uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    GE2025 Mgombea Urais ADA TADEA Georges Busungu: Kama Watanzania wanataka kuandamana waandamane kifikra sio barabarani

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha ADA -TADEA, Georges Bussungu amesema ikiwa Watanzania wanataka kuandamana waandamane kifikra wakapige kura ili wapate mabadiliko wanayoyataka. Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea...
  2. comrade_kipepe

    GE2025 Mnaenda kwenye kampeni halafu mnabananishwa hukohuko

    Mgombea Urais alipowaamuri Askari kuwashughulikia baadhi vijana waliokuwa wakileta fujo/ kuwasukuma wenzao kwa makusudi kwenye kampeni za mgombea urais kupitia CCM maeneo ya Serengeti mkoani Mara. ============== Panic button ipo ON 🚨 🚨 🚨 🚨 Hao watatoka jumatatu au baada ya tarehe 29
  3. Just Pray

    GE2025 Tabora: Mgombea udiwani awaahidi wananchi kupata maji bure kwa miezi mitatu

    Mgombea Udiwani kata ya Kidongochekundu Manispaa ya Tabora Mateleka Feruzi kupitia Chama cha Mapinduzi CCM akiongea katika mkutano wa Kampeni katika kata hiyo uliofanyika leo Oktoba 5,2025 amsema kuwa endapo akichaguliwa kuwa Diwani wa kata hiyo Wananchi watachota Maji bure kwenye Gati la Maji...
  4. Just Pray

    GE2025 Mgombea ubunge Tabora Mjini akemea ushoga na ulevi kwa vijana

    Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia Chama cha Mapinduzi Hawa Mwaifunga leo Oktoba 7,2025 ameendelea na mikutano ya Kampeni kusaka kura za kuwa Mbunge wa Tabora mjini. Mwaifunga akiwa katika kata ya Uyui amewataka Vijana kuchangamkia fursa za ajira katika viwanda ambavyo vitajengwa...
  5. DuaZaMama

    GE2025 Paul Makonda: Oktoba 29 hakuna maandamano, wote wanaenda kupiga kura

    Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini kuptia chama Cha Mapinduzi CCM Paul Makonda amemhakikishia Mgombea urais kupitia cha hicho kuwa Oktoba 29 hakuna maandano na atapewa kura zakutosha. Makonda amesema " Wananchi wa vijiweni wameniomba kwamba sasa hivi achaneni na habari ya kutokupiga kura...
  6. Just Pray

    GE2025 Doyo: Elimu ya Tanzania haina maslahi kwa wananchi

    Mgombea Urais kupitia Chama cha NLD Doyo Hassan Doyo ameutaja mfumo wa elimu ya Tanzania kuwa ni usio na maslahi kwa wananchi wake. Doyo amezungumza hayo akiwa katika muendelezo wa kampeni zake Mkoa wa Rukwa katika Wilaya ya Sumbawanga Leo Oktoba 11, 2025 akisema mfumo huo unamfanya mwanafunzi...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Masanja Kadogosa: Samia alishamaliza kazi. Kwa sasa anapita tu kuwasalimia wananchi

    Mgombea Ubunge wa jimbo la Bariadi vijijini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Masanja kadogosa amesema kazi kubwa aliyoifanya Mgombea wa Urais kupitia chama hicho, dk Samia Suluhu katika mikoa ya kanda ya ziwa hana haja ya kuongea sana kwasababu kazi aliyoifanya akiwa madarakani imetosha...
  8. DuaZaMama

    GE2025 Katambi: Samia ameondoa 'Omba Omba' Mtaani, achana na wachawi wasiokutakia mema

    Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mkoani Shinyanga na Naibu Waziri, Ofisi ya waziri Mkuu (Kazi, Vijana na watu wenye ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi amesema ndani ya miaka minne ya Uongozi wa serikali ya awamu ya sita mapinduzi makubwa yamefanyika kwenye uwezeshaji wananchi...
  9. Its Tesha

    GE2025 Samia ashangazwa na idadi ya watu Shinyanga kwenye kampeni yake leo

    Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshangazwa na wingi wa watu waliyojitokeza wakati wa alipoingia Shinga ikiwa ni muendelezo wa Kampein kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
  10. DuaZaMama

    GE2025 Bashe: Utu wa mtanzania haulindwi Twitter (X) au Instagram

    "Uchaguzi huu wa Oktoba 29, 2025 ni uchaguzi wa kufanya maamuzi kati ya Maisha halisi na anasa, wapo wanaojadili anasa wakitaka ndio ziwe ajenda za uchaguzi kwamba haki na uhuru wetu umeondolewa kwasababu hakuna Twitter, sisi huku Vijijini tunaelewa maana ya hatua unazozichukua. ... Niwaombe...
  11. Its Tesha

    GE2025 Vijana wa Shinyanga wametusaliti nilijua tumeanza kazi kumbe wamelipwa

    Vijana wa Shinyanga mjini wakiwa njiani kuelekea katika uwanja wa Kambaraje kwenye mkutano wa Mgombea Urais wa CCM Dk. Samia Suluhu Hassan.
  12. DuaZaMama

    GE2025 Maria Paulo aeleza furaha baada yakupiga SELFIE na Rais Samia

    Maria Paulo Mkazi wa Maswa akielezea furaha yake baada ya ombi lake la kupiga picha ya selfie kukubaliwa na Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyewasili mapema leo kwa ajili ya mkutano wa Kampeni. Bi. Maria alifikisha ujumbe huo kwa njia ya maandishi yaliyochorwa...
  13. Its Tesha

    GE2025 Samia: Mkiweka madiwani wa vyama vingine, maendeleo yatachelewa

    Mgombea Urais Samia Suluhu Hassan, Mgombea wa Urais wa Tanzania, akizungumza Maganzo, Kishapu Mkoani Shinyanga leo Jumamosi Oktoba 11, 2025 alisema: "Ilani niliyomkabidhi Mgombea Ubunge ni ya Kitaifa na ya Mkoa na Madiwani pia nimewapa Ilani ndogo za Mkoa wa Shinyanga. Ombi langu msiende...
  14. Its Tesha

    GE2025 Makonda awaita wenye hoja za msingi kwenye mdahalo wa katiba mpya

    Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amewataka wanaohamasisha uchaguzi uahairishwe kwaajili ya kupisha marekebisho ya katiba wajitokeze kufanya mdahalo nae. Makonda amesema " Kama kuna watu wanajiamini kwamba wanazo hoja za nguvu juu ya mambo ya katiba tufanye mdahalo...
  15. DuaZaMama

    GE2025 Aweso: Kishapu palikuwa na ukame wa maji Samia amewezesha

    Waziri wa Maji na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Pangani Mkoani Tanga Mhe. Jumaa Aweso amesema dhamira ya Dkt . Samia Suluhu Hassan ya kutoa maji ziwa Viktoria ili kuhudumia wananchi wa Mkoa wa Shinyanga yalikuwa maamuzi sahihi na ya kupongezwa kutokana na namna ambavyo mradi huo wa maji umekuwa na...
  16. DuaZaMama

    GE2025 Kikosi cha 830 JKT Kibiti Kimefanya Mazoezi ya Pamoja na Vyombo vya Usalama Rufiji

    Kikosi cha 830 JKT Kibiti, Kanali Mohamed Mruma akiwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Mwampashe ambaye ni Kaimu Operesheni Ofisa wameongoza mazoezi ya pamoja ya vyombo vya ulinzi na usalama Mkoa wa Kipolisi Rufiji kwa kufanya matembezi ya ukakamavu katika barabara kuu ya Kilwa - Dar es...
  17. DuaZaMama

    GE2025 Makonda aingia mtaa kwa mtaa Shinyanga kusaka kura za Samia

    Mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini Paul Makonda yupo mkoani Shinyanga kusaka kura za mgombea mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan je, unadhani jimbo la Arusha Mjini halina kero? Mdau ameandika.... "Arusha kero zenu tumeni kwenye mitandao mgombea ubunge akizipata ata like huko huko"
  18. DuaZaMama

    GE2025 Kadogosa: Kelele za mitandaoni zipo enzi na enzi

    Mgombea ubunge wa jimbo la Bariadi vijijini, Masanja Kadogosa akizungumzia swala la kulinda amani hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania tarehe 29 mwezi wa 10 mwaka 2025 Kadogosa amesema swala la kelele za mitandao ya kijamii lilikuwepo tangu wakati wa viongozi wa nchi...
  19. DuaZaMama

    GE2025 Wakili Gaston: Aliyeshusha mabango ya CCM ashitakiwa kwa kosa la wizi wa ng'ombe

    Kada wa CHADEMA aliyekuwa na tuhuma za kushusha mabango ya wagombea mkoani Kagera amefikishwa mahakamani kwa kosa la wizi wa ng'ombe kwa kutumia silaha. Hayo yamesemwa na Wakili Gaston Garubindi akiongeza kuwa wamejipanga katika kesi hiyo.
  20. DuaZaMama

    GE2025 Ulega aiombea Mkuranga Barabara, manispaa na stendi

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Ulega, amesema ujenzi wa viwanda unaoendelea wilayani Mkuranga tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani umeiongezea thamani na kwamba mambo matatu yakifanyika itapaa zaidi. Akizungumza katika mkutano...
Back
Top Bottom