uzazi wa mpango

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Wanaoacha kutumia Sindano za Uzazi wa Mpango inawachukua muda gani kubeba ujauzito?

    Unaweza kutumia njia mbalimbali za uzazi wa mpango ili kuzuia mimba, hiyo ni haki yako kama ilivyo kuwa ni haki yako kuchagua aina ya njia ambayo inafaa zaidi kwako. Upande mwingine kuna dhana kuwa ukitumia dawa hizo hasa Sindano ya Uzazi wa Mpango zinaweza kuzuia usipate ujauzito tena lakini...
  2. Zurie

    Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

    Habari, Hii ni kwa wanawake wenzangu ambao wanatumia uzazi wa mpango aina ya IUD (Intra-uterine Device) au Kitanzi. How are you guys? Vinawapa maudhi kama kilivyoninyoosha mimi au mmetulia? I have to say nili-opt kutumia IUD sababu niliambiwa haina maudhi, na niliweka a copper IUD nikiambiwa...
  3. N

    Uzazi wa mpango upi salama?

    Habari wana JF?. Mimi Niko kwenye ndoa mwaka wa pili, nimebahatika kupata mtoto Mmoja ana mwaka na miezi miwili saiv. Tulikuwa tunatumia njian ya UZAZI WA MPANGO WA kitanzi na mke WANGU, na kitanzi chenyewe kawekewa kina kama miezi nane tu ila chakushangaza alikuwa hajaingia period tangu wiki...
  4. Pdidy

    Zaeni Watoto mtakaoweza kuwatunza, acheni kuwatesa uzao wa kwanza (firstborn) kwa Majukumu

    SIJUI NIONGEZE VOLUMEEE
  5. Baba jayaron

    Msaada njia ya uzazi wa mpango ya kibaiolojia kwa mwanaume: ndani ya miaka miwili mimba wanawake wanne

    Salaam alaikum Wana Jambi... Mimi kijana mwenzenu middle of 30's watoto wawili ila mtihani mpaka sasa Kuna wanawake wengine wanne nshawapa ujauzito ndani ya miaka hii miwili, nahisi kuvurugwa japo wenyewe hawaoneshi kujali...... Najua njia mbili kwa mwanaume kunizuia kutia mimba ikiwa ni 1...
  6. Nkulu wa nchito

    Njia za uzazi wa mpango

    Nauliza eti hizi njia za uzazi wa mpango kuna baadhi ya wanawake zinawaathiri wasiwe na hamu ya kufanya mapenzi au anatumia sababu hiyo kuninyima mbususu
  7. Binti wa zamani

    Fanya yote ila usimzalie mtoto huyo mwanaume!

    Mabinti, hasa nyie wadogo wa alfu mbili, hata akuambiaje, Usijichanganye kumzalia mtoto. Hakuna jukumu kubwa kwenye maisha zaidi ya kuzaa na kulea watoto. Mwanaume akikuambia bado hayuko tayari kukuoa ila anataka umzalie, huyo ni tapeli kama matapeli wengine tu. Kama huna kipato cha kueleweka...
  8. Fufua Tumaini Jipya

    Wazungu walikuwa sahihi kuweka sera ya uzazi wa mpango, ona wachina wanavyoteseka na wahindi walizaa sana bila mipango leo hii wanaishia kuangaika !

    Jamii ambazo ziliendekeza Sera za kuzaa Sana Kama India na China , kwa sasa raia wake ndo hawa wanakuja kuanzisha Madube huku wakijiita wawekezaji. Yaani unatoka China kuja kuwaibia wananchi miambili zao kupitia Madube. Ukiwaangalia Wachina na Wahindi unaona kabisa kuwa ni ujinga Sana kuzaa...
  9. S

    Njia ya asili ya uzazi wa mpango kwa kupima vichocheo (Homoni) vilivyopo kwenye mkojo wa mwanamke

    Leo nimekutana na hii njia ya asili ya uzazi wa mpango ambayo watumiaji wake wakubwa wako nchi zilizoendelea. Njia hii inaitwa Marquette Method kwa sababu ilianzishwa na wataalamu waliopo chuo kikuu cha Kikatoliki cha Marquette cha nchini Marekani. Njia hii huhusisha mwanamke kupima mkojo wake...
  10. Dr isaya febu

    Ijue Njia Ya Uzazi wa Mpango Ya Kumwaga Nje Shahawa.

    Njia ya uzazi wa mpango ya kumwaga nje shahawa inayojuliakana pia kwa kitaalamu kama withdrawal method/pulling out method ni ni mbinu ya uzazi wa mpango inayotegemea mwanaume kutoa uume wake kutoka kwenye uke wa mwenza wake kabla ya kufikia kileleni (kumwaga shahawa) wakati wa tendo la ndoa ili...
  11. T

    Wanawake Wengi Hawataki kutumia Uzazi wa Mpango ila wanapenda Kugegeduana Pekupeku, Kibaya hawataki mimba au Kuzaa;Hii imekaaje?

    Unajua kuna principle moja kwenye moja ya physchosocial model inasema "we are the product of our decision". Turudi kwenye mada, wanawake wa kisasa ukiwa naye wanapenda kugegeduana pekupeku, yaani wanapenda kuisikilizia skin to skin vibaya sana, ila likija suala la kumshauri kutumia uzazi wa...
  12. I

    Mwitikio wa Wananchi kupata huduma za uzazi wa mpango Halmashauri ya Mji wa Korogwe watajwa kuongezeka

    Mratibu wa Afya ya Uzazi na Mtoto katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Monica Nalinga amesema idadi ya watu wanaonufaika na huduma za Uzazi wa Mpango imeongezeka ikiwa ni matokeo ya ushirikiano baina ya Serikali na wadau ambao wamejitokeza kuunga mkono jitihada hizo. Akizungumzia huduma hizo...
  13. Thabit Madai

    Pemba kunahitajika zaidi elimu ya uzazi wa mpango, Watoto wanateseka

    Naandika andiko hili fupi nikiwa Unguja - Zanzibar baada ya safari ya takribani Wiki Mbili nikiwa kisiwani Pemba. Mimi ni Mwandishi wa habari na nimepata bahati ya kutembelea maeneo mengi Tanzania bara na Visiwani ila nilichokikuta Pemba bado kinanijastaajabisha hadi sasa naandika andiko hili...
  14. Blender

    Mimi Kuna Kitu Kinanichanganya Sana Kwenye Hii Serikali Yetu

    Mimi Kuna Kitu Kinanichanganya Sana Kwenye Hii Serikali Yetu Wanasema Mimba Na Mtoto Ni mali ya Serikali Lakini Kwanzia Ujauzito Na Mtoto Unahudumia Wewe Sasa Kwanini Kama Mtoto Ni mali ya Serikali Usiwekwe Mfumo Wa Kuwalipa Wazazi Posho Za Malezi Ya Mtoto/ Watoto Wao? Hapo Nachoka Kabisa. Au...
  15. A

    Mke wangu amekosa hisia na mimi baada ya kuweka uzazi wa mpango

    Mimi ni kijana nina miaka 24 tafadhari nina shida. Naomba unisaidie maana Nina mke na mtoto mmoja toka mke wangu amejifungua kiufupi Sina furaha na maisha kabisa maana baada ya kujifungua tu tulikwenda hospitali na tukaweka uzazi wa mpango lakini baada ya hapo mke wangu amekosa hisia na Mimi...
  16. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Ni kweli kwamba Flagly (Metronidazole) ile ya njano inazuia mimba kuingia?

    Heshima kwenu nyote Ni wazi kuwa sie wabongo ni watu wa kujaribu vitu hata vile tusivyo visomea. Nitaweka baadhi ya dawa(vidonge) ambavyo vinatibu ugonjwa fln lakni Kwa ujuaji wa kibongo vidonge hivo hutumika Kwa matumizi mengine na kuleta manufaa. Baadhi ya vidonge Hivi ni kama(sitatumia...
  17. G

    Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

    Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo. Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la...
  18. GENTAMYCINE

    Huyu ndiyo Mwanaume wa Shoka: Aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya Geita afariki na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10

    Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10. Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari...
  19. S

    Tabia ya Watanzania ya kuzaa hovyo ndiyo chanzo cha umaskini. Bodaboda ana watoto sita! Hata Serikali inashindwa kupanga mipango

    Kwa mwendo huu hakuna Rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii. Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora). Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni...
  20. C

    SoC04 Njia za uzazi wa mpango kwa jinsia isiyo sahihi (contraceptives for wrong gender)

    Uwajibikaji wa uzazi wa Mpango umeweka mzigo usio sawa kwa wanawake, licha ya ukweli wa kibaolojia kwamba wanaume wana uwezo wa kumfanya mwanamke apate ujauzito. Wanawake huzalisha idadi ndogo ya mayai kwa mwezi, (kwa kawaida moja) wakati wanaume hutoa mamilioni ya manii(Shahawa) kwa kufanya...
Back
Top Bottom