uchaguzi mkuu

The Tanzanian general election of 2015 was the 5th quinquennial election to be held since the restoration of the multi-party system in 1992. Voters elected the president, members of Parliament, and local government councillors. By convention, the election was held on the last Sunday of October and was supervised by the National Electoral Commission (NEC). Political campaigns commenced on 22 August and ceased a day before the polling day.The incumbent president, Jakaya Kikwete, was ineligible to be elected to a third term because of term limits. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant ruling party, selected Works Minister John Magufuli as its presidential nominee instead of the front-runner, former Prime Minister Edward Lowassa. After failing to secure the CCM's nomination, Lowassa defected to the opposition Chadema party despite it once labelling him as "one of the most corrupt figures in Tanzanian society". This year's election was seen as the most competitive and unpredictable in the nation's history.The government had warned politicians to refrain from engaging in witchcraft, and a deputy minister told parliament that reports linking politicians with the killings of people with albinism could be true as it increases during the election period. A ban on witch doctors was imposed in January 2015, as some of them condone the killings due to superstitious beliefs that the victims' bodies "possess powers that bring luck and prosperity".On 29 October, CCM's Magufuli was declared the winner ahead of Chadema's Lowassa, who has yet to concede amid a dispute.

View More On Wikipedia.org
  1. Kitimoto

    Viongozi wa TFF na Bodi ya Ligi Wanahujumu Chama na Serikali Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Huu 2025

    Wanachokifanya Chama cha soka nchini TFF na Bodi ya Ligi kuhusiana na mechi ya mkondo wa pili ya watani wa jadi Young Africans SC na Simba SC ni wazi wanatumika na baadhi ya wanasiasa kuhujumu uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Ikumbukwe vilabu hivi vikubwa vina wanachama na mashabiki ambao wale wenye...
  2. Crocodiletooth

    Boniface Mwangi na Agatha wakielezea walivyofanyiwa udhalilishaji wa kingono na Polisi wa Tanzania

    https://www.youtube.com/live/SzOMXx0WhoE NALAANI upotoshaji huu wanaoufanya Hawa chain of activist uchwara! °Uchafuzi wa jina la taifa letu unazidi kuharibika,
  3. Just Pray

    PreGE2025 CUF yatoa msimamo, haitaungana au kushirikiana na chama chochote uchaguzi mkuu 2025

    Wakuu Siku moja mara baada ya vyama 14 vya siasa nchini kutangaza rasmi kuunda umoja wao kuwa vitashiriki uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, Chama cha Wananchi CUF kimetangaza kutoungana na chama chochote cha siasa kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi yoyote ya uongozi.
  4. dr namugari

    PreGE2025 Sioni Watanzania wa kuzuia uchaguzi mkuu hakuna

    Kwa jinsi ninavyo ona nashawishika kabisa kabisa kuwa hakuna mtu au kikundi cha watu wenye uwezo wa kuzui uchaguzi mkuu Haihitajiki kujiuliza mara mbili mbili ni was hakuna watu wa kufanya hvyo ni kama CHADEMA ameamua tu kutikisa kiberiti na huwenda ikawa ndio mwisho wa chama hiki na itakwenda...
  5. Waufukweni

    PreGE2025 Vyama 14 Vyaungana kuiondoa CCM madarakani Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

    Vyama vya siasa kumi na vinne (14) nchini vimeungana kuhakikisha vinaitoa CCM madarakani katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu 2025. Katika taarifa yao waliyoitoa Jumapili Juni 1.2025 jijini Dodoma kwa waandishi wa habari, Uongozi wa Vyama hivyo umesema unasubiri...
  6. Just Pray

    PreGE2025 Polisi yatoa onyo kali, yasema haitavumilia vurugu uchaguzi mkuu Oktoba

    Jeshi la Polisi limetoa onyo kali kwa mtu au kikundi chochote kitakachojaribu kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani kuelekea na wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, likisema halitakuwa na muhali katika kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani, utulivu na usalama wa hali ya juu. Kauli hiyo...
  7. Tlaatlaah

    Ujasiri wa Rais Samia unaashiria uhakika wa ushindi wa kishindo kwa CCM uchaguzi mkuu na amani ya kudumu Tanzania na kwenye mipaka yake

    Kujiamini kwa Samia Suluhu Hassan, ni uthibitisho wa uhakika kwa amani, umoja na usalama wa Taifa letu, Lakini pia ni ishara ya wazi kwamba CCM inakwenda kupata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria October mwaka huu2025. Dr.Samia Suluhu Hassan, amesimama vizuri sana kwenye...
  8. 888I

    Tusigwajimaise? Au tusihoji?

    Hivi karibuni, Askofu Josephat Gwajima, Mbunge wa CCM, alisema kile ambacho wengi wamekuwa wakiongea chini kwa chini: “Vipi kama mtoto wa Rais ndiye angetekwa? Tungesema nini?” Alizungumzia utekaji, mauaji, na hali ya sintofahamu nchini kwa lugha ya hoja, si matusi. Alitoa mapendekezo na...
  9. Tlaatlaah

    Kwanini CHADEMA kinaomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kukijumuisha Chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu wa kihistoa Oktoba 2025 sasa?

    Chadema wameungundua nini sasa hata kiwatume viongozi wa dini na jumuiya ya kimataifa kuwaomba tume huru ya Taifa ya uchaguzi kuijumuisha chadema kwenye mchakato wa uchaguzi uliosalia kwa maana ya kwamba chadema nayo iwepo kwenye karatasi ya kupigia kura, hali ya kua chama hicho hakina sifa na...
  10. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 CHADEMA yatoa wito kwa tume huru ya uchaguzi kuondoa zuio na utayari wa chama kushiriki uchaguzi mkuu 2025

  11. Just Pray

    PreGE2025 Maoni ya Wananchi post ya St Bongo Instagram iliyohoji 'Unaonaje hali ya siasa nchini kuelekea uchaguzi mkuu?

    Wakuu, Katika pitapita zangu mjini Instagram nimekutana na hii post ya St Bongo TV inayohoji, Unaonaje hali ya siasa nchini kuelekea uchaguzi mkuu? Na haya ni majibu ya baadhi ya wanamioto
  12. McLaren

    PreGE2025 Jerry Muro: Gwajima ningependa kukwambia huu sio wakati wa kutengeneza "drama" za kutuondoa kwenye Uchaguzi Mkuu

    Wakuu, Kwenye press yake leo, Jerry Muro amesema kuwa Gwajima aache kutengeneza "drama" na kwamba anapaswa kutambua kuwa kwa sasa wako kwenye kipindi cha Uchaguzi. "Ningependa kukwambia kuwa huu sio wakati wa kuanza kutengeneza drama za kutuondoa kwenye Uchaguzi Mkuu. Huu ni wakati taifa...
  13. M

    Kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025, naomba tukubali mabadiliko.

    Ni muhimu sana kwa viongozi wetu kuona hali halisi iliyopo sasa kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025. Hali inaonesha kwamba, Watanzania wanataka mabadiliko. Kwa sababu viongozi ni kwa ajili ya Watanzania wapatao 60,000,000 na si kwa ajili ya viongozi wenyewe ambao pengine wanaweza wasifike...
  14. Alloyce PR

    Nukuu ya kabla ya uchaguzi mkuu

    "Usimchague kiongozi anayeanza kuonyesha upendo kwa wananchi uchaguzi unapokaribia, wala yule anayewasaliti wenzake kwa kuwazulia mabaya, maana uaminifu na ukweli havijengwi kwa hila wala muda wa kampeni." Alloyce, P.R.
  15. Emilio Mzena

    Nini hatima ya timu za Namungo & Singida Black Stars baada ya Uchaguzi Mkuu?

    Wote tunajua, hizi ni timu zinazomilikiwa na wanasiasa. Nini hatima ya timu hizi baada ya uchaguzi mkuu endapo wamiliki wake hawatorudi kwenye nafasi zao?
  16. Pascal Mayalla

    PreGE2025 Japo Katiba ni 'Kakitabu Tu', Kwenye Nchi, Katiba Ndio Kila Kitu, Bila Mabadiliko Madogo ya Katiba Uchaguzi Mkuu Utakuwa ni Null & Void Ab Initio?

    Wanabodi, Hii ni makala yangu gezeti la Mwananchi. Leo, naendelea na zile makala za Ijue Katiba ya JMT, leo nikijikita kwenye umuhimu wa mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, kuna Watanzania wengi wamelisikia hili neno minimum reforms, baada ya Chadema kulivalia njuga na kutoa kauli...
  17. Waufukweni

    PreGE2025 CPA Makalla: Hakuna mwenye ubavuwa wa kuzuia Uchaguzi Mkuu 2025, awataja Lissu na Heche

    Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) CPA. Amos Makalla amesema hakuna Chama au Kikundi Chochote Chenye Uwezo wa Kuzuia Kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba Mwaka huu. Makalla ametoa Kauli hiyo mei 21, 2025 akizungumza na Wananchi Jijini Mwanza kupitia...
  18. Kazanazo

    Chadema wamekosea kufanya uchaguzi karibu na uchaguzi mkuu

    Hili kosa litawatafuna sana haya yanayotokea leo yasingetokea endapo wangefanya uchaguzi mwaka mmoja kabla au baada ya uchaguzi mkuu Kusimamia sera kunahitaji muunganiko na muda wa kutosha kwa kuzingatia nguvu ya chama kilicho madarakani ingepaswa wapate muda wa kujadili na kukubaliana juu ya...
  19. S

    PreGE2025 Jicho la tatu: Tujiandae kuona watoto wa shule wakiwamo walio chini ya umri wa miaka 18 wakitumika kama wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu

    Yanayoendelea nchi hii, kila mtu anaona na hata mwenye akili ndogo kama za kuku, anajua kabisa kuna biashara haramu ya kugawan majimbo kwa kisingizio cha wahusika kushinda uchaguzi. Kwahiyo, tutarajie muitikio mdogo wa wananchi na badala yake tutarajie kuona watoto wa shule wengine wakiwa...
  20. S.M.P2503

    Adhabu ya kuiba kura katika uchaguzi Mkuu (Rais na Wabunge)– adhabu iwe kunyongwa hadi kifo kama suluhisho la wizi wa kura Tanzania. Ni pendekezo tu

    Katika mataifa yanayojitambulisha kama ya kidemokrasia, uchaguzi huru na wa haki ni uti wa mgongo wa utawala bora. Lakini pale ambapo kura zinaibiwa — kwa hila, ujanja ujanja au nguvu — si tu kwamba haki ya wananchi inapokonywa, bali msingi mzima wa taifa unatikiswa. Katika muktadha huu, hoja ya...
Back
Top Bottom