Kwa sasa mazoezi ya ukakamavu yanayofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama yameongezeka kwa kasi mithili ya 5G Plus.
Hii inaleta tafsiri gani kwa wananchi, hasa tukielekea Oktoba 29? Je, ni ishara kwamba mipango ya maandamano iangaliwe upya na labda kuahirishwa, au ndio kinyume chake...
Sote tunafahamu kuwa Taifa letu hivi sasa linaangamizwa kwa kutisha na rushwa kubwa zinazofanywa na Wanasiasa na familia zao bila kusahau Viongozi wachache wa Serikali na vyombo ya Ulinzi na Usalama.
Haya yanafanyika huku Watanzania wengi wakikosa huduma bora za msingi kama Maji safi na salama...
Kwa matukio ambayo wanayoyafanya polisi hakika wananchi wameishiwa pawa ya kuwaamini tena na wameshatengeneza uadui mkubwa katika siku za usoni, mahakama nayo dalili zote zinaonyesha wanafanya mambo yao kwa maagizo!
===================
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche...
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Amani Golugwa, ametoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama kuacha kuwashambulia wananchi wanaojitokeza kuonesha hisia zao katika masuala yanayohusu maisha na mustakabali wa taifa.
Golugwa ameyasema hayo wakati wa mazungumzo...
GT
Nikikaa nafikiria ulegelege wa vyombo vya ulinzi na usalama awamu hii mwili huwa unakufa ngazi kabisa.
Jamani au na Wao wamejiunga na MACCM Kuiba rasilimali za nchi hii. Hapa Hayati Magufuli aliagiza Angela kizigha achukuliwe hatua lakini why siyo sasa na amerudishwa tena ooh nooo my country..
Fikiria, kama kweli hali ilivyo kwa sasa ukaambiwa Tanzania tuna vyombo vya usalama, utakubali?
Vyombo vya usalama wanashindwa kumlinda Rais aliyepo madarakani, na watu wanampa kichwa kiwepesi sana.
Tuhuma nzito zipo kuhusu viongozi wetu, pamoja na tuhuma kuhusu Jeshi la Ulinzi na ufisadi...
Yaani ukumsikiliza Polepole, unajiuliza hawa watu wako kazini kulinda nchi na masilahi ya nchi au ni kulinda masilahi ya watu wachache?
Hivi Rostam ana nguvu na Mamlaka kuliko Usalama wa Taifa, TAKUKURU, Jeshi la Polisi na ofisi ya Raisi na Raisi mwenyewe?
Kama tuhuma anazotoa Polepole ni za...
Nimekuwa nikifuatlia mwenendo wa matukio mbalimbali hapa Tanzania Kuhusu rasilimali zetu mda mrefu toka enzi za mkapa kashifa za Rada na EPA.
Tukija kwa Kikwete mambo ndo yalikuwa ya hovyo japo hii ESCROW na DOWNS Msingi wake ni awamu ya mkapa. Ila kipindi cha Kikwete uozo ulikuwa mwingi...
GT
Ukifuatilia kwa umakini madai ya polepole tatizo utagundua ni wanausalama wetu siyo CCM. Vyombo vyetu vipo corrupted na wanasiasa kiasi kwamba hawaoni mambo yenye kuhatarisha usalama na maendeleo ya nchi.
Tujiulize.
1. Mpaka mkataba wa Bandari unasainiwa kinyemela walikuwa wapi.
2. Mtu...
Hatari sana hii na vyombo naona vimesha uzoea huu utaratibu kuwa ni wakawaida na mbaya zaid jamii nayo imesha ona ni kawaida si jambo la kuogopa tena , sasa nadhani labda huu mchezo uhamie kwa watoto wa vigogo na makada wa CCM na familia zao huenda tutapata jibu
Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema kuna tatizo kubwa linaloikumba sekta ya ulinzi na usalama nchini, na kusisitiza kuwa vyombo hivyo vinahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa ili viweze kutimiza wajibu wake ipasavyo
Habari ya jioni wakuu,
Binafsi kwa mambo yanayoendelea nchi hii imani sina na vyombo vya usalama wa nchi.
Vinatumia nyadhifa zao kukandamiza raia na kutetea tabaka tawala bila hofu kwa sababu mihimili mikuu ya nchi hii haiko huru.
Imefika mbali tunaanza kutoana uhai sisi kwa sisi ,hii laana...
Kuna nafasi za ajira jeshi la Magereza zimetoka na nna mdogo wa kwa upande wa mama wa kambo anataka kuomba,lakini yeye ana changamoto ya kuishi na Virusi vya ukimwi.
Je kwa mwenye uzoefu anijuze ; inawezakana akapata nafasi endapo vigezo vyote anavyo isipokua hapo kwenye suala la afya ambalo...
Wakuu huyu mama ni Katili sana haijapata Kutokea !!.
Kumbe Baadhi ya Viongozi wa Kimasai Eneo la Ngorongoro, walikamatwa Kwa Nyakati tofauti tofauti majira ya Usiku, na Kusafirishwa kimya kimya mpaka Gereza la Kisongo Arusha ambapo walikaa Jela hiyo Kwa miezi zaidi ya Sita.
Yaani ni...
gerezani
hatua
kimyakimya
kuhamishwa
mbele
mpaka
ndugu
sababu
samia
sana
serikali
serikali ya samia
serikalini
ulinziulinzi na usalama
usalama
ushindi
viongozi
vyombovyombovyaulinzi
wazalendo
wote
zao
Katika siasa za ukomunisti:
Chama chenye mamlaka ya utawala ambacho ni chama cha kikomunisti kimejishikiza na vyombo vya ulinzi na usalama vyote.
Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinakuwa chini au katika uangalizi wa chama cha kikomunisti.
Wakuu wake wote huwa ni wanachama watiifu wa chama...
Vyombo vya ulinzi angalieni yaliyotokea kwenye uchaguzi wa CCM maeneo mbalimbali nchini. Swali kwenu kama wameutendea mti mkavu hivi vipi Kwa mti mbichi?
Kuna Uzi uliwekwa hapa asubuhi hapa Kwa kumpongeza Lissu kujitoa sadaka Kwa wengine na Mimi naunga mkono lissu ni kama mkombozi Kwa walio...
Ndugu Wana ukumbi,
Nina swali kwenu, Je JWTZ na vyombo vingine vya ulinzi vinaweza kula kiapo cha kumtumikia na kumlinda Rais aliyeingia madarakani kwa kuvunja Katiba ya nchi?
Wakati wao huapa kuilinda Katiba ya nchi?
Ukisikiliza maneno yake katikati ya mstari kama mwanasaikolojia utagundua mambo mawili au matatu
1-Kujinyenyekeza kwa vyombo vya ulinzi na usalama na kujionesha kuwa ni mtetezi.
2-Kuhadaa wanaohudumu kwenye vyombo hivyo kana kwamba ana ubunifu wa namna ya kuvifanya viwe na maisha bora zaidi...
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima amesema, "Sasa hivi Vyombo vya Habari haviko huru na kwasababu hiyo watu wanaona kwamba Viongozi wa Dini ni kama chimbo la taarifa. Mfano hivi majuzi umeona limetokea hili tatizo la watu wanatekwa, Watu wanauawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.