Mfumo waliofanya CCM ni kama vyombo vya ulinzi ndio wanaviongoza na vina wafuwasi wao ndani.
Kuna mda unakuta mtu anakutamkia wazi kama sio mwana CCM hawezi kukuogopa sababu yeye ni polisi, gereza, usalama ,TAKUKURU, uhamiaji na JWTZ
Haya sasa kumekucha tena,naona D9 ni zamu ya vyombo vya ulinzi kuandamana.
Habari toka upanga ofisi za wavaa magwanda ya mabakabaka zinasema vyombo vya ulinzi nchini Tanzania vitafanya usafi nchi nzima kwa ushirikiano kuanzia Disemba 7 hadi pale watakapoona nchi imekuwa safi.
Mikoa ambayo...
Nafikiri hao ndio waliomundalia hiotuba kama vile anaenda kuhutubia askari walioko au wanaojiandaa kwenda kwenye uwanja wa vita huki wananchi wakiwa ndio Jeshi la adui aliokuwa akiwaemq.
Sijui mmenielewa?
Bila kupepesa macho, vyombo vyetu ya ulinzi na usalama hasa vyenye mamlaka na intelijensia ya nchi vinafaa kutupiwa lawama,
Ni mwaka jana Julai 2024 hapo nchi jirani kulitokea na maandamano yaliyoakisi mwelekeo wa siasa za Afrika mashariki, kwamba tusifanye kazi kwa mazoea.
Wakati maandamano...
Tanzania tuna vyombo vya ulinzi na usalama takribani 6 na tuna idara saidizi za ulinzi na usalama kadhaa.
Kila chombo kiko huru kujisimamia ingawa vyombo hivi hutegemeana.
Wakati mwingine chombo kimoja kinaweza kufanya majukumu ya chombo kingine lakini kwa kushirikiana na chombo husika.
Yaani...
Impliedly ni kuwa Wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama nchini kwetu wameshindwa kulinda mipaka ya nchi hii.
Raia wa kigeni wanaingia nchini wakiwa na silaha za kivita kisha wanawachochea vijana wa kitanzania watu wazima kuingia mitaani kuikataa CCM.
Kwa ujumla hawa wakuu wa vyombo vya...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema miundombinu ya Mkoa huo imeendelea kudumu na kuimarika kutokana na ufanisi wa vyombo vya ulinzi na usalama, ambavyo vimefanya kazi kubwa katika kudhibiti athari za maandamano ya Oktoba 29, 2025.
Akizungumza leo Novemba 24, 2025 katika...
Watanzania wanalia baada ya mauaji ya kikatili ya wananchi mnamo tarehe 29 Oktoba 2025, na siku hiyo hiyo uchaguzi wa kiguni ulitokea ambapo viongozi wengine walichaguliwa bila kupigiwa kura na watanzania. Watanzania milioni sitini na sita (66) wanaendelea kuteseka, huku haki yao ya msingi...
Akizungumza na vyombo vya habari leo Novemba 23, 2025 Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kwamba kutokana na matukio yaliyotokea kwa hali ya usalama wa nchi shwari na kuwa Vyombo vya ulinzi vinaendelea kuhakikisha wananchi pamoja na mali zao wanabakia kuwa salama na matishio yote ya...
Mkuu wa majeshi anasema Tusiingize Jeshi kwenyemambo ya kisiasa, Wakati huo anayejiita Amiri Jeshi Mkuu ni Mwanasiasa Mkuu!
Unasema Jeshi lisiingizwe kwenye siasa kabla na wakati wa uchaguzi, Ila baada ya uchaguzi una deploy wanajeshi kila kona ya nchi for what? Kulinda amani baada ya tukio la...
Habarini
Nashauri serikali iongeze nguvu kazi katika kuzuia maandano ya D9 kwa kuchukua walimu hawa ni cheap labor na watiifu mno mafunzo ya wiki pia yanawatosha maana kiasili tayar wanaroho mbaya hivo kuwaongezea roho mbaya ya kufanya lolote ni rahisi sana kama unamsukuma mlevi.
Pili Hawa...
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Wolfgang Pusa ametoa wito kwa mamlaka kulaani mauaji yaliyotokea wakati wa Uchaguzi na kuwasihi kukubali kuwa waliouawa ni ndugu zetu.
Aidha, Askofu Pisa amesema , "Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wote wawajibike, au kuwajibishwa...
Mwenyezi Mungu atusamehe watanganyika,
Nimeshindwa kulala ndugu zangu, najuta sana kwanini nimeangalia hizi video za mauaji ya watanzania wenzetu.
Je kama mimi nashindwa kulala vipi aliyetoa amri ya haya mauaji ya halaiki au aliyeshiriki?
Kama huko walipo wanaamani hakika watakua wasaidizi wa...
Jeshi la Misri walimshughulikia Anwar Saddat kwa kuingia makubaliano na Israel baada ya vita vilivyoua raia wengi wa nchi yao.
Israel walimshughulikia Isaac Rabin kwa kuingia makubaliano baada ya vita vilivyoua raia wao wengi
Tanganyia Rais asiye Mtanganyika ameua mamia Watanganyika tena kwa...
Huko Lindi - Oktoba 24, 2025. Vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoa wa Lindi vimefanya mazoezi ya kutembea (Route March) ya pamoja iliwa ni kawaida kwao kufanya hivyo. Mazoezi hayo yakiwa na lengo la kudumisha ushirikiano na mshikamano baina ya vyombo hivyo sambamba na kuimarisha afya ya mwili kwani...
Maafisa na Askari wa vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama wakiwa kwenye matembezi ya pamoja yaliyofanyika leo Oktoba 24, 2025 katika manispaa na mkoa wa Tabora.
Lengo la matembezi hayo ni kuweka utimamu wa mwili, kuimarisha mshikamano, nidhamu na ushirikiano baina ya majeshi husika pamoja...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Benno Malisa amewataka wananchi wa mkoani hapo waliojiandaa kufanya vurugu zinazohamasishwa kwenye mitandao ya kijamii siku ya uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wajionye kabla hawajaonywa na vyombo vya ulinzi na usalama
Malisa amesema hayo wakati akitoa tamko mahususi kwa...
Vyombo vya ulinzi na usalama mkoani Geita vimeendelea kuimarisha ulinzi na usalama ili kuhakikisha amani, usalama na utulivu kabla, wakati na baada ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya...
https://x.com/marxistJorge/status/1976999644975841453?s=19
"Watoto wetu wanahangaika sana , hayupo hapa Kuwaua wala kuwpaiga .Na sisi pia tunatipitia kile kile wanachopitia watoto wetu.Ni lazima tuwaunge Mkono " . TUSIKUBALI KUHADALIWA KWA PESA AU NAFASI ".
Haya ni Maneno ya Hasira na Uchungu...
Vyombo vya habari tangu jana vimeripoti aliyekuwa balozi nchini CUBA hampfrey polepole kutekwa na kupelekwa. kusipojulikana na shuhuda mmoja ambaye alijitambulisha kwa jina la augustino polepole alimtaja waziwazi mhusika mkuu wa utekaji kuwa ni mtu mmoja ajulikanaye kwa jina la MAFWELE hata hivo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.