteni.
Nashindwa kuelewa kwani lazima kila kitu tuige nje, binafsi mimi kama mimi sioni tija yoyote ya kuwa na wabunge kwenye hii nchi zaidi naona ni mzigo tu wabunge 400 nchi hii wa kazi gani?
Inabidi tupungize matumizi yasiyo na lazima ili tuelekeze kwenye maendeleo mengine
Kama kuna faida za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.