Hamjambo!
1. Nilikuwa nimetoka leo kwenda mjini.
Njiani ya gari ikatokea mjadala kuhusu maandamano.
2. Wengi walionyesha kuyaunga mkono lakini walikiri wanawoga hivyo hawatashiriki.
3. Mama mmoja jirani yangu akasema, aache kufanya mambo yake aandamane. Akaongeza wanaoandamana hawana kazi za...
Kwa yanayoendelea nchini, bila shaka Tanzania inaongoza kuwa ni nchi hatari zaidi kwa upande wa Africa mashariki maana kila kukicha matukio ya utekaji yanaongezeka, hofu zinazidi kutanda na watawala hawaoneshi nia yoyote kukabiliana na hali iliyopo au kutoa tamko lolote kwa yanayoendelea hapa...
Ninakaa natafakari sana Je, hii ni CCM iliyopogania uhuru wa taifa hili?
Kwa nia njema kabisa mtu anatoa taarifa kuwa kuna mtu alikwapua bil zaidi ya 60 kwa kusambaza sare hewa. Ni kosa la jinai pia pesa hii iliyokwapuliwa ingeweza kujenga vituo vya afya zaidi ya 20.
Kusema ukweli kuwaa katiba...
Siku ya Jumapili nilipokwenda kanisa, nikashusha watoto pale kanisani, Mungu akanipa hekima niwashushe kwanza watoto niende saloon kunyoa ndevu, haaa ! Kumbe wamejazana kila sehemu hawa watu hakuna chochote hakuna jambo la maana, wapo tu wananyemelea.
Nilipofika pale saloon walikuwa wamshafika...
Aisee Tunaamdamana Oktoba 29 , kama mtaungana na na Watesi wetu basi, Capt Tesha na wenzake watatusaidia.
Haingiii Akilini, Wanajeshi wa JWTZ wamefia huko Kongo, Comoro, Sudan Kwa sababu ya kuwalinda WANANCHI wa Nchi hizo.
Leo hii Tanzania nzima Kuna opereshen ya kuwateka,.kuwaficha na kuwaua...
Usiku huu huko Kakola Bulyanhulu raia wameandamana, barabara zimefungwa.
Raia wanamtaka mtu wao ambae ametekwa leo na watu wasiojulikana moja wapo wa kijana aliyetekwa anaitwa Ibrahim Mfangavo
Taratibu tunaelekea pazuri
Taarifa ya awali aliyoitoa Hilda Newton
HABARI MBAYA Leo Wilaya ya...
Kutoka kwenye account ya Hilda Newton kule X ameandika taarifa hii
==================
Mjumbe wa Kamati Tendajji ya Chadema Wilaya ya Busega Mhe. Lobezi Kuliko Masanya ametekwa na watu wasiojulikana jioni ya leo tarehe 01/10/2025 akiwa kazini kwake NYAMIKOMA Wilaya ya Busega.Walioshuhudia tukio...
Free Kiduku aka Ofsa Ngiri. Kiduku ni kijana mjasiriamali ambaye pia huwa anatoa maoni kuhusu utawala mbovu wa nchi yetu.
Polisi DSM mnapaswa kumuachia Kiduku bila masharti. Serikali ya ccm haitazuia maoni tofauti kwa kukamata wakosoaji.
Wakuu, naomba niseme kwa uchungu. Hii issue ya dada yetu Sharon Mabula imenishtua vibaya sana. Imagine mtu anatekwa, anateswa, halafu mwili wake unachomwa moto just to kill evidence. Bruh, this ain’t normal life, hii ni movie ya horror, and it’s happening right here in our yard.
Hii siyo tu...
Natumia kisa Cha Mh Polepole kuhusu Ndugu yake kufatiliwa na Watekaji , kujenga Hoja yangu.
Mh Polepole anasema, Baadae alimshauri Ndugu yake kurepoti suala Hilo Polisi.
Bahati mbaya sana, Kwa Mujibu wa Polepole, Kila Kituo Cha Polisi alichoenda, akawa anaambiwa Nenda Kituo fulan, suala lako...
Matukio ya namna hii ya naumiza sana, binti mdogo akitafuta maisha yake ila ghafla yamekatishwa na watu wenye roho mbaya.
Ila kuna jambo najiuliza je ni ishu za biashara za baba yake? au mahusiano? Siasa, au ni wale wahalifu wakujipatia kipato kwa njia za nama hii?
=================...
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram Mwanyekiti wa chama Cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoa wa njombe Bi Rose Mayemba amesema Kuwa Kuna watu wamemfata baba yake mzazi mzee Mayemba na kumtaka amwambie mwanae(Rose mayemba) achane na masuala ya siasa laasivyo watampoteza,katika...
Niliwahi kusema watawala kinacho wapa nguvu ni kitu kimoja tu, AINA YA WATU WANAO WAONGOZA.
Watawala sio wajinga, sio wendawazimu, wanajua wanaongoza aina ipi ya raia,na wanajua pia Keybord movement hazina impact yoyote kwao.
Ukiona wanafungia makanisa, wanafunga kiongozi mkuu wa Chama kikuu...
Kwakweli hakuna jambo limeniuma sana Kama nilivyoangalia clip ya Maxence Melo anaongea kwa uchungu sana mtu kumpigia simu na kusema nitakupoteza usipofuta ujumbe fulan na watanzania walivyo makondoo watapiga Kelele mwezi mmoja miwili alafu wakusahau maana wana sahau haraka sana! Nikawaza watoto...
Masikini wangezidi kua Masikini, Matajiri wangezidi kua Matajiri
Shughuli za Kisiasa zingepigwa Marufuku baada ya Uhapisho wake .
Rasilimali za Nchi zingesombwa Kwa Kasi ya Hypersonic .
Makanisa yangefungiwa zaidi .
Utekaji na Mauaji, Hapa ndo uspime, kuanzia 2026 tungeshuhudia
Nawaambia...
Ndugu Temba Gaspar Erasmus mwenyekiti Wa BAVICHA Kanda ya Kaskazini Adaiwa Kutekwa na Watu wasiojulikana akiwa anatoka kwenye moja ya Benki jijini Arusha.
Taarifa zaidi kukujia
Habari hii iwafikie wote na napenda kutoa angalizo tusije kulaumiana baadae na kutafutiana ubaya
Kama wewe unajijua ni kiongozi wa serikali au ni kiongozi wa kidini au kama wewe ni msanii au mwanamuziki au mtu mwingine yeyote wenye ushawishi katika jamii ambae mpaka sasa haujatumia nafasi yako...
Tafiti zimefuatilia kwa ukaribu namna kauli za Heche jzinavyokubalika na kuungwa mkono.
Alipokuwa Msibani kwa kamanda mwenzao alitamka bila kupepesa macho kuwa CHADEMA na wafuasi wake haitaogopa wala kujipendekeza kwa viongozi wanaoua na kuteka watu.
Kauli hii imeungwa mkono na Watanzania...
Kwa Mara nyingine tena naandika nikilitaka Taifa, Lijiulizwe maswali haya Kisha liamue Je Rais Samia agombee hata kama Kavunja Katiba za Chama na Taifa, au Azuiliwe Kugombea Kwa namna yoyote inavyowezekana?.
Je Utekaji Mwisho wake utakua Lini ikiwa Rais Samia ataendelea ?.
Je Mauaji ya Kisiasa...
Kijana Hussein Abdallah Mkwame (26) mkazi wa eneo la Ungindoni -Kongowe, wilaya ya Kibaha, mkoani Pwani kwa takribani miezi miwili (2) sasa hajulikani alipo baada ya watu wasiojulikana kumkamata na kuondokanae tangu Mei 19 mwaka huu
Mzee Abdallah Omary Mkwame mkazi wa Buza, Dar es Salaam ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.