Wanabodi,
Leo kuna SMS nimetumiwa, nilipoisema humu hiyo SMS imeleta kizaazaa! hadi kufikia kutoleana maneno mabaya kwa baadhi ya watu humu kutoleana maneno ya kufuru kwa Mwenye Enzi Mungu!.
Kitendo cha baadhi yetu kumkubali, kumsifu na kumpongeza mtu fulani kwa uchapakazi wake, kunahesabiwa...