utekaji na mauaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Kuhusu matukio ya utekaji tunahitaji teknolojia ya satellite ili kuwatafuta na kupata watu wote waliopotea

    Technology ya satellite ndio njia pekee ya kuwatafuta watu wote waliopotezwa. Tukio la hivi karibuni la Mdude Nyagali kuvamiwa na majambazi watekaji wauaji usiku wa manane nyumbani kwake . Vyombo vya ulinzi vilivyopa kutulinda vimeshindwa kujua wako wapi Raia wake hatuko salama tena.
  2. Carlos The Jackal

    Kwa Uchunguzi wa gazeti la PAMBAZUKO kuhusu Shambulio la KITIMA, Ni wazi Waliomteka Mdude Ni walewale

    Baada ya Shambulio la KITIMA , RPC Muliro akajiwahi kutoa Taarifa yenye lengo la kupotosha . Baada ya Shambulio la Mdude, RPC Mbeya akajiwahi nayeye kutoa tamko kwamba hawajamkamata Mdude. Sasa haya ni maneno niloyanukuu kwenye habari chunguzi za PAMBAZUKO kuhusu Shambulio la KITIMA...
  3. Genius Man

    Suala la kupigwa kwa kiongozi wa dini na kutekwa kwa watu na kupiga wananchi bila sababu watashindwa vipi kuiba kura kwenye uchaguzi mkuu

    Kwa haya yanayoendelea mnapaswa kuyachukulia kama kweli nchi inahitajika mabadiliko makubwa kwenye mamlaka ili kuirudisha Tanzania katika ubora wake wa zamani kipindi cha nyerere. Kama watanzania mtataka mabadiliko haya mnapaswa kuhamasisha mabadiliko hayo ikiwemo kuelekea kwenye uchaguzi kwani...
  4. P

    Tabia ya kuumiza, kutesa na kuua watu wasiokuwa na hatia ni chukizo kwa Muumba wetu

    Tabia ya kuumiza, kutesa na kuua watu wasiokuwa na hatia ni chukizo kwa Muumba wetu. Maasi yanapozidi, Mungu hutoa adhabu kali kwa hilo Taifa. Kwa sasa ni kawaida sana kusikia mtu katekwa, kateswa na hata kuuawa na watu wasiojulikana na wengine wanajitambulisha kuwa ni polisi ila hakuna...
  5. Ponjoro wa Kinondoni

    TANZIA Mwalimu Paul Mpandiko wa shule ya Sekondari Dodoma auawa na watu wasiojulikana

    Mwalimu Paul Mpandiko, gwiji wa Book Keeping, mpenda mazoezi, asiye na makuu. Alipotea tangu juzi, leo mwili wake umekutwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti ukiwa na majeraha ya mapanga. "kifo ni kifo tu" Samia Suluhu Hassan.
  6. S

    PreGE2025 Rais wangu SAMIA: Utashinda, lakini likemee jambo hili na kuwachukulia hatua kali wahusika

    Mimi ni miongoni mwa watanzania wanaokupenda sana, na kukuombea ufanikiwe. Lakini naomba suala la utekaji na mauaji yenye mlengo wa kisiasa ulichukulie uzito mkubwa sana kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Utakumbuka kuwa mwaka ijana uliagiza vyombo vya ulinzi na usalama vichunguze matukio ya watu...
  7. Mindyou

    Mfanyabiashara wa huduma za kifedha apotea katika mazingira ya kutatanisha Arusha. Mke wake asimulia kilichotokea

    Wakuu, Mfanyabiashara wa huduma za kifedha (wakala), Davis Mandari (48), mzaliwa wa Kilimanjaro na mkazi wa Kwa Mrefu, jijini Arusha, ameripotiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Inadaiwa kuwa kabla ya kutoweka, alituma ujumbe mfupi kwa mke wake akidai kuwa amechukuliwa na jeshi la...
  8. ACT Wazalendo

    PreGE2025 Tunataka uchunguzi haraka kutekwa kwa raia wawili Kigoma na Dar es salaam na uzembe wa jeshi la polisi

    Chama cha ACT Wazalendo kimepokea kwa masikitiko makubwa na kulaani vikali kutekwa kwa wananchi wawili Dar es Salaam na Kigoma katika mazingira yanayotia shaka, huku Jeshi la Polisi likionyesha uzembe wa hali ya juu katika kushughulikia matukio haya. Matukio haya yanatoa picha ya wazi kwamba ama...
  9. Beira Boy

    Mwanza: aomba rift kwenye gari la shule na kuwateka watoto wa chekechea, ataka hela ili awaachie

    Amani iwe kwenu watu wa MUNGU MWENYEZI Kamanda mtafungwa ndo kayasema hayo Japokuwa maelezo ya kamanda hayajitoshelezi lakin ndo kasema hivyo =============== Wanafunzi wawili wa Shule ya Blessing Modern iliyopo Nyasaka wilayani Ilemela jijini Mwanza wametekwa na kupelekwa kusikojulikana na mtu...
  10. Mindyou

    Maria Sarungi: Nilitekwa nikiwa natoka saluni. Lengo lilikuwa ni kunivusha lakini hawakufanikiwa

    Wakuu, Kama alivyotuahidi jana, siku ya leo Mwanaharakati nguli Afrika Mashariki, Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake. Bado haijaeleweka hadi sasa kama atazungumza kwa kujirekodi video kueleza nini hasa kilitokea, atatengeneza thread ya...
  11. Cute Wife

    PreGE2025 Maria Sarungi kapatikana na karudi nyumbani kwake, ataongea kuhusu suala hilo Januari 13, 2025

    Wakuu, Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake. Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
  12. Common Folk

    PreGE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

    TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia. Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi...
  13. Mindyou

    Wazazi wa vijana 5 waliotekwa mwaka 2021 Kariakoo waibuka tena, wamlilia Rais Samia. Wanasema uchunguzi ulikamilika lakini ripoti haijatoka

    Wakuu, Mnakumbuka ile story ya wale vijana watano waliotekwa Desemba 2021 kule Kariakoo. Hivi karibuni wazazi wa vijana hao wamejitokeza tena kuomba msaada kwani mpaka sasa hakuna kitu kimefanyika ili kujua vijana hao walipo. ================================================ Miaka mitatu...
  14. Mindyou

    Tanganyika Law Society (TLS) yalaani vikali tukio la mauaji ya wakili Joseph Masanja. Yataka serikali iingilie kati

    Wakuu, Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani tukio la kushambuliwa na kuuawa kwa mwanachama wake Wakili Joseph Masanja lililotokea Babati Mkoani Manyara. Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho Disemba 28, 2024 imeeleza kuwa mwili wa marehemu Wakili Masanja uliokotwa eneo la Bwalo...
  15. Waufukweni

    Tabora: Askofu KKKT, Isaac Laizer: Ataka maombi yakitaifa kukemea utekaji, mauaji

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Jimbo la Magharibi Tabora, Isaac Laizer, ameonya juu ya ongezeko la matukio ya utekaji na mauaji, akiwataka wakristo kote nchini kufunga na kuomba kwa dhati ili kutokomeza matukio hayo. Akizungumza jana, Desemba 8, 2024, katika maombi ya...
  16. Waufukweni

    PreGE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Kawaida: Uchunguzi ufanyike kufuatia vitendo vya utekaji na mauaji

    Mwenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesisitiza jeshi la polisi kuwa wafanye uchunguzi kufuatia vitendo vya mauaji na utekaji na pale wanapopata taarifa watoe kwa jamii ili wajue kinachoendelea. Mwenyekiti ameyasema hayo tarehe 04 desemba 2024 akitoa...
  17. Mindyou

    Mke wa mgombea wa CHADEMA Manyoni : Nilimwambia Polisi naomba usimuue mume wangu lakini alimpiga risasi nne

    Wakuu, Nimekutana na video ya mke wa Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed akielezea namna ambavyo polisi walimkamata na kumuua mume wake kwa kumpiga risasi nne. Mama huyu anasema kuwa aliwaomba polisi wasimuue mumewe...
  18. Abdull Kazi

    PreGE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

    Mwanasiasa Abdull Nondo wa Chama Cha ACT Wazalendo amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi. Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu ==== UPDATE JamiiForums imewasiliana na Naibu Katibu wa Habari na...
  19. Mindyou

    Mwanaharakati Godlisten Malissa apinga vikali utekaji wa wapinzani unaoendelea nchini. Amvaa Rais Samia na sera yake ya 4R!

    Wakuu, Hivi karibuni mwanaharakati wa haki za binadamu na mwanamitandao maarufu nchini Tanzania Godlisten Malissa amefanya mahojiano na kituo cha Jambo na kugusia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini. Katika mahojiano hayo, Malissa amegusia sarakasi za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
  20. Tea Party

    Mwanzo mwisho jinsi watekaji wenye silaha walivyomteka mfanyabiashara wa Tarime Joseph Mwita Mtiba. Familia yake yatoa tamko!

    Katika siku za karibuni, kumekuwa na matukio ya watu kutekwa na kupelekwa kusikojulikana, hali inayozua hofu kwa Watanzania wengi pamoja na familia, ndugu, jamaa, na marafiki. Hivi karibuni, mnamo Oktoba 29, 2024, majira ya saa tatu usiku, watu wasiojulikana walimteka mfanyabiashara Joseph...
Back
Top Bottom