vyombo vya habari

  1. JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari vimewakosea sana watanzania, Vinapaswa kuomba radhi, Hakika damu iliyomwagika itawalilia

    Vyombo vya habari vinapaswa kuwa huru katika kutoa taarifa kwa wananchi wote. Kwa jinsi mwenendo wa hali ulivyokuwa tangu kuanza kwa kampeni mpaka kutokea mauaji ya halaiki kwa raia, vyombo vya habari vimehusika kwa kiasi kikubwa, Damu hii iliyomwagika ardhini itawalilia milele. Vyombo vya...
  2. JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari visivyotangaza maandamano sisi wenye hii nchi tutavifuta kwenye ramani

    Vyombo vya habari visivyotangaza maandamano sisi wenye hii nchi tutavifuta kwenye ramani. Naona vyomba vya kimataifa tu sio ITV wala TBC tukiwaondoa wahuni wakatafute nchi ya kuwatangazia wananchi tumesema
  3. JamiiForums Tanzania GE2025 Kampeni za Urais 2025: Mizaha, Sera za ‘Mambo’ na Upendeleo wa Vyombo vya Habari

    Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa unatarajiwa kufanyika kesho, Oktoba 29, 2025, ikumbukwe Tume ya Uchaguzi ilipuliza kipyenga cha kuanza kampeni za wagombea wa urais zilizodumu kwa zaidi ya miezi miwili, ni vyema kwa ufupi tukamulika kipindi hiki ambacho kinahitimishwa leo...
  4. JamiiForums Tanzania GE2025 Vyombo vya Habari vya asili (traditional media) kuweka hitimisho la kampeni za mgombea wa CCM 'Front page' ni wajibu, mapenzi au maagizo?

    Yapi maoni yenu wakuu? Binafsi naona ni maagizo kutoka kwa Gerson Msigwa ili kumfurahisha mama.
  5. JamiiForums Tanzania GE2025 Vyombo vya Habari Tanzania kuipa kisogo 'speech ya Askofu Gwajima; Ni kwa maslahi ya nani?

    Zikiwa zimebaki siku mbili kabla ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, ghafla anaibuka mwanasiasa ambaye pia ni Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima na kutoa msisitizo wa baadhi ya mambo yanayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu. Katika hotuba yake...
  6. JamiiForums Tanzania GE2025 ZAMECO yalaani hatua za kudhibiti Vyombo vya Habari, yatetea Haki ya kupata Taarifa kipindi cha Uchaguzi

    Kamati ya Wataalamu wa Masuala ya Habari Zanzibar (ZAMECO) inasikitishwa na hatua ya Tume ya Utangazaji ya Zanzibar kutoa taarifa inayoweka orodha ya Vyombo vya Habari vya Mtadaoni inavyovitaja kuwa vinafanya kazi kinyume cha sheria ambayo Tume hiyo inaisimamia na kutishia kuvichukulia hatua...
  7. JamiiForums Tanzania GE2025 Wakuu wa vyombo vya habari wahimiza amani kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

    Wakuu wa vyombo vya habari na wahariri waandamizi nchini Tanzania wamekutana leo oktoba 25, 2025 katika jengo la Millenium Tower Jijini Dar es Salaam na kuzungumza na watanzania kupitia vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu oktoba 29, 2025. Tukio hilo lilikuwa na dhumuni la kuwakabidhi...
  8. JamiiForums Tanzania GE2025 Vyombo vya ulinzi acheni kutumia nguvu pasipo sababu za msingi, mkabiliane na vijana kwa namna walivyo

    Mwalimu Uzima Mkufunzi wa masuala ya amani kutokea Baraza Kuu la Waislama Tanzania (BAKWATA) amewakumbusha viongozi wa dini na wananchi juu ya uzalendo wa mtanzania ni kupiga kura huku akipita kwenye vitabu vya dini na maandiko matakatifu hakuna kitabu kilionekana kikipingana na serikali hivyo...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari vikubwa vya ndani, pazeni sauti kukemea maovu mkifanya kwa umoja wenu hakuna atakayewazuia

    Hii teka teka na chukua chukua isiyofuata taratibu na kisha hii ya hayuko huku hatujui alipo, haina afya kwa Taifa letu Hili Taifa si la wachache, ni letu sote likiharibika hatuna lingine tena. Kwa macho ya kawaida kabisa kuna kundi limejipanga kutuharibia nchi na kwa bahati mbaya hili kundi...
  10. JamiiForums Tanzania Vyombo vya Habari ikiwemo Tv, Radio na Magazeti chaguo ni lenu kukubali kufa ama kuishi, kuishi kwenu ni kuacha unafiki

    Vyombo vya Habari ikiwemo Tv, Radio na Magazeti chaguo ni leo kukubali kufa ama kuishi, kuishi kwenu ni kuacha unafiki Chaguo ni lenu wenyewe mchague kufa kwa kupuuzwa na Wananchi, itafikia mahali hata gazeti moja halitanunuliwa tena Itafika mahali hakuna Mwananchi atatizama Channel zenu...
  11. JamiiForums Tanzania GE2025 Msimamizi wa uchaguzi Ruangwa atoa wito kwa vyombo vya habari kuzingatia maadili ya taaluma

    Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ruangwa, George Mbesigwe, amevitaka vyombo vya habari kufuata sheria, kanuni na maadili ya taaluma zao wakati wa kipindi cha uchaguzi, akisisitiza kuwa ni muhimu kutoa taarifa kwa ufasaha, uwiano na bila upendeleo. Akizungumza leo Oktoba 22 katika kipindi cha...
  12. JamiiForums Tanzania GE2025 DOKEZO Responded Uchaguzi Mkuu wa 2025 na uadilifu wa Vyombo vya Habari Tanzania

    Kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zimebakia takribani wiki mbili kabla ya Watanzania kushiriki katika Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Hali ya uadilifu wa Vyombo vya Habari Katika jamii ya kidemokrasia, Vyombo vya Habari hutazamwa kama daraja kati ya...
  13. JamiiForums Tanzania GE2025 Vyombo vya Habari Tanzania Vimepoteza Dira, Watawala Wanalindwa, Wananchi Wananyamazishwa

    Ukitazama uchaguzi wa mwaka huu, utagundua kuwa vyombo vyetu vya habari vimekuwa vikiweka msisitizo mkubwa kwenye masuala ya amani na haki. Hili si jambo baya, lakini ni muhimu watambue kwamba, wakati wakihubiri amani, kuna kundi la watu ambalo limekuwa likipaza sauti kuhusu utekaji, upoteaji wa...
  14. JamiiForums Tanzania Taswira ya Vyombo vya Habari Tanzania katika tangazo la TEC

    Chawa wakiitisha press kufanya mambo yao yanayoambatana na comedy mbovu au "wahuni" wakijibu Polepole unakuta mic 🎤 zimejaa mpaka zinaanguka kutoka mezani, katibu wa TEC anaongea kuna mic moja tu ya Jambo TV! Hata wakatoliki wenye viTV vyao vya mfukoni wako mashimoni kama panya wanaosubiria giza...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Mwananchi: Kaka wa aliyetekwa kasema ndugu yake katekwa na Mtu fulani lakini vyombo vya habari vinaripoti katekwa na watu wasiojulikana

    Wakuu, Mwanachi mwenzetu kaongea ukweli kabisa, kuna muda vyombo vya habari tunavyotegemea kutupa habari kwa undani na uwazi vinaamua kutupoteza kwa kukimbia ukweli au na wao wanamilikiwa na wajuba? Sema jamaa anajiamini nimewaza na hilo koti alilovaa ni hatarii sana
  16. JamiiForums Tanzania TCRA iko wapi kufungia vyombo vya habari vinavyotaarifu habari za CCM na kutiki Oktoba bila kubalance story na kutafuta ukweli kutoka upande wa NRNE?

    Sheria hii ilitumika kuufungia mtandao wa JamiiForums pamoja na vyombo vingi sana vya habari, Sababu kuu ikitajwa kuwa ni kuandika na kurusha habari bila kuzingatia mzani na kufanya utafiti kuupata ukweli upande wa pili kabla ya kurusha au kuandika habari. Je, hayo yamezingatiwa katika kurusha...
  17. JamiiForums Tanzania Askofu Wa Jimbo Katoliki La Mafinga Kuongea Na Vyombo Vya Habari Tarehe 30/09/2025, Kuhusu Padri Jordan Kibiki Aliyeshutumiwa Kujiteka

    Vincent Cosmas Mwagala, Askofu wa Jimbo Katoliki la Mafinga “Mafingensis" atazungumza na vyombo vya habari, kesho, 30.09.2025 saa 4 asubuhi na kutoa taarifa mintaarafu kuhusu Padre Jordan Kibiki 24.09.2025 Kamanda wa Polisi (RPC) Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi aliwaeleza waandishi wa habari...
  18. JamiiForums Tanzania Wakili Mwabukusi: Uhuru wa Vyombo vya habari kwenye kitanzi?: Tuongozwe na Sheria siyo Mila, Tamaduni na Desturi

    Uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania upo kwenye jaribio hatari, kama vile kulazimisha giza na nuru kuoana kwa nguvu. Hivi karibuni, hatua zilizochukuliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) dhidi ya mtandao mashuhuri wa kidigitali (Jamii Forums) zimewaacha wengi wetu tukijiuliza...
  19. B

    JamiiForums Tanzania StarTV yakatisha matangazo ya BBC Swahili baada ya mtangazaji kusoma kichwa cha habari

    Kutokana na habari za utekaji kutrend Leo kwenye vyombo vya habari hasa habari hiyo kurushwa na BBC. Nikaamua niwafate BBC Swahili kupitia Star Tv Kila saa 3 kamili usiku. Cha ajabu hiyo habari ya utekaji imekatwa na star tv muda huu na kuweka matangazo TU. Aisee hii nchi ilikofikia na mbaya...
  20. JamiiForums Tanzania GE2025 INEC yavitaka Vyombo vya Habari kuomba vibali vya kuripoti Uchaguzi Mkuu 2025

    Kwa kuzingatia kifungu cha 26 cha Sheria ya Tume Huru ya Taifa Uchaguzi Na. 2 ya Mwaka 2024, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi inatoa mwaliko kwa vyombo vya habari vyenye nia ya kuchapisha au kutangaza habari wakati wa kupiga kura, kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Chombo cha Habari...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…