utekaji na mauaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    Aliyetekwa akutwa ameuawa na kuzikwa nyumbani kwa mtu Tabora

    Mtu mmoja aliyekuwa akifahamika kwa jina la Castory Madembwe ambaye alikuwa anatafutwa kwa zaidi ya mwezi mmoja tangu kupatikana kwa taarifa zake kwamba ametekwa,hatimaye leo Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa kushirikiana na wananchi wa Kata ya Mpera wamefanikiwa kuupata mwili wa mtu huyo...
  2. Idugunde

    Nakubaliana na Padre Kitima kuna watu wanapata na walishapata uonevu mkubwa hapa Duniani kuliko wa yeye kuvamiwa na kupigwa

    Hili nalo lina ubishi? Famili ya mzee Ali Kibao, Mdude Nyagali na Dismas Soka hii ni mifano tu ya kutoa. Je Padre Kitima anakosea anaposema kuna akina Lissu na wengine wengi wapo magerezani kwa chuki na visasi vya kisiasa! Je hao waliopotezwa?
  3. Carlos The Jackal

    GE2025 CCM ni kubwa kuliko mtu, leteni mgombea Urais mpya atakayeponyesha majeraha ya watu

    Niliwahi Uliza humu, Dola Mnauhakika Rais Samia kua Mgombea, hawaingizi kwenye mtego wa matumizi ya nguvu kupitiliza??. Ishu nzima ya Bandari Kwa Waarabu, Watanzania wakapinga katakata Kwa Hoja ,Kwa Katiba, na Kwa Mifano !!.yaan Bandari alojenga Kipenzi Cha Watanzania JP Kwa matrillion ya...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Moja ya Mazuri ya Samia ni kufungua nchi kwenye Ajira. Kilichomtoa Mchezoni ni Mambo ya Utekaji na Mauaji ambayo serikali yake imeshindwa kutoa jawabu

    Mpo Salama! Hata wanaomchukia wanakiri kuwa Rais Samia alipoingia aliwatia katika wakati Mgumu. Kwanza, aliamua kufuata Haki ya watu kuwa Huru Kujieleza. Hiyo nilimpa Big tick! Katika haki hiyo wapo waliomzodoa na kumkabia kooni kwa namna Mbalimbali. Wengine wakimvunjia heshima Kama Rais wa...
  5. Carlos The Jackal

    Katika Kuupuuzia Utekaji na Mauaji ya Kisiasa ,Hatimaye Waovu wanapitia humohumo!! Mauaji ya Mke na Mume Hapo Dar, yawaamshe Wazalendo katika Mfumo'

    Mnapokua na Taifa kama la Tanzania, ambalo Utekaji na Mauaji ya Kisiasa yanendelea kúfanyika. Wakati huohuo Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya Usalama vikikaa kimya, maana yake ni kutengeneza mazingira ya Watu waovu Kupanga na kutekeleza Mauaji na vitendo vya kiovu bila kua noticed...
  6. M

    Shura ya Maimamu wa Tanzania yatoa waraka mzito-Yalaani matendo ya utekaji na mauaji nchini na kutaka haki katika chaguzi nchini

    HAYA NI BAADHI YA MAMBO YALIYOMO KATIKA WARAKA WA SHURA YA MAIMAMU , WARAKA MZIMA UPO KATIKA ATTACHMENT SHURA YA MAIMAMU TANZANIA S.L.B.2055 DAR ES SALAAM. 0748410746 WARAKA WA IDD ADH-HAA DHULHIJJA 10, 1446 = JUNI 07, 2025 PITIO LA HALI YA MAISHA TANZANIA 2025 Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025...
  7. M

    Sheikh Kundecha, umetuangusha waislamu kwa kukataa kuunga mkono sauti ya kukemea utekaji nchini na kwa kutosimama upande wa raia

    Ndugu Sheikh Kundecha, nimetizama wasilisho lako katika msikiti wa Qiblatein Mwananyamala la baraza la Eid. Kwa kweli nimesikitishwa sana na jinsi ulivyoacha kuisemea dhulma inayotamalaki nchini, ya utekaji watu, mauaji ya watu na dhulma dhidi ya watu. Wanaotekwa si watu wa dini nyingine, hata...
  8. Carlos The Jackal

    Utekaji na Mauaji ya Watu Si tu Kwa sababu ya Urais wa Miaka 5, ni Kwa sababu ya Hatima ya Wachina na Waarabu !! Wanajua Samia akianguka,hawana Chao!

    Haingii akilini , Utekaji na Mauaji yaloshamiri Et uwe tu sababu ya Urais !! Hapana !!. Huyu Rais alikataliaa na Magufuli katakata, Magufuli alimkataa katakata, hakutaka hata awe Makamo wake, ni basi tu alichomekewa. Na Kwa Mapenzi ya Mungu na Ubovu wa Katiba yetu, Samia akawa Rais wa Bahati...
  9. Chilemba wamela pamputi

    Sheikh Khalifa Khamis: Nasimama asilimia 100 na Askofu Gwajima kupinga utekaji

    Kama kichwa kinavyo someka, kadiri siku zinavyo zaidi kusonga mbele ndivyo matamko mbalimbali yanatolewa na viongozi au watu wa kada mbalimbali , msikilize huyu sheikh alafu tuachie maone yako . Mimi namunga mkono Askofu Gwajima na wale wote wanaopinga matendo yote maovu. Nakuomba Rais Samia...
  10. Mkalukungone Mwamba

    Waraka wa Idd Adh-Haa: Rais awawajibishe viongozi wa vyombo vya usalama kwa kushindwa kuzuia matukio ya kutekwa na kuuliwa raia

    Tunato wito kwa Bunge lijadili maombi ya kuundwa Tume ya Bunge ya kuchunguza utekaji na mauaji ya mamia ya raia yaliyotolewa na taasisi za kijamii, viongozi na yale yaliyo wasilishwa rasmi na wabunge bungeni. Rais awawajibishe viongozi wa vyombo vya usalama kwa kushindwa kuzuia matukio ya...
  11. Mkalukungone Mwamba

    Kwa madai ya Malisa: Mwili wa Dkt. Hashim Titto aliyepotea tangu 22 April, 2025 umepatikana katika hospitali ya Polisi Kilwa road

    Tarehe 26 May kupitia ukurasa huu, nilitoa taarifa ya kupotea kwa Dr.Hashim Titto, daktari wa hospitali ya rufaa ya kanda Mtwara, na Mwanafunzi wa udaktari bingwa wa upasuaji (Resident MMED Surgery) katika chuo kikuu cha afya na sayansi Shirikishi Muhimbili, ambaye alipotea tangu tarehe 22 April...
  12. Lord Denning

    Wachungaji wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani:Imekuwaje mnampigia makofi mtu ambaye akemie watu kutekwa?

    Katika Biblia takatifu tunafundishwa kuchukia na kukemea dhambi zote. Kuanzia Wizi, Uzinzi, Kuua, Kuonea watu, zinaa pamoja na matendo maovu yakiwemo ya ubakaji na ulawiti. Kwa kipindi kirefu kumekuwa na matukio ya wakosoaji wa Serikali kutekwa, Kuuwawa, Kubakwa na kulawitiwa( Udhalilishaji wa...
  13. Consigliere

    Kanisa lafungwa nchini Tanzania baada ya Askofu wa Kanisa hilo kuitaka Serikali kudhibiti matendo ya utekaji na mauaji kwa raia

    Baada ya Mbunge wa Chama tawala nchini Tanzania ambaye pia ni Askofu kuitaka serikali kukomesha mambo ya utekaji na mauaji nchini Tanzania na kutishia kuwataja watekaji hao, Serikali ilijibu kwa kuchukua hatua za kulifungia Kanisa hilo na kutuma askari walioenda kuwaondoa waumini wake kwa nguvu...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    Pambano hili lisichukue mkondo wa udini. Kivyovyote Gwajima atashinda likipelekwa kidinidini

    Tupo tunatazama! Huu mpambano uendeshwe Kwa tahadhari, maana kuna watu wanaanza kuingiza agenda zisizofaa. Gwajima ni mtu anayependa kushindana na kushinda. Kwa kushindana huchukulia kama mchezo. Na bahati nzuri anaumudu. Gwajima ni zile type za kina Trump. Njia pekee ya kuwashinda watu aina...
  15. G Sam

    Tusitafune maneno, Rais Samia kamwe haguswi na utekaji na mauaji kwa wapinzani wake

    Huyu ni Rais tena mbaya zaidi ni mama ana watoto ila kamwe haguswi na utekeji na mauaji kwa wapinzani wake. Hili wala tusitafune maana ameshajionyesha kwa kauli zake kadhaa na ukimya wa kuchukua hatua. Sasa imebaki kwa mtu mwenyewe kujilinda maana mamlaka haikulindi ukiwa mpinzani.
  16. BLUE DOG

    Asiye kuwa na uchungu na mtoto wake au jamaa au Watanzania wenzake au Binadamu mwenzake awe wakwanza kumrushia Askofu Gwajima Jiwe

    Salaam wandugu. Waungwana husema , Uchungu wa mwana aujua mzazi Sasa alichokisema Askofu Ngwajima amekisema kwa moyo wa dhati kabisa na kwa uchungu mkubwa kuonyesha jinsi gani mtoto alivyo wa thamani kwa aliye naye Na kila mzazi yuko radhi kupigania uhai wa mwanae kwa gharama yoyote...
  17. Carlos The Jackal

    Hawa wanaojiita 'Jumuiya ya Maridhiano' kwanini kwenye hotuba yao yote,haijagusia matendo ya utekaji

    Hawa ndio wanafanya Hasira ya Wananchi juu ya Serikali, CCM na Rais iwe juu Kila siku. Kila siku Mungu anazidi kuwachanganya ili Watanzania wajue Watekaji na Wauaji wao ni watu gani Et Jumuiya Hotuba nzima inajadili Vijana wa Kenya ! Hii ni Aibu.
  18. Kipenzi Changu

    PreGE2025 Askofu Gwajima: Utajisikiaje kama Baba Yako anashushwa kwenye gari, halafu kesho unasikia amekufa

    "Mfano huyu kibao, Unajisikiaje kama baba yako anashushwa kwenye gari halafu anakutwa amekufa" "Kuna huyu Mdude, kama mume wako anakuja kuchukuliwa nyumbani halafu mpaka leo haonekani, unajisikiaje" Hizi ni nukuu ya baadhi ya maneno ya Askofu Gwajima. Niwaulize wote mnaopinga alichokisema...
  19. Ngongo

    PreGE2025 Wanasiasa wanafiki utekaji na mauaji yalipotamalaki walinyamaza

    Wana siasa uchwara walinyamaza kipindi mauaji na utekaji ukipamba moto. Walinyamaza kwakuwa waliotekwa hawakuwa ndugu zao,hawakuwa na sababu ya kuwasemea pengine waliona waliotekwa au kupoteza maisha ni vikaragosi tu. Pia soma Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama...
  20. Poppy Hatonn

    PreGE2025 Mchungaji Mwl Steven Jacob atekwa na watu wasiojulikana

    Mchungaji wa kanisa Huduma ya Kristo lililopo mtaa wa FFU kata ya Murieti Jiji Arusha Steven Jacob mwenye umri wa mika 35 ametekwa na watu wasiojulikana asubuhi ya leo Tarehe 16 May 2025 wakati akitoka nyumbani kwake Wakizungumza mashuhuda na majirani wa eneo hiyo akiwemo baba yake mzazi ambaye...
Back
Top Bottom