Kiongozi mkubwa kama huyu badala asimame mbele za wananchi na kueleza anawezaje kuboresha maisha ya watanzania anaanza kujisifia kuwa pesa zote wanazotumia watanzania zina saini yake. Sasa hiyo saini yako inawasaidia nini watanzania kupunguza kero zao? Hiyo saini inasaidia nini kuboresha maisha...
Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), amesema kuwa msingi wa kulinda amani ya nchi upo katika kujenga na kuimarisha misingi ya kidemokrasia na usawa wa kijamii na si vinginevyo
Akizungumza na mtangazaji Wilberforce Ngoto...
ITV mna hiki kipindi kinaitwa "AIBU YAKO HATA WEWE" ambacho mmekuwa mkikitumia kukemea ukiukwaji wa taratibu na sheria za barabarani unaofanywa na madereva wa vyombo mbalimbali vya usafari kutoka na hatari ya usalama wa watu na vyombo hivyo.
Kwenye kampeni za CCM tumeona malori yakitumika...
Isak Lekisongo Meigio Kiongozi wa Jamii ya Masaai Tanzania na Mjumbe wa Kamati ya Machifu Tanzania amewaondoa wasiwasi wananchi kuwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 utakuwa ni huru na haki
Amewataka wananchi wenye sifa kushiriki ipasavyo katika kuchagua...
Mama mjane anayedai kudaiwa pesa na kampuni ya benk ya nmb amezungumza na seven media akimuomba baba levo anusuru nyumba yake iliyopangwa kuuzwa kaajili ya kufiidia deni ambalo anadaiwa katika benki hiyo.
Christina alikopa Tsh milioni 50 kwenye bank hiyo na kuiingiza kwenye biashara lakini...
Chama cha ACT Wazalendo kimeahidi kufuta leseni za wavuvi endapo wananchi watawachagua wagombea ubunge na udiwani kutoka katika chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Chama hicho kimekosoa utaratibu wa wavuvi kulipia leseni wakati huohuo wakikatwa tozo ya mafuta...
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema ndani ya kipindi cha miaka miwili ijayo Bandari Jumuishi ya Mangapwani itakuwa imekamilika kwa lengo la kuinua uchumi wa Zanzibar na kufungua fursa pana za biashara, ajira na uwekezaji.
Akizungumza...
Mgombea ubunge wa jimbo la Uyole jijini Mbeya Dkt Tulia Ackson, amewaomba wananchi kujitokeza kupiga kura siku ya oktoba 29 ili kuchagua viongozi wanao wahitaji kuwaongoza baada ya uchaguzi mkuu.
Dkt Tulia ameeleza hayo wakati akinadi sera kwa wakazi wa kata ya Ilemi ambapo amewaambia kua...
Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), amesema harakati za vijana na maandamano ya kudai haki si jambo jipya, bali ni mwendelezo wa historia ndefu ya mapambano ya kidemokrasia duniani.
Akizungumza katika kipindi cha Maswali na...
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, aliibua shamrashamra za aina yake baada ya kuinuka na kucheza jukwaani pamoja na msanii maarufu wa muziki nchini Tanzania, Yammi .
Tukio hilo lilifanyika katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya...
Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), amesema kuwa changamoto ya kupata Katiba mpya inachangiwa na watu wachache wanaonufaika na mifumo iliyopo na hivyo kuona mabadiliko kama tishio kwa masilahi yao binafsi.
Akizungumza na...
Kwa jiografia ya Mwanza, mji huu una njia kuu mbili za kutoka katikati ya jiji na kuliunganisha jiji la Mwanza na mikoa jirani, yaani kwa kifupi hizi njia mbili zikipata hitilafu, mji hauingiliki wala kutoka, inakua kero tupu.
Daraja la Mkuyuni kwa msiofahamu lipo njia kuu ya Mwanza mjini...
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema endapo akipata ridhaa ya kuiongoza Zanzibar kwa miaka mitano ijayo atahakikisha anavuka lengo la utoaji wa ajira 300,000.
Kauli hiyo ameitoa wakati akihutubia wananchi wa Bumbwini...
“Nikamwambia Rais, haya yanayohitaji Katiba, tufanye uchaguzi kwanza tukimaliza uchaguzi tutayashughulikia… na hii ilikua busara na mimi naipongeza sana zile kamati, kwa sababu taifa lilikuwa kwenye mchakato wa uchaguzi.
Katiba haitungwi kuwa ni Katiba ya Uchaguzi inatungwa kuwa ni Katiba ya...
Hapa kushusha presha za watu kuna watu wanaweza kupoteza haki zao au kuwekwa sehemu ya serikali ya CCM kuonekana kuwa utekaji ni wananchi.
Hii ripot ya Mbeya, Iringa na sasa kuna watu washawekewa kifo ambavyo vitasemwa kuwa biashara,madeni,mapenzi na n.k.
Usalama naomba DMZ mtakuja kujutua...
Atakayekwenda kupiga kura Oct 29 namuita MPU*MBAVU.
Kura haibadili chochote katika uchaguzi wa mwaka huu.
Kama hazibadili chochote maana yake hazihitajiki.
Sasa mtu anakwenda kupiga kura kwa minajili gani, kama sio upumbavu tu.
Ukiacha hayo kila mtu anajua kuhusu Polisi watakaokuwa mitaani...
Huyu bi mkubwa ameongea heeee! hivi Huyu kabujanja ndio bwana Zitto Kabwe bila shaka?
===============
Aliyekuwa katibu wa ACT tawi la mwanga kaskazini, NIMBI MUSSA KINYOTA ambaye kwasasa amekihama chama hicho, amewahasa wanawake wajane keendelea kukiamini chama cha mapinduzi pamoja na wagombea...
Mama huyu anapenda kupiga magoti sana! kwenye kuomba jambo lake, maana si mara ya kwanza kupiga magoti akiwa katika harakati zake za kisiasa za uchawa
Je hadi mumewe anampigia goti akimkosea au unafiki wake huku nje? :D :D :D
===============
Mgombea Ubunge Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama...
Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi amesema serikali ya awamu ya sita imeunda timu ya Makatibu Wakuu wa Wizara ili kufanya tathmini na kuanza mchakato aa kuyarejesha serikalini mashamba matatu ya Kiliflora Usa River, Kiliflora Nduruma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.