vioo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jT0078

    NAUZA VIOO NA HOUSING ZA LAPTOP

    Kama Laptop yako.. -imevunjika kioo Imavunjika housing Ilete tubadilishe Ilala - Dsm 0767953873
  2. Hance Mtanashati

    Mabondia wa TZ ,ukimtoa Mwakinyo 96% ni machawa hatuna budi nao kuwafungia vioo. Wana hiyo wanaita Knockout ya mama wanajimaliza sana

    Mabondia wa Tanzania wengi ni machawa wa CCM , tangu waletewe hiyo knockout ya mama wanazidi kujimaliza kumsifia mama abduli na chama chao cha ccm. Mwakinyo kwenye mkumbo huu kaukataa na mara kadhaa amekuwa akilaani matukio yote ya kihalifu yanayotokea hapa nchini haswa matukio ya kitekaji...
  3. jT0078

    Nauza na kubadilisha Housing na vioo vya Laptop

    Kama Laptop yako imevunjika kioo au Housing imechoka njoo tubadilishe. Ilala - Dsm 0767953873
  4. G

    Kuna watu wanaojaribu kuvunja vioo Ili wasione uchafu wao , wamejaribu kuvunja vya ndani ikiwemo JF, vya majirani vimewaumbua , kama sio upumbavu nini

    Walikuwa na nafasi ya kujisafisha mapema lakini wamechelewa sana Watu wenye akili wanaheshimu kioo Kwa sababu kinawasidia kujua uchafu wake mapema na kujirekebisha mapema Lakini wapumbavu (wanajua kosa lakini anafanya ) wanapasua kioo na kuona ndo sababu ya kuchafuka kwao. MOja ya vioo vya...
  5. jT0078

    Tunauza na kubadili vioo na housing za laptop

    Leta Laptop yako tubadili muonekano kama... -Housing imevunjika au ina scratches -Kioo cha Laptop kimevunjika/kina madoa/kina mistari Tupo ilala - Dsm 0767953873
  6. tonicimmobility

    GE2025 Mchungaji: Wasanii wa sasa wamekuwa vyoo vya jamii na sio vioo vya jamii

    Mchungaji ashangazwa na kitendo cha wasanii wa bongofleva na bongomovie kulundikana kwenye mikutano ya siasa,adai kwasasa wamekuwa sio vioo vya jamii tena bali ni vyoo vya jamii. Neno moja kwake Soma pia: Kwa nini wasanii na masheikh ndio wamekuwa mstari wa mbele kujibu mashambulizi?
  7. Yoda

    Mzunguko wa hewa huwa sio mzuri ndani ya Bus zenye viyoyozi (AC), bora kufungua vioo tu

    Katika maendeleo ya usafiri ambayo sijaona umuhimu wake ni bus zenye vyoo ndani na AC, nikipinda hizi bus hasa safari za mchana huwa nahisi hewa nzito sana ndani ya gari. Sijui kama kisayansi ni sahihi au inashauriwa kusafiri watu 50 masaa nane ndani ya Bus ambalo mmesongamana mkiwa mmefunga...
  8. Mshana Jr

    Vioo ya ndani

    Nyumba nzuri kwa nje ni lazima na vya ndani viendane na uzuri wa nje Hapa ni mtiririko wa picha mbalimbali za vioo unavyoweza kuweka ndani kwako kulingana na nafasi, eneo na mahitaji
  9. KING MIDAS

    Hivi vioo vina matumizi Gani kwenye gari?

    Wasafwa husema kwenye wengi pana mengi, na kujifunza hakuna ukomo na wala hakuna ajuaye yote. Hata Erica Lukomo Kakuyu aliendelea kujifunza hadi dakika yake ya mwisho kabla ya kutwaliwa. Kwenye mabasi ya Toyota Coaster Kuna kioo kinaning'inia juu kwenye kioo kikubwa cha nyuma, je ni nini KAZI...
  10. Logikos

    Uongo unaotambulika kama Ukweli: Archimedes aliweza kuunguza meli za Warumi kwa kutumia Vioo na Mwanga wa jua

    Hili lipo Historically, tunaambiwa huyu mdau (mgunduzi) alitumia mbinu za kutumia vioo na mwanga wa jua (kama vile lense inavyoweka kuchoma karatasi) na kuunguza Meli zilikuwa zinavamia..., Je kuna ukweli kwamba hilo lilitokea ? https://youtu.be/ZI3WcOTGd4o?si=l0gGUXgAPdBg9pwJ
  11. RaJhumoR

    Kabati la Vioo la Nguo ama Urembo Linauzwa

    Ebhana watu wa JF nawasalimu kwa Heshima ya Jamhuri ya muungano wa Taifa letu Nina biashara nahitaji kuuza hili kabati langu la vioo, Na nimelipenda sana ila dah kuna madogo wawili wamekuwa position nyumbani sasa ni watundu balaa na mm nahofia watavunja maana wao sasahivi wanashinda room...
  12. W

    Baada ya kupiga picha ya passport size nimestuka sana kuona sura ilivyozeeka, vioo huwa vinatudanganya ?

    sikuamini nachokiona, niliomba picha yangu irudiwe ni vile vile nikaenda kupiga sehemu nyingine lakini matokeo ni yale yale. kila siku nikijiangalia kwenye kioo sioni tatizo
  13. K

    Natafuta vioo vya samsung

    Wakubwa, natafuta mahali panapatikana spea za Samsung S10,S9,. Shida ni kioo tu
  14. Strong25

    Karibuni sana kupata madirisha ya vioo na milango

    Natumai mko poa kabisa PENDEZESHA NYUMBA YAKO KWA ALLUMINIUM _natengeneza madirisha ya alluminiu _milango ya alluminium & viooo _partion za mahoficini & duka la dawa & hopitali _vioo vya saloon kike na kiume _kama uliweka madirisha tunafanya repair kama vioo havitembei vizuri ama wavu kuchanika...
  15. D

    Offer offer phone accessories

    Duka ni jipya lipo mbagala phone accessories kwa BEI ya kitonga jumla na rejareja EARPODS 3 kwa 7,000/= tu Viioo vya SIMU Charge aina zote Smart watch N.k 0748831964 Whatsapp
  16. Q

    Tumeyataka wenyewe, ukiwa kwenye nyumba ya vioo usianze kurusha mawe

    Kwa speech ile tumewachokoza wenyewe. Hapa duniani kuna mashirika makubwa ya kijasusi ambayo yakihitaji kitu au kumhitaji mtu popote pale hayashindwi. 1. CIA - Shirika la kijasusi la Marekani. 2.Mossad - Shirika la kijasusi la Israel. 3. M16 - Shirika la kijasusi la Uingereza. 4. KGB - Shirika...
  17. J

    Mfumo mpya wa iphone utazuia wezi wa simu kuuza vioo, betri na kamera za iphone

    Mwaka huu Apple imebadilisha utaratibu wake wa kurekebisha simu na vifaa vya kutumia simu. Wiki hii katika mfumo mpya wa iOS 18 wakaguzi na mafundi wa simu wamegundua Apple imeweka mfumo mpya wa kuzuia wezi kuuza display, betri na kamera za simu ambazo zimeibiwa. Mfumo mpya wa iOS 18 umeweka...
  18. BEST 001

    TUNAFANYA EXCHANGE AU TOP UP ZA,SIMU PIA TUNATENGEZA VIOO VYA SIMU AINA ZOTE JIJINI ARUSHA

    Habari, Wakuu humu jamii forum Simu yako ya zamani au unayoitumia unaweza kubadilisha na kuchukua simu nyingine, kutoka dukani kwetu kwa kuongezea pesa kiasi ili upate simu nyingine iwe mpya au used. Simu tulizo nazo ni iPhone,Samsung,pixel,Oppo na nyinginezo TUNAPATIKANA ARUSHA, STENDI...
  19. R

    Ushauri: Gari zote ziondolewe vioo vya tinted Ili kuwabaini watekaji wasiojulikana

    Salaam, shalom!! Hali ya USALAMA wa raia imekuwa Tete, na mamlaka husika hazitoi ushirikiano wa kutosha juu ya suala hili. Na Kwa kuwa wananchi ambao ndio Hasa waajiri wa vyombo vyote vya ulinzi wa USALAMA, tunao uwezo wa kujilinda na kurekebisha utata huu. Ushauri: Gari zote ziondolewe...
  20. Mjina Mrefu

    Naomba Connection ya kupata Wauzaji wa vioo vya simu kwa jumla kwa bei nzuri

    Wakuu, Kuna chimbo nimelipata pana gape ya vioo vya simu kuanzia viswaswadu hadi Smartphone. Nimejaribu kusaka maduka yanayouza jumla, naona bei zimechangamka sana. Mfano kioo mafundi simu wanavyouza elf 30, madukani nao wananiuzia bei iyo iyo. Tupeane connection nitakapopata kwa bei nzuri...
Back
Top Bottom