utabiri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Huu ni utabiri wangu wa EPL msimu huu wako ni upi?

    BINGWA: liverpool MFUNGAJI BORA: halaand GK BORA: donnaruma YOUNG PLAYER OF THE YEAR: sesko MCHEZAJI BORA WA MWAKA: palmer TOP SIX: liverpool Man city Arsenal Man Utd Chelsea Tottenham
  2. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania UTABIRI: Simba itakandwa 4 bila, ngao ya jamii

    Njia pekee ya kuinusuru ni TFF kubadili hii ratiba (haijatoka hadharani bado ila nimeiona kwa njia nyingine). Iko hivi, Simba ndio itaanza kucheza dhidi ya Azam siku yakwanza, then itafuata mechi ya Yanga dhidi ya Singida (sijui ni kwanini imepangwa hivi) Kwa nongwa ya yanga, ikitokea Simba...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mtandao wa Bloga Tanzania yawaonya wanaotabiri majanga, "wanaleta taharuki"

    Mtandao wa Bloga Tanzania (TBN) umekemea vikali tabia inayoshamiri ya watu kujinadi kufanya utabiri kwa watu na taifa kupitia mitandao ya kijamii, ukisema vitendo hivyo vinakiuka Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kauli hiyo imetolewa kama azimio katika kikao kazi cha mafunzo ya mabloga...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Godbless Lema juu ya Ndugai

  5. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Weka utabiri wa top four yako kabla ya ligi hazijaanza kutimua vumbi

    Ligi kuu nchini Tanzania inatarajiwa kutimua vumbi mwezi september ambapo atakuwa anatafutwa bingwa mpya ya NBC premire league kabla ya ligi kuanza nimeona isiwe na shaka nije na moja ya top four yangu kabla ya ligi kuanza kutimua vumbi ..licha ya hivyo hii pia nimetabiri top four kwa baadhi ya...
  6. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Huu utabiri wa Sheikh Yahya utatimia?

    HUU UTABIRI WA SHEIKH WETU UTATIMIA KWA HALI YA KISIASA YA SASA AU NDIO MASWALA YA IMANI
  7. M

    JamiiForums Tanzania Natabiri Tulia Ackson atakuwa Waziri Mkuu baada ya Kassim Majaliwa

    Mimi Mdogo ake the BOLD leo tarehe 05.08.2025 natabiri next PM will be TULIA ACKSON MWASANSU "Amtumaniae Bwana ni kama mlima SAYUNI"
  8. ngara23

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Uchaguzi kufanyika mwakani February 2026

    Ulimwengu wa roho umenionyesha hili jambo mara kadhaa Kuna sababu za msingi na zisizo za msingi zitatokea na kivyovyote uchaguzi utasogezaa mbele Sababu hizo zitasababisha mgawanyiko baridi ndani ya CCM uishe na chadema watashiriki uchaguzi
  9. Dr Akili

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Yaliyotokea 2015 yakiongozwa na Lowasa yanaweza kutokea 2025 yakiongozwa na Polepole

    Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwa siasa za nchi yetu, upinzani wa kweli utaanzia na kutatokea (originate from) ndani ya CCM yenyewe na si vinginevyo. Tulishuhudia Lyatonga Mrema alipomeguka ktoka ccm na kutua NCCR- Mageuzi mwaka 1995. CCM waliponea chupuchupu katika uchaguzi mkuu wa mwaka huo...
  10. Subira the princess

    JamiiForums Tanzania Hatimae utabiri wa mwaka 1995 umetimia, muda ni rafiki wa kweli

    Wasalaam. Mwaka 1995 Baba wa taifa hayati mwl J.K. Nyerere akiwahutubia wajumbe wa CCM alisema, nanukuu "CCM inapomtangaza mgombea urais katika uchaguzi wa rais, ni kwamba wanamtamka rais ajae wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini huyo anataka urais asiutake kwa siri bali aje aseme mbele ya...
  11. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Utabiri wangu umetimia Hersi kugombea ubunge mwana FA ajipange hapo kwenye uwaziri

    Wakuu mpo! Mwaka 2024 nilitabiri Hersi atagombea ubunge mwaka 2025 https://www.jamiiforums.com/threads/anguko-la-yanga-limechangiwa-na-eng-hersi-mwenyewe-na-gsm-kuwa-na-tamaa-ya-madaraka-ya-kisiasa-mwaka-2025.2286008/ Leo nmeona taarifa kachukua fomu. Niwaambie tu wajumbe kuwa hata msipo...
  12. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa nyota leo jumatano 18/6/2025

    UTABIRI WA NYOTA LEO JUMATANO 18/6/2025 Kumbuka kwamba nyota zina athari ya moja kwa moja katika maisha yetu na yeyote asiyefuata nyota yake hawezi kamwe kusonga mbele kwa maana anaishi nje ya asili yake♐ Ikiwa unavutiwa na utabiri huu basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu...
  13. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Utabiri uchaguzi Mkuu 2025

    Ufunuo wa Rohoni (Tazama kwa Macho ya Kiroho): Nilipouliza rohoni, ikaja picha ifuatayo: "Ninaona mti mkubwa wa kijani wenye mizizi nene katikati ya nchi, juu yake kuna mama aliyeshika taa, nyuma yake kuna upepo mkali wa manyunyu ya mvua, lakini taa yake haizimiki. Pembeni, kuna kundi la...
  14. C

    JamiiForums Tanzania CCM wanapambana by hooks or crooks utabiri wa sheikh Yahaya usitimie

    Hicho ndio kinachowatisha CCM...hawatakuwa submissive hata siku moja...Hawatakubali kufanya any reforms hata siku moja.. Uzi tayari
  15. JOHNGERVAS

    JamiiForums Tanzania Nabii Bashando afuta Utabiri wa Seikh Yahya, awaonya Askofu kabugimila, Mapinduzi na wenzake

    Huko kunako mtandao wa Kijamii wa Instagram siku ya Jana Nabii bashando ameibua maswali Mengi wa Watanzania baada ya Kupost kipande cha Video akielezea kwamba amefanya maombi ya Kufuta kabisa Unabii uliotabiriwa na Sheikh yahya. unabii Huo uliohusu Upinzani kushika madaraka baada ya Rais...
  16. The ice breaker

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa shekhe yahya

    Mambo haya , yanaenda kutimia
  17. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Utabiri 2024; mengi aliyotabiri yameanza kutokea

    https://youtu.be/ZRtV1GTdV3c?si=utlV5n-p9g7L7AZq Machache niliyoyanasa Barua ya kugombea kupitia CCM alipewa Askofu Gwajima, bahati mbaya alikuwa kazubaa Akaja mwanamke akanyakua kwa nguvu ile barua na kusonga mbele Mungu akamwambia yule mwanamke kuwa hana kibali ya kugombea Mh.Mbowe...
  18. Subira the princess

    JamiiForums Tanzania Je utabiri huu utatimia?

    Wasalaam Nimemsikia mtu wa Mungu akitabiri laana kwa wote waliohusika kufunga kanisa la ufufuo na uzima watapata laana na kuumiuzwa na mungu. Ikumbukwe mh Lema ameshatabiri mengi kuhusu viongozi na yakatokea. Amesema unaweza kufunga kanisa lakini si nguvu za mungu ., Muda ni rafiki mwema...
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Bishop na Bingwa wa Utabiri Dickson Kabigumila asema 'Utekaji na Watekaji mwisho wake ni mwezi 8/2025

    Huyu Bishop katika Tabiri zake zote aliwahi zitoa , zilitimia. Leo amesema, Tena akisema, Vyombo vyote viiweke habari hii mitandaoni kwakua habahatishi. Ni kua " Watu walioko kwenye Mfumo na wanaompenda Mungu wamekataa katakata kuendelea kushuhudia masuala ya kidhalimu ya Utekaji na UUAJI...
  20. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Utabiri wangu wa mechi ya Simba final

    UTABIRI WANGU MECHI YA SIMBA FINAL 1. Hali ya Mchezo kwa Upande wa Simba SC Wamepoteza 2-0 ugenini, hivyo wanahitaji ushindi wa 2-0 ili kupeleka mchezo penaltini au 3-0 kushinda moja kwa moja. Wataungwa mkono na mashabiki nyumbani, uwanja utakuwa na presha kubwa kwa wageni. Huwa wanacheza...
Back
Top Bottom