Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,179
- 17,643
Mzee Paulo Twaakyondo wa mkoani Tanga, ambaye ni mwalimu mstaafu anasema wanaofikiria kufanya vurugu kwenye Uchaguzi Mkuu ujao hawatoweza, kwani amani ya nchi ndio kipaumbele cha kwanza.
Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, Mombo mkoani Tanga, Twaakyondo amesema asijaribu mtu yeyote kuivuruga amani ya nchi.
Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, Mombo mkoani Tanga, Twaakyondo amesema asijaribu mtu yeyote kuivuruga amani ya nchi.