Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ametahadharisha kuwa bila kusimamia utu, Chama cha Mapinduzi (CCM) inaweza kuondoka madarakani hivyo akaonya wanachama ndani ya chama hicho wasione aibu kusimamia utu.
Nape aliyewahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa...
Mbunge wa Jimbo la Mwibara (CCM), Kangi Lugola amesema ni vyema mihimili ya serikali iwe huru ili iweze kufanya kazi zake kwa usahihi bila kuingiliwa.
Soma pia: Vyombo vya Dola na taasisi nyingi zianitaji Kukombolewa na Wananchi ikiwepo mihimili Bunge na Mahakama Wananchi tuvikomboe virudi kua...
Nasikiliza hapa Maria space naona kama anajinyea na kujiharishia kwa hasira jamani , leo anaongea kwa msisitizo na mishipa imemtoka ya shingo kama vile anatumia dawa zileeeeeeeee
2. Mange kimambi naona kuanzia kesho atakuwa kapungua kilo 10 , haaamini kilichotokea
3. Kweli nimefurahi sana...
Amani ya Bwana iwe juu yenu watanzania.
Maandamano ya siku ya uchaguzi mkuu (MO29) yameweka hadharani mambo yanayofanywa na serikali ya CCM.
1.Utekaji
2.Mauaji
3.Uchakachuaji wa uchaguzi.
'D9' ni zamu ya vyombo vya dola kuandamana na hakuna tunachowadai 'Gen Z'.
1. Wanachofanya
Hujipenyeza kwenye mikusanyiko ya watu wanaokusudia amani.
Huanza kuhimiza vurugu, uharibifu wa mali, au vitendo vya wizi.
Hubadilisha taswira ya maandamano kutoka amani kwenda fujo.
Hutoa mazingira ya kuhalalisha matumizi ya nguvu kali.
Kukusanya taarifa za viongozi wa...
Hamjambo!
1. Binafsi Niko salama salimini.
2. Oooh! Robert unajua unazungumzia nini? Unaushahidi wa unachozungumza?
3. Sikiliza. Moja ya mambo yaliyotufikisha hapa tulipo nje ya madai mengine ya Haki(zingine) ni suala la Utekaji.
4. Nilisema, utekaji sio mbinu bora ya kushughulikia matatizo...
Polepole alipambania chama kurudi kwenye misingi ya Huanzishwaji wake chama cha wafanyakazi na wakulima kiwatumikie wananchi lakini mkaona mkikabizi chama wakini Seth IPTL na na mabwanyenye wengine...
Mimi najiuliza hivi ni kweli IGP wambura hana washauli wazuri wakumshauli namna bora ya utendaji kazi wa jeshi la polisi katika kutekeleza majukumu yake zaidi ya haya mambo yanayoendele ya utekaji baada ya kiini macho cha uchaguzi yaliyofanyika october29. ? Hawa viongozi hawajui kama kuendelea...
afya
amani
amani na mshikamano
baada
dola
halali
hapo
haya
hii
jamii
kudumisha amani
macho
mapinduzi
mimi
moto
nchi
njia
uchaguzi
unajua
utekaji
viongozi
vyombovyombovyadola
wapumbavu
D9 Police inatakiwa Disiplini yetu iwe juu nidhamu ya hali ya juu sana huu ni mtego kwenu.
Tumeona mauji ya October 29 police na vyombo vya dola vimefanya mauaji makubwa ya watoto...
Wananchi kwa pamoja tunatakiwa kuungana kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama wala dini zetu kama kweli tumeumizwa na vifo vya wapendwa wetu basi vyombo vya dola baadhi ya Taasisi mihimili vinaitaji kukombolewa...
Bila kujali unatokea wapi una umri gani ni mda kupambana kuondoa vyombo vya dola mikononi mwa wahuni. Tafadhali sana nilikua sijawahi kupata mda wa kuangalia clips za...
bila
dola
fake
huru
kufanya
kujali
kuondoa
kupambana
kushinda
maridhiano
mda
mikononi
mtu
sana
tafadhali
umri
vyombovyombovyadola
wahuni
wako
wapi
watawala
wenyewe
Ndugu Wachezaji, Mashabiki na Wanaharakati wa Amani,
Tanzania yetu imetoka katika kipindi kigumu cha kisiasa, kipindi ambacho baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki zetu wamepoteza maisha mikononi mwa vyombo vya dola wakati wakisimama kudai haki zao za kidemokrasia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka...
Askofu Gwajima amesema hakubaliani kabisa na utekaji. Ameongeza kuwa watekaji sasa hivi waa ujasiri wa kukupigia simu na kusema watakuteka, na watu watakusahau.
Kuna watu wamekimbia nchi kwa kuogopa kutekwa.
Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!
Juu ya Mateso
Mateso hasa yale yanoyotendwa na vyombo vya mabavu vya dola ni udhalilishaji wa hali ya juu wa utu wa binadamu. Hayasahauliki, hayasameheki wala hayakubaliki. Ni udhalilishwaji wa utu mara mbili. Moja ya yule aliyeteswa - utu wake unakanyagwa, unasagwasagwa na kutupiliwa mbali...
Kwa muda sasa, tumekuwa tukiona kwenye mitandao picha na ujumbe wa aina mbalimbali wa kuhamasisha maandamano na leo mpaka karibu kabisa na kituo kimoja cha Polisi kuna matangazo hayo ya kuhamasisha maandamano.
Swali: Vyombo vya dola havioni haya matangazo au na wao wana jambo lao?
Muda utasema.
Nikiwa ni mtanzania na raia mwema kwa nchi yangu nimejikuta nikiingiwa hofu kuu juu ya mstakabali wa maisha ya raia wa nchi hii. Hata wale raia wa kigeni nao kwa kusikia taarifa hizi kupitia mitandao ya kijamii bado waendelea kushangaa kwa jinsi mambo yanavyokwenda kama hakuna kinoendelea.
Na...
Mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Gombo Samandito Gombo amevitaka vyombo vya dola Nchini kutenda haki kwa vyama vyote vya siasa kwakuwa vipo kwajili ya kuwahudumia watanzania wote.
Kauli hiyo ameitoa kwenye mkutano wa hadhara iliofanyika Kata ya Mahembe Jimbo la Kigoma...
"Ni muhimu vyombo vya dola kwa maana ya Jeshi la wananchi, usalama wa taifa, jeshi la uhamiaji, polisi, jeshi la magereza na mengine yote yanabidi yaweze kujitegemea, ambao awawezi kuondolewa na mwenyekiti wa chama au rais". -Amesema Askofu Gwajima
Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.