GE2025 Vyama vinavyoshiriki uchaguzi bandia vifutwe

GE2025 Vyama vinavyoshiriki uchaguzi bandia vifutwe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,558
Reaction score
7,934
Vyama vinavyoshiriki uchaguzi bandia vifutwe , wagombea wote wa vyama hivyo wakamatwe na kuhojiwa hawatufai.

Viongozi wa dini wanao support uchaguzi bandia waondolewe kwenye nafasi zao kushiriki kwenye uovu kwa viongozi hao kunapoteza nafasi ya wao kuendelea kuwaongoza wengine kwenye haki.
 
hao ndio waafrika bana, munajifanya kupinga udikteta lakini nyinyi wenyewe ndio hao hao. ni vile hamjapa tu nafasi
 
Back
Top Bottom