uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    GE2025 Nchemba: Ulishawawahi kushikana mkono na mtu aliyesaini kwenye noti wewe?

    Kiongozi mkubwa kama huyu badala asimame mbele za wananchi na kueleza anawezaje kuboresha maisha ya watanzania anaanza kujisifia kuwa pesa zote wanazotumia watanzania zina saini yake. Sasa hiyo saini yako inawasaidia nini watanzania kupunguza kero zao? Hiyo saini inasaidia nini kuboresha maisha...
  2. R

    GE2025 Wakili Olengurumwa: Amani ya nchi inalindwa kwa uwepo wa Misingi ya Demokrasia na Kusikiliza kero na Vilio vya Wananchi

    Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), amesema kuwa msingi wa kulinda amani ya nchi upo katika kujenga na kuimarisha misingi ya kidemokrasia na usawa wa kijamii na si vinginevyo Akizungumza na mtangazaji Wilberforce Ngoto...
  3. Just Pray

    GE2025 ITV Kipindi cha 'Aibu yako hata wewe' hamuyaoni malori yakibeba wananchi kama mizigo kwenye kampeni za CCM?

    ITV mna hiki kipindi kinaitwa "AIBU YAKO HATA WEWE" ambacho mmekuwa mkikitumia kukemea ukiukwaji wa taratibu na sheria za barabarani unaofanywa na madereva wa vyombo mbalimbali vya usafari kutoka na hatari ya usalama wa watu na vyombo hivyo. Kwenye kampeni za CCM tumeona malori yakitumika...
  4. R

    GE2025 Kiongozi wa Jamii ya Maasai: Uchaguzi utakuwa huru na haki

    Isak Lekisongo Meigio Kiongozi wa Jamii ya Masaai Tanzania na Mjumbe wa Kamati ya Machifu Tanzania amewaondoa wasiwasi wananchi kuwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 utakuwa ni huru na haki Amewataka wananchi wenye sifa kushiriki ipasavyo katika kuchagua...
  5. DuaZaMama

    GE2025 Mwananchi: Nyumba yangu inauzwa na bank naomba Baba Levo anisaidie

    Mama mjane anayedai kudaiwa pesa na kampuni ya benk ya nmb amezungumza na seven media akimuomba baba levo anusuru nyumba yake iliyopangwa kuuzwa kaajili ya kufiidia deni ambalo anadaiwa katika benki hiyo. Christina alikopa Tsh milioni 50 kwenye bank hiyo na kuiingiza kwenye biashara lakini...
  6. Just Pray

    GE2025 ACT Wazalendo yaahidi kufuta kigezo cha leseni kwa wavuvi

    Chama cha ACT Wazalendo kimeahidi kufuta leseni za wavuvi endapo wananchi watawachagua wagombea ubunge na udiwani kutoka katika chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Chama hicho kimekosoa utaratibu wa wavuvi kulipia leseni wakati huohuo wakikatwa tozo ya mafuta...
  7. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi: Bandari ya Mangapwani kukamilika ndani ya miaka miwili, uchumi wa Zanzibar kuimarika

    Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema ndani ya kipindi cha miaka miwili ijayo Bandari Jumuishi ya Mangapwani itakuwa imekamilika kwa lengo la kuinua uchumi wa Zanzibar na kufungua fursa pana za biashara, ajira na uwekezaji. Akizungumza...
  8. PAYE

    GE2025 Dkt. Tulia: Tujitokeze kupiga Kura usikubali mtu yeyote akushawishi ubaki nyumbani Oktoba 29, 2025

    Mgombea ubunge wa jimbo la Uyole jijini Mbeya Dkt Tulia Ackson, amewaomba wananchi kujitokeza kupiga kura siku ya oktoba 29 ili kuchagua viongozi wanao wahitaji kuwaongoza baada ya uchaguzi mkuu. Dkt Tulia ameeleza hayo wakati akinadi sera kwa wakazi wa kata ya Ilemi ambapo amewaambia kua...
  9. DuaZaMama

    GE2025 Olengurumwa: Harakati za Gen- Z ni sehemu ya historia ya demokrasia

    Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), amesema harakati za vijana na maandamano ya kudai haki si jambo jipya, bali ni mwendelezo wa historia ndefu ya mapambano ya kidemokrasia duniani. Akizungumza katika kipindi cha Maswali na...
  10. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi alivyopanda Jukwaani kucheza na Yammi

    Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, aliibua shamrashamra za aina yake baada ya kuinuka na kucheza jukwaani pamoja na msanii maarufu wa muziki nchini Tanzania, Yammi . Tukio hilo lilifanyika katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya...
  11. DuaZaMama

    GE2025 Wakili Olengurumwa: Katiba mpya inakwamishwa na wanaonufaika na mifumo iliyopo

    Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), amesema kuwa changamoto ya kupata Katiba mpya inachangiwa na watu wachache wanaonufaika na mifumo iliyopo na hivyo kuona mabadiliko kama tishio kwa masilahi yao binafsi. Akizungumza na...
  12. O

    GE2025 Daraja la Mkuyuni; Mgombea Urais kupitia CCM (Rais Samia) atakua na hoja gani Oktoba 8, 2025 ili wananchi wakamsikilize

    Kwa jiografia ya Mwanza, mji huu una njia kuu mbili za kutoka katikati ya jiji na kuliunganisha jiji la Mwanza na mikoa jirani, yaani kwa kifupi hizi njia mbili zikipata hitilafu, mji hauingiliki wala kutoka, inakua kero tupu. Daraja la Mkuyuni kwa msiofahamu lipo njia kuu ya Mwanza mjini...
  13. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi ahaidi kuvuka lengo la ajira 300,000 Zanzibar

    Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema endapo akipata ridhaa ya kuiongoza Zanzibar kwa miaka mitano ijayo atahakikisha anavuka lengo la utoaji wa ajira 300,000. Kauli hiyo ameitoa wakati akihutubia wananchi wa Bumbwini...
  14. Mafyangula

    GE2025 Mchungaji Mashimo; Niliwahi kufuatwa na kundi la watu wakitaka niichafue serikali

    Mchungaji Daudi Mashimo aibuka na kudai baadhi ya viongozi wa dini wakiongea mabaya kwa serikali badala ya kuwa kitu kimoja na kuiombea nchi.
  15. Inside10

    GE2025 Nape: Katiba iache tusubiri tumalize Uchaguzi, Wanaosusa waache wasusue

    “Nikamwambia Rais, haya yanayohitaji Katiba, tufanye uchaguzi kwanza tukimaliza uchaguzi tutayashughulikia… na hii ilikua busara na mimi naipongeza sana zile kamati, kwa sababu taifa lilikuwa kwenye mchakato wa uchaguzi. Katiba haitungwi kuwa ni Katiba ya Uchaguzi inatungwa kuwa ni Katiba ya...
  16. Fbn

    DMZ: Kwanini sasa kuelekea uchaguzi jeshi la polisi wanasema matukio ya sasa kuwa umewamaliza ?

    Hapa kushusha presha za watu kuna watu wanaweza kupoteza haki zao au kuwekwa sehemu ya serikali ya CCM kuonekana kuwa utekaji ni wananchi. Hii ripot ya Mbeya, Iringa na sasa kuna watu washawekewa kifo ambavyo vitasemwa kuwa biashara,madeni,mapenzi na n.k. Usalama naomba DMZ mtakuja kujutua...
  17. J

    GE2025 Hakuna haja ya kusumbuka Oct 29.Kura haibadili chochote, na haihitajiki

    Atakayekwenda kupiga kura Oct 29 namuita MPU*MBAVU. Kura haibadili chochote katika uchaguzi wa mwaka huu. Kama hazibadili chochote maana yake hazihitajiki. Sasa mtu anakwenda kupiga kura kwa minajili gani, kama sio upumbavu tu. Ukiacha hayo kila mtu anajua kuhusu Polisi watakaokuwa mitaani...
  18. Mafyangula

    GE2025 Nimbi: Huyu kabujanja tulimpa miaka 15 Jimbo la Kigoma Mjini na Vijijini lakini kila mwaka ni hati chafu

    Huyu bi mkubwa ameongea heeee! hivi Huyu kabujanja ndio bwana Zitto Kabwe bila shaka? =============== Aliyekuwa katibu wa ACT tawi la mwanga kaskazini, NIMBI MUSSA KINYOTA ambaye kwasasa amekihama chama hicho, amewahasa wanawake wajane keendelea kukiamini chama cha mapinduzi pamoja na wagombea...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Jenista Mhagama awapigia magoti wananchi Jimbo la Peramiho kuwaomba kura za ubunge

    Mama huyu anapenda kupiga magoti sana! kwenye kuomba jambo lake, maana si mara ya kwanza kupiga magoti akiwa katika harakati zake za kisiasa za uchawa Je hadi mumewe anampigia goti akimkosea au unafiki wake huku nje? :D :D :D =============== Mgombea Ubunge Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama...
  20. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Samia: Serikali Kurejesha Mashamba ya Kiliflora na Arusha Blooms Serikalini

    Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi amesema serikali ya awamu ya sita imeunda timu ya Makatibu Wakuu wa Wizara ili kufanya tathmini na kuanza mchakato aa kuyarejesha serikalini mashamba matatu ya Kiliflora Usa River, Kiliflora Nduruma...
Back
Top Bottom