Kichekesho cha Mama Samia kusema eti demokrasia yetu sio kama yao inabidi ifuate utamaduni!
Swali ni kwamba utamaduni upi? Utekaji, rushwa, demokrasia, wizi wa kura, undugu kazini ndiyo utamaduni wetu?
Wakina Rutto wanakucheka wenzako tayari wana katiba nzuri na wanashindana kwa hoja!