vyombo vya dola

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    TLS: Tumesikitishwa na vitendo vya kudhalilisha, kukandamiza, na kutweza utu wa Lissu anavyofanyiwa na Vyombo vya Dola

    1 AGOSTI, 2025. TAMKO KUHUSU HADHI, STAHA, HAKI NA UTU KATIKA UENDESHAJI WA SHAURI DHIDI YA WAKILI TUNDU ANTIPAS LISSU MUGHWAY. Baraza la Uongozi la Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) limefuatilia kwa karibu mwenendo wa uendeshaji wa shauri linalomkabili Mwanachama wetu, Wakili Tundu...
  2. Carlos The Jackal

    Tungekua na Vyombo vya Dola huru, Kwa Manufaa ya Taifa, Umoja, Mshikamano na Maendeleo thabiti yanayowaunganisha Watanzania

    Niliwahi Uliza , Huu Utekaji, Mauaji, Ufungwaji wa Makanisa, Majaribio ya kuua Viongozi wa Dini, Kumpa LISSU kesi ya kihuni, Kuzuia CHADEMA , kujtahidi sana Mbowe kua Mwenyekiti wa CHADEMA, kufadhili CHAUMA, haya yoooote ni sababu ya Urais wa Miaka mitano tu?. Urais ambao Hayati Magufuli...
  3. Waufukweni

    Mchungaji Dkt. Kimondo: Tatizo mtu akiongelea tu utekaji anaanza kusumbuliwa na Vyombo vya dola vipo, kuna nini nyuma yake?

    Mchungaji Msataafu wa kanisa la KKKT Mchungaji Dkt. Steven Kimondo, amehoji ukimya wa vyombo vya usalama kuhusu matukio ya watu kutekwa, akisema kama kweli wametekwa, kungekuwa na juhudi za wazi za kuwatafuta, lakini yeye hajaona juhudi hizo. "Katiba ya Nchi inaheshimu uhai wa Mtu, sasa kama...
  4. Lord Denning

    Mvutano ndani ya CCM ni alama ya kuvifungua akili vyombo vya dola. Vikiwa makini huu ndo wakati wa kusimika mifumo imara

    Siasa za Tanzania chini ya Chama cha Mapinduzi ni siasa za makundi kugombania Madaraka na Ulaji. Makundi yote yanafanana kwenye jambo kuu moja. Uchu wa madaraka ili kuila keki ya Taifa vizuri. Makundi yote haya yanaamini yakishika utawala wa nchi basi watapata hela wapendavyo, wataishi vizuri...
  5. Ex Spy

    GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    More to come… Kaiweka barua mwenyewe mtandaoni: ======= Kwa heshima na unyenyekevu, naomba kukutaarifu kuwa nimefikia uamuzi wa kujiuzulu nafasi yangu ya Uongozi wa Umma nikiwa Balozi na Mkuu wa Kituo cha Uwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Havana – Cuba, pamoja na uwakilishi wa...
  6. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Vyombo vya Dola, Mna uhakika Samia hatoendelea kuwaingiza kwenye mtego wa matumizi ya Nguvu na Uvunjifu wa Haki za Raia?

    Hili Swali nililiuliza Punde tu Samia alipojiteua kua Mgombea !!. ( Unajua Mtego anaowaingiza Samia, utawafanya Vyombo Dola mnuke Damu za watu, matokeo yake mtajikuta mko Blackmailed, in turn mtajikuta nanyinyi mmeamua kutumia Mbinu za Uovu ili kuendelea kubakia Madarakani, mkiogopa kuchukuliwa...
  7. Waufukweni

    Padri Kitima: Vyombo vya Dola wanalijua vizuri tukio la shambulia kwangu. Mbele ya Mungu wanalijua vizuri

    Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, amesema tukio la yeye kushambuliwa na watu wasiojulikana linafahamika vizuri na vyombo vya dola, na kwamba hatua zaidi kuhusu uchunguzi na haki zipo katika vyombo hivyo vya usalama. "Vyombo vya dola vimekuja...
  8. Lord Denning

    Funzo zuri kutoka Afrika Kusini: Vyombo vya Dola Tanzania vikatae Wanasiasa kuwa juu yao na kuingilia kazi zao

    Wiki hii nchini Afrika Kusini kuna habari nzito inatamba kuhusu Mkuu wa Polisi wa Jimbo la Kwa Zulu Natal Luteni Generali Nlanhia Mkhwanazi kumsema waziwazi mbele ya vyombo vya habari Waziri wa Masuala ya Polisi wa Afrika kusini kujihusisha na magenge ya kihalifu. Mkuu huyu wa Polisi alifikia...
  9. Carlos The Jackal

    Vyombo vya Dola viachane na Siasa za CCM, vijikite kulinda Haki, Amani, Maliasili za Nchi na Maendeleo ya Taifa. Huo ndio Uzalendo!

    Kwanza kufanikiwa hili ni lazima KATIBA MPYA IWEPO. Ndugu zangu, mnajua kunaujinga ulifanyika wa kuunganisha Dola na CCM miaka Ile wakati wa Mzee Nyerere !. Inawezekana Kwa Nyakati zilez mazingira yaliruhusu hivo kwakua tulikua na CHAMA KIMOJA TU , Hivo ulikua ukizungumzia Kamati ya Usalama...
  10. S

    Mama, hata wewe usilazimishe vyombo vya dola vifanye mengine kama inavyotokea katika mataifa mengine

    Mama, kama ulivyotushauri sisi wananchi, na mimi huo ndio ushauri wangu kwako kwani huwezi jua wanayapokeaje haya yanayoendelea hapa nchini.
  11. W

    PreGE2025 Ado Shaibu akiri anawaogopa CCM na vyombo vya dola watawaibia kura zao

    Wakati akijibu alipoulizwa na mtumiaji mmoja wa X kuhusu operesheni yao ya #lindakura kwamba wanaogopa nani ataiiba alijibu; "CCM na vyombo vya dola! Oktoba"
  12. Lord Denning

    Kituko cha Karne: Vyombo vya dola vinaipambania CCM iendelee Kutawala ili Bungeni wajadili haya

    Wakati Watumishi wa vyombo vya dola wakiwa sehemu ya jamii ya Watanzania ambao watoto wao wanaathirika na ukosefu mkubwa wa ajira. Wakati Watumishi wa vyombo vya dola wakiwa sehemu ya wanajamii wa Tanzania ambao hawapati huduma bora na madawa hospitali. Wakati Watumishi wa vyombo vya dola...
  13. S

    Inawezekana kuna connection kati ya wakuu wa vyombo vya dola na Gwajima na pia kuna vigogo wa chama cha kijani nyuma yake

    Kama heading inavyoeleza, huu ndio unaweza kuwa ni uhalisia wa mambo na ndio maana Gwajima katumia nguvu kubwa kuwatetea wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Ni lazima ujiulize ni kwanini Gwajima amekwepa kabisa kiwatuhumu wakuu wa vyombo vya dola na badala yake amelenga mamlaka ya uteuzi...
  14. Zanzibar-ASP

    Vita ya Tanzania dhidi ya waKenya: Serikali na vyombo vya dola vimekosea sana, kidiplomasia tumeyumba mnoo

    Tuweke ushabiki pembeni, tuseme ukweli. Tujiulize haya maswali muhimu; 1. Hivi kulikuwa na ulazima wa serikali na vyombo vya dola vya Tanzania kuchukua hatua za namna hii? 2. Kulikuwa na ulazima wa Rais kujiingiza moja kwa moja, kichwa kichwa, mstari wa mbele, tena kwa kebehi, dhihaka na...
  15. MamaSamia2025

    Martha Karua na wenzake wakawaulize makaburu kuhusu balaa la vyombo vya dola vya Tanzania kabla hawajajilaumu mbeleni

    Ninasikitika sana nikiona mitandaoni watu wakiwasifu kina Martha Karua na wanaharakati ushuzi wengine wakidhani wanaweza kuitikisa serikali ya Tanzania. Ninasisitiza kuwa serikali ya Tanzania chini ya CCM ni serikali imara kuliko wajinga wengi wanavyodhani. Makaburu na ubabe wao wote walikuwa...
  16. Lord Denning

    Hali yazidi kuwa tete kwa CCM: Baada ya kukosa pandikizi hata moja kwenye Uongozi Mpya wa Chadema wamuelekeza Msajili Kutengua Viongozi wapya

    Moja ya zawadi kubwa aliyotupa Mungu Watanzania mwaka huu 2025 ni kumteua Tundu Antipass Lissu kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Kuchaguliwa kwa Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwenye Uchaguzi Huru na wa Haki ulioshuhudiwa na Watanzania wote kupitia vyombo vya habari kulihitimisha rasmi siasa...
  17. Brain Kingdom

    Mtazamo wangu: Awamu ya Samia Vyombo vya Dola vina Nguvu Jeuri, na Uhakika wa kufanya wanavyotaka kuliko awamu ya Magufuli

    Ni mtazamo wangu, na sababu kuu ni kwamba wanawaweza kufanya lolote bila uoga wa kufokewa, kutumbuliwa, wala karipio. Awamu hii unaweza kuambiwa utaona , tutaona na ikatimia kweli, nawapa tahadhari kama huna faida na jambo lenye ukakasi omba yaishe endelea na maisha yako. Kupeana tahadhari ni...
  18. and 100 others

    Kati Ya Vyombo Vya Dola na Viongozi Wa Dini Nani Hapaswi Kujihusisha Na Siasa?

    Mimi nijuavyo vyombo vya dola kama polisi, jeshi, na idara za usalama vinapaswa kuwa huru na kutenda kazi kwa misingi ya sheria bila upendeleo. Kujihusisha na siasa kunaweza kusababisha ubaguzi na matumizi mabaya ya madaraka dhidi ya wapinzani wa kisiasa au raia wa kawaida. Taasisi za serikali...
  19. The Palm Beach

    PreGE2025 Mbunge Godwin Kunambi: Ahubiri injili ya "HAKI" bungeni. Apinga vyombo vya dola kubambikizia kesi watu. Asema, duniani tunapita tu

    Taratibu injili ya NO REFORMS, NO ELECTION inaanza kuwaingia hata waliokuwa na mioyo migumu kama chuma ndani ya CCM... Huyu hapa kwenye video hii ni Mbunge wa CCM jimbo la Mlimba, wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro.. Kwa tahadhari kubwa, (bila shaka akihofia kusonywa na wenzake) huku...
Back
Top Bottom