Mtu mmoja aliyekuwa akifahamika kwa jina la Castory Madembwe ambaye alikuwa anatafutwa kwa zaidi ya mwezi mmoja tangu kupatikana kwa taarifa zake kwamba ametekwa,hatimaye leo Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa kushirikiana na wananchi wa Kata ya Mpera wamefanikiwa kuupata mwili wa mtu huyo...
Hili nalo lina ubishi? Famili ya mzee Ali Kibao, Mdude Nyagali na Dismas Soka hii ni mifano tu ya kutoa.
Je Padre Kitima anakosea anaposema kuna akina Lissu na wengine wengi wapo magerezani kwa chuki na visasi vya kisiasa! Je hao waliopotezwa?
Niliwahi Uliza humu, Dola Mnauhakika Rais Samia kua Mgombea, hawaingizi kwenye mtego wa matumizi ya nguvu kupitiliza??.
Ishu nzima ya Bandari Kwa Waarabu, Watanzania wakapinga katakata Kwa Hoja ,Kwa Katiba, na Kwa Mifano !!.yaan Bandari alojenga Kipenzi Cha Watanzania JP Kwa matrillion ya...
Mpo Salama!
Hata wanaomchukia wanakiri kuwa Rais Samia alipoingia aliwatia katika wakati Mgumu.
Kwanza, aliamua kufuata Haki ya watu kuwa Huru Kujieleza. Hiyo nilimpa Big tick!
Katika haki hiyo wapo waliomzodoa na kumkabia kooni kwa namna Mbalimbali. Wengine wakimvunjia heshima Kama Rais wa...
Mnapokua na Taifa kama la Tanzania, ambalo Utekaji na Mauaji ya Kisiasa yanendelea kúfanyika.
Wakati huohuo Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya Usalama vikikaa kimya, maana yake ni kutengeneza mazingira ya Watu waovu Kupanga na kutekeleza Mauaji na vitendo vya kiovu bila kua noticed...
HAYA NI BAADHI YA MAMBO YALIYOMO KATIKA WARAKA WA SHURA YA MAIMAMU , WARAKA MZIMA UPO KATIKA ATTACHMENT
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
S.L.B.2055 DAR ES SALAAM. 0748410746 WARAKA WA IDD ADH-HAA DHULHIJJA 10, 1446 = JUNI 07, 2025
PITIO LA HALI YA MAISHA TANZANIA 2025
Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025...
Ndugu Sheikh Kundecha, nimetizama wasilisho lako katika msikiti wa Qiblatein Mwananyamala la baraza la Eid.
Kwa kweli nimesikitishwa sana na jinsi ulivyoacha kuisemea dhulma inayotamalaki nchini, ya utekaji watu, mauaji ya watu na dhulma dhidi ya watu.
Wanaotekwa si watu wa dini nyingine, hata...
Haingii akilini , Utekaji na Mauaji yaloshamiri Et uwe tu sababu ya Urais !! Hapana !!.
Huyu Rais alikataliaa na Magufuli katakata, Magufuli alimkataa katakata, hakutaka hata awe Makamo wake, ni basi tu alichomekewa.
Na Kwa Mapenzi ya Mungu na Ubovu wa Katiba yetu, Samia akawa Rais wa Bahati...
Kama kichwa kinavyo someka, kadiri siku zinavyo zaidi kusonga mbele ndivyo matamko mbalimbali yanatolewa na viongozi au watu wa kada mbalimbali , msikilize huyu sheikh alafu tuachie maone yako .
Mimi namunga mkono Askofu Gwajima na wale wote wanaopinga matendo yote maovu. Nakuomba Rais Samia...
Tunato wito kwa Bunge lijadili maombi ya kuundwa Tume ya Bunge ya kuchunguza utekaji na mauaji ya mamia ya raia yaliyotolewa na taasisi za kijamii, viongozi na yale yaliyo wasilishwa rasmi na wabunge bungeni.
Rais awawajibishe viongozi wa vyombo vya usalama kwa kushindwa kuzuia matukio ya...
Tarehe 26 May kupitia ukurasa huu, nilitoa taarifa ya kupotea kwa Dr.Hashim Titto, daktari wa hospitali ya rufaa ya kanda Mtwara, na Mwanafunzi wa udaktari bingwa wa upasuaji (Resident MMED Surgery) katika chuo kikuu cha afya na sayansi Shirikishi Muhimbili, ambaye alipotea tangu tarehe 22 April...
Katika Biblia takatifu tunafundishwa kuchukia na kukemea dhambi zote. Kuanzia Wizi, Uzinzi, Kuua, Kuonea watu, zinaa pamoja na matendo maovu yakiwemo ya ubakaji na ulawiti.
Kwa kipindi kirefu kumekuwa na matukio ya wakosoaji wa Serikali kutekwa, Kuuwawa, Kubakwa na kulawitiwa( Udhalilishaji wa...
Baada ya Mbunge wa Chama tawala nchini Tanzania ambaye pia ni Askofu kuitaka serikali kukomesha mambo ya utekaji na mauaji nchini Tanzania na kutishia kuwataja watekaji hao, Serikali ilijibu kwa kuchukua hatua za kulifungia Kanisa hilo na kutuma askari walioenda kuwaondoa waumini wake kwa nguvu...
Tupo tunatazama!
Huu mpambano uendeshwe Kwa tahadhari, maana kuna watu wanaanza kuingiza agenda zisizofaa.
Gwajima ni mtu anayependa kushindana na kushinda. Kwa kushindana huchukulia kama mchezo. Na bahati nzuri anaumudu.
Gwajima ni zile type za kina Trump. Njia pekee ya kuwashinda watu aina...
Huyu ni Rais tena mbaya zaidi ni mama ana watoto ila kamwe haguswi na utekeji na mauaji kwa wapinzani wake.
Hili wala tusitafune maana ameshajionyesha kwa kauli zake kadhaa na ukimya wa kuchukua hatua.
Sasa imebaki kwa mtu mwenyewe kujilinda maana mamlaka haikulindi ukiwa mpinzani.
Salaam wandugu.
Waungwana husema , Uchungu wa mwana aujua mzazi
Sasa alichokisema Askofu Ngwajima amekisema kwa moyo wa dhati kabisa na kwa uchungu mkubwa kuonyesha jinsi gani mtoto alivyo wa thamani kwa aliye naye
Na kila mzazi yuko radhi kupigania uhai wa mwanae kwa gharama yoyote...
Hawa ndio wanafanya Hasira ya Wananchi juu ya Serikali, CCM na Rais iwe juu Kila siku.
Kila siku Mungu anazidi kuwachanganya ili Watanzania wajue Watekaji na Wauaji wao ni watu gani
Et Jumuiya Hotuba nzima inajadili Vijana wa Kenya !
Hii ni Aibu.
"Mfano huyu kibao, Unajisikiaje kama baba yako anashushwa kwenye gari halafu anakutwa amekufa"
"Kuna huyu Mdude, kama mume wako anakuja kuchukuliwa nyumbani halafu mpaka leo haonekani, unajisikiaje"
Hizi ni nukuu ya baadhi ya maneno ya Askofu Gwajima. Niwaulize wote mnaopinga alichokisema...
Wana siasa uchwara walinyamaza kipindi mauaji na utekaji ukipamba moto.
Walinyamaza kwakuwa waliotekwa hawakuwa ndugu zao,hawakuwa na sababu ya kuwasemea pengine waliona waliotekwa au kupoteza maisha ni vikaragosi tu.
Pia soma Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama...
Mchungaji wa kanisa Huduma ya Kristo lililopo mtaa wa FFU kata ya Murieti Jiji Arusha Steven Jacob mwenye umri wa mika 35 ametekwa na watu wasiojulikana asubuhi ya leo Tarehe 16 May 2025 wakati akitoka nyumbani kwake
Wakizungumza mashuhuda na majirani wa eneo hiyo akiwemo baba yake mzazi ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.