uchaguzi mkuu

The Tanzanian general election of 2015 was the 5th quinquennial election to be held since the restoration of the multi-party system in 1992. Voters elected the president, members of Parliament, and local government councillors. By convention, the election was held on the last Sunday of October and was supervised by the National Electoral Commission (NEC). Political campaigns commenced on 22 August and ceased a day before the polling day.The incumbent president, Jakaya Kikwete, was ineligible to be elected to a third term because of term limits. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant ruling party, selected Works Minister John Magufuli as its presidential nominee instead of the front-runner, former Prime Minister Edward Lowassa. After failing to secure the CCM's nomination, Lowassa defected to the opposition Chadema party despite it once labelling him as "one of the most corrupt figures in Tanzanian society". This year's election was seen as the most competitive and unpredictable in the nation's history.The government had warned politicians to refrain from engaging in witchcraft, and a deputy minister told parliament that reports linking politicians with the killings of people with albinism could be true as it increases during the election period. A ban on witch doctors was imposed in January 2015, as some of them condone the killings due to superstitious beliefs that the victims' bodies "possess powers that bring luck and prosperity".On 29 October, CCM's Magufuli was declared the winner ahead of Chadema's Lowassa, who has yet to concede amid a dispute.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    PreGE2025 Dodoma: Wanavyuo waazimia kumuunga mkono Rais Samia Uchaguzi Mkuu wa 2025

    Wanavyuo kutoka mkoa wa Dodoma wameazimia kwa kauli moja kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Azimio hilo limetangazwa katika mkutano mkubwa uliofanyika kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre, ukiongozwa...
  2. peno hasegawa

    Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025: Wananchi Mkoa Mbeya, wakubaliana na Kauli Mbiu ya Kama hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi 2025

    Katika muktadha wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, wananchi wa Mkoa wa Mbeya, pamoja na wilaya zake zote, wameonyesha hisia za kutoridhika na hali ya kisiasa na kiuchumi nchini. Kauli mbiu yao ya "Kama hakuna mabadiliko, hakuna uchaguzi" inatoa mwangaza wa wazi juu ya matarajio yao. Wananchi hawa...
  3. Tlaatlaah

    PreGE2025 Je, ni kweli watia nia za Urais, ubunge na udiwani wa CHADEMA uchaguzi mkuu hawaielewi No reform No reform, hata waitwe makao makuu?

    Na ikiwa watia nia wana uelewa finyu kiasi hicho hadi waitwe chadema HQ kufundishwa, vipi uelewa wa wanachama wa kawaida wa chama hicho, watakua katika hali gani ya ufahamu kuhusu hiyo no reform no elections isiyo na tija wala faida kwao? Kulikoni kuelekea uchaguzi mkuu wa October, CHADEMA...
  4. Tlaatlaah

    PreGE2025 Ni kweli baada ya kugundua atashindwa uchaguzi, Lissu analazimisha wabunge na madiwani wa CHADEMA wasusie uchaguzi ili eti wawe kama yeye?

    Hii ni aibu sana kwa kiongozi, yaani kwa vile yeye hana pesa kwaajili ya kampeni, lakini pia baada ya kujipima na kujitathimini kwamba haupo uwezekano wa yeye kushinda uchaguzi mkuu wa Oct, kwa nafasi yake, sasa akaamua kuhakisha anaanzisha movement ya kuwakosesha na wagombeaji wa nafasi...
  5. mwanamwana

    PreGE2025 Sheikh Mkuu BAKWATA Mwanza: Kauli yoyote inayoashiria kuvunja amani ya nchi kuelekea uchaguzi mkuu tuikatae

    Sheikh Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Mwanza, Sheikh Hassan Kabeke, amesema kuwa kumeanza kutokea viashiria vya lugha mbaya zinazotoka kwa viongozi wa kisiasa nchini, ambazo zinaweza kusababisha amani ya nchi kupotea. Sheikh Kabeke amesema hayo wakati wa mashindano ya...
  6. upupu255

    PreGE2025 Sheikh Akilimali: Tudumishe amani na utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Sheikh Rashid Akilimali, Sheikh wa Mkoa wa Rukwa, amewahimiza wananchi kudumisha amani na utulivu wakati taifa linaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Ametoa pongezi kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake za kuunganisha Watanzania bila kujali tofauti za kidini, kikabila au...
  7. J

    PreGE2025 UVCCM: Asanteni Singida kwa mapokezi makubwa

    ❇️ ASANTENI SINGIDA KWA MAPOKEZI MAKUBWA, HII NI IMANI KUBWA YA USHINDI WA KISHINDO KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KWENYE UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025 Asanteni sana kwa shukurani zenu mlizopeleka kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo makubwa aliyofanya mkoa wa Singida kwenye sekta ya elimu...
  8. Waufukweni

    PreGE2025 MNEC Ndele Mwaselela: Hakuna wa kushindani na Rais Samia kwenye uchaguzi 2025

    Mjumbe wa halmashauri kuu ccm taifa (NEC) Ndele Mwaselela amewaambia wananchi wa mkoa wa kagera kuwa kazi nzuri za Dkt Samia Suluhu Hassan kwa miaka minne katika sekta zote zimefanya wananchi wa nchi nzima Tanzania kumpenda na kumwamini Dkt Samia Suluhu, kila mahala tunapopita wana imani kubwa...
  9. Heparin

    SI KWELI PreGE2025 Lissu atangaza changamoto za kiuchumi CHADEMA, akiri kususia kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025

  10. Mkunazi Njiwa

    Athari za makundi ndani ya CHADEMA ,ukata ,katiba mbovu inayoelekeza chaguzi zao kufanyika mwaka wa uchaguzi mkuu wa nchi wapelekea "No reform.."

    CCM kuwa MBELE ya wakati kumewafanya CHADEMA kutapatapa na kuja na ajenda mfu ya "no reform no elections"... Katika hotuba yake katibu mkuu John Mnyika alisoma azimio lako la kubadilisha tarehe ya uchaguzi mkuu ndani ya chama kwa kusema kunawafanya washindwe kujipanga vizuri kushindana na CCM...
  11. B

    PreGE2025 Chadema inatakiwa kuhamasisha wananchi kwa wingi waende kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la kupiga kura

    Kwanza ieleweke Mimi ni mfuasi kabisa wa kauli mbiu ya "NO REFORMS NO ELECTION" ila baada ya kuutafakali mstakabali wa taifa letu nimejiridhisha kabisa kwamba CHADEMA inabidi tuanze maandalizi na kuingia rasmi kwenye uchaguzi mkuu wa 2025. Kwa nini nasema hivyo; ni kwa sababu CCM Haina malengo...
  12. Waufukweni

    PreGE2025 Wafanyabiashara 'Marafiki wa Samia' wamchangia Rais Samia TSh. milioni 700 kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu 2025

    Wafanyabiashara wanaofahamika kama MARAFIKI WA SAMIA, wamemchangia Rais Samia Suluhu Hassan shilingi milioni 700 kwa ajili ya kuendesha kampeni katika kipindi cha uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa...
  13. Waufukweni

    PreGE2025 Godfrey Sitta: Mimi ni CCM, lakini kwa hapa tulipofikia nipo tayari kufa kwa kusema ukweli, ndani ya CCM kuna makundi

    Kada Godfrey Sitta wa CCM kutoka Wilaya ya Meatu, ajitokeza hadharani kufichua yaliyojificha ndani ya Chama kuelekea uchaguzi mkuu 2025. Mimi ni CCM, lakini kwa hapa tulipofikia nipo tayari kufa kwa kusema ukweli. Kada wa CCM afichua madudu yaliyojificha ndani ya chama.
  14. A

    PreGE2025 Wadau wataka tamasha la kuombea uchaguzi mkuu liwe la imani zote

    Wakati siku za kufanyika kwa Tamasha la Kuombea Uchaguzi Mkuu 2025 zikikaribia, baadhi ya wadau wameshauri kuwa, tamasha hilo lihusishe waumini wa imani zote. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wadau hao wapenda amani walisema kuwa, endapo tamasha hilo litahudhuriwa na watu wa imani moja...
  15. Tlaatlaah

    No reforms No election kuigawa na kuisambaratisha CHADEMA kuelekea Uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025

    Makada wake maeneo mbalimbali nchini wamegawanyika, wapo waoendelea kujipanga na kutangaza nia za kugombea urasi, ubunge na udiwani, huku wengine wakiwa na msimamo sawa na ule wa mwenyekiti wa chama hicho Taifa na katibu mkuu wake, ambao mara kwa mara wamekua wakidai kutoshiriki uchaguz mkuu...
  16. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mary Chatanda: Akitokea Mwanaume anagombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu ujao asipewe kura

    Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndugu Mary Chatanda amesema kuwa akitokea Mwanaume anagombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu ujao asipewe kura huku akiwasisitiza wanawake kumchagua Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi ujao. Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndugu Mary Chatanda...
  17. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 CCM Kigoma yapiga marufuku kampeni za mapema kabla ya Uchaguzi Mkuu

    Chama Cha Mapinduzi CCM kupitia kwa Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo Deogratius Nsokolo kimepiga marufuku wanachama wote walioanza na wanaotarajia kuanza harakati za kujinadi kuelekea Uchaguzi mkuu kabla ya muda kutangazwa Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu...
  18. Tlaatlaah

    PreGE2025 Uchaguzi mkuu mwaka huu 2025, utakuwa na idadi kubwa zaidi ya wapiga kura kuliko chaguzi zote huru tangu tupate uhuru

    Kwa hamasa na mchecheto wa wananchi katika zoezi la uandikishaji na maboresho ya daftari la kudumu la kupiga kura, ni wazi wana hamu sana kushiriki katika uchaguzi mkuu wa kihistoria wa october2025, na kwa kiasi kikubwa uchaguzi huo utawavutia zaidi vijana ambao wana shauku kubwa na ya kipekee...
  19. Waufukweni

    PreGE2025 Tabora: Wananchi watofautiana juu ya msimamo wa CHADEMA kutishia kuzuia uchaguzi mkuu

    Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Tabora wametoa maoni mseto juu ya msimamo wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema wa kudai watazuia uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu endapo hakutakuwa na mabadiliko ya kisheria, kikatiba, mageuzi ya kikanuni pamoja...
  20. Cute Wife

    PreGE2025 Amani Golugwa: Kuhusu kushiriki zoezi la kujiandikisha uchaguzi iulizwe Tume, hawakujibu barua yetu

    Wakuu, CHADEMA kupitia Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Bara, Amani Golugwa wamegusia kuhusu zoezi la kujiandikisha na kuboresha taarifa kwenye daftari la mpiga kura ambapo wanasema waliletewa barua na Tume watoe maoni kwenye kanuni kadhaa ambazo walikuwa wamepelekewa na waliijibu tume kwa barua...
Back
Top Bottom