uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    GE2025 Aliyekuwa mtiania nafasi ya Urais ACT Wazalendo Aaaron Kalikawe: Kila Kata itakuwa kama Mlimani City

    Wakuu, Mgombea wa nafasi ya kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo Aaron Kalikawe ameahidi kuifanya Tanzania kuendeshwa katika mifumo ya teknolojia itakayochochea uzalishaji wa ajira kwa vijana. Kalikawe anachuana na Luhaga Mpina katika...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Kadege: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Iko vizuri, atakayeshinda atatangazwa

    Twalibu Kadege - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha UPDP , Anasema kwa uwazi kuwa: Tume huru ya taifa ya uchaguzi iko vizuri sana na atakayeshinda atatangazwa.
  3. R

    GE2025 Anayetetea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini akataa kura feki zilizokamatwa

    Mshindi wa kura za maoni katika Jimbo la Kigoma Mjini, Shabani Kirumbe Ng’enda, ambaye anasubiri kupitishwa na Kamati Kuu ya CCM, ili kugombea ubunge katika jimbo hilo baada ya kuwashinda wenzake sita akiwemo Baba Levo, amezikataa kura feki zilizokamatwa wakati wa mchakato wa kura za maoni ndani...
  4. Waufukweni

    GE2025 James Mbowe: Mbowe anatukanwa na Heche yupo kimya

    James Mbowe ambaye ni mwanachama mwaminifu wa chama cha ukombozi wa umma (CHAUMMA) anasema moja ya kitu ambacho kilikuwa kinamuumiza ndani ya CHADEMA ni Mheshimiwa Mbowe kutukanwa kwenye mitandao na viongozi ndani ya chama kuwa kimpya. "Hakuna kitu kibaya kama viongozi kuruhusu muasisi wa chama...
  5. B

    GE2025 ACT mmeshindwa hata kuvunga kuwa nyie sio CCM B? Eti Mpina kama mgombea Urais! Watu sio wajinga bana!

    Kulingana Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa; "Vyama vinavyopata ruzuku ni vile vilivyopata angalau asilimia tano ya kura zote halali zilizopigwa katika Uchaguzi Mkuu na vyama vyenye Wabunge au Madiwani. Kigezo kinachotumika ili chama kiweze kupata ruzuku ni kuangalia matokeo ya uchaguzi kuona...
  6. KENZY

    Nilichelewa kulijua hili, Kumbe kwenye nchi kuna wananchi na wenye nchi? halafu kuna hadaa na kuhadaiwa?

    Kumbe kwenye nchi kuna wananchi na wenye nchi!, halafu kuna hadaa na kuhadaiwa!. Hadaa ni pale wewe mwenyewe unakuwa mchovu wakufatilia mambo kiundani ili ujue ukweli halafu ndo uchague upande!, na kuhadaiwa ni kutokana na huo uzwazwa wako wenye akili wanakuhadaa ili waendelee kula na kunywa...
  7. B

    Polepole: Sina Taarifa ya Warioba kushikiliwa nyumbani kwake, jambo hilo siyo factual

    Mwenyezi Mungu atangulie. Amani ya Bwana iwe nanyi, na rehema za Allah ziwe juu yenu nyote. Katika mahojiano ya moja kwa moja usiku wa leo, aliyekuwa mbunge na mwanasiasa machachari, Mhe. Humphrey Polepole, alipokea swali kutoka kwa mmoja wa Watanzania waishio nje ya nchi (diaspora). Swali hilo...
  8. ELI COHEN

    Nashauri Lissu akitoka cage aende zake ibiza apigwe na upepo wa bahari aachane na wabongo, maybe they are not worth fighting for?

    Nitukane unavyotaka.. Ila tambua wabongo nyosoo, wabongo balaa
  9. DuaZaMama

    GE2025 James: Mlitaka Mbowe aseme nini wakati wajibu wake alishaamaliza

    Mtoto wa Freeman Mbowe, Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), James Mbowe,amesema anamuuga mkono Freeman Mbowe, kwa kitendo chake cha kutotoa maoni yake juu ya yanayoendelea ndani ya CHADEMA Pamoja na Kesi ya Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu. James, ameyasema...
  10. R

    GE2025 Yeriko Nyerere: CHADEMA Imekufa, Kubali kataa nuna lakini huo ndiyo ukweli, Niliwaambia Chama hiki mkimpa Tundu Lissu haitafika miezi mitatu

    Baada ya aliyekua kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Yeriko Nyerere, kutangaza kujiunga rasmi na Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Agosti 6, 2025 makao makuu ya Chaumma yaliyopo Biafra Kinondoni jijini Dar es Salaam, ametoa madai kuhusu kuanguka kwa CHADEMA
  11. DuaZaMama

    GE2025 Zitto Kabwe: Miezi mitatu ijayo itabadili Siasa za Tanzania

    Mwenyekiti wa zamani wa ACT Wazalendo akiwa kwenye mkutano maalum wa kumteua mgombea urais leo Agosti 6,2025 amesema ,“Wanazuoni, watafiti, kuanzia leo waanze kushika kalamu zao, miezi mitatu inayokuja inakwenda kubadili siasa za Tanzania moja kwa moja.” – Zitto Kabwe, Kiongozi Mstaafu wa...
  12. K

    GE2025 Ushauri wa bure kwa Luhaga Mpina kuhusu kugombea urais kupitia ACT-Wazalendo

    Mhe. Mpina nimekuona kwenye clip na pia kwenye mitandao ya kijamii kuwa unashawishiwa na ACT- Wazalendo kuwa ugombee nafasi ya Urais kupitia Chama hicho. Nakupa ushauri wa bure. ACHA KABISA wazo hilo. Kama unataka cheo chochote kupitia siasa gombea nafasi ya ubunge hata kwa kupitia Chama chao...
  13. tonicimmobility

    GE2025 Vurugu zaibuka kwenye mkutano wa wajumbe CUF. Lipumba adaiwa kukimbia kwenye mkutano

    Ndani mtiti nje mtiti. Ndivyo tunavyoweza kusema, baada ya ukumbi wa Shabani Mloo wa Chama cha Wananchi (CUF), uliotakiwa kutumiwa na wajumbe wa Baraza Kuu la Uongozi wa chama hicho ili kupitisha ilani na kuteua majina ya wagombea urais wa Tanzania na Zanzibar, kugeuka uwanja wa ngumi. Mtiti...
  14. Erythrocyte

    GE2025 Baada ya kujificha ficha sana hatimaye Yericko Nyerere ajiunga CHAUMMA

    https://www.youtube.com/watch?v=d650ZU07JKQ Ameambatana na James Mbowe Tunawatakia kila la heri kwenye Usaliti wao huo na Tunamuomba Mungu awalipe kwa kadiri ya Haki yao, Amina.
  15. JanguKamaJangu

    GE2025 Ado Shaibu: Wapo wengi wanatoka CCM wanabisha hodi ACT, tunawakaribisha

    Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Chama hicho, leo Agosti 6, 2025, amesema kuna wimbi kubwa la Watu wanaotaka kujiunga nao wakitokea CCM na Vyama vingine vya upinzani na kwamba wao wanawakaribisha.
  16. JanguKamaJangu

    GE2025 Ado Shaibu: ACT Wazalendo tuna wagombea, Udiwani kila Kata na Ubunge majimbo yote

    Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu, amesema kuwa Chama hicho kinao wagombea Udiwani kwenye Kata zote Tanzania Bara na Zanzibar. Lakini pia amessema kwamba tayari kwa Zanzibar wameshapata wagombea kwenye majimbo yote ya Zanzibar na Tanzania Bara. Aidha amesema kwamba kuna...
  17. mngony

    GE2025 Ni hatari kwa mustakabali wa Umoja wa Kitaifa, kwa Mgombea kuandika bango la kuomba kura kwa lugha ya kikabila, Mwl Nyerere asingekubali litokee

    Inasikitisha kuona sasa tunaomba kura kwa lugha za kikabila? Je tunataka wenye kabila letu tu watuchague au kuwaonesha kuwa ni wa nyumbani? Kabila limekuwa kigezo? Hii ni hatari sana, nchu yetu haina ukabila na watu wamechanganyikana. Sasa mimi Mngoni niko Ngara ukitumua...
  18. tonicimmobility

    Makame anashauri Polepole angemuiga Dr. Mpango kujiuzuru

    Mgombea mwenza wa urais kupitia chama cha ADA TADEA, Ally Makame, amesema kuwa hatua ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kujiuzulu hadharani ililenga kuleta mvutano kati ya wananchi na serikali. Soma pia: Ndugai, Majaliwa na Mpango wamepigwa bao na Polepole...
  19. tonicimmobility

    Changisha changisha ya Heche yafikisha Milion 5 kumuweka huru Mchungaji Saniel

    Feedback kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema taifa, ''Asanteni watanzania kwa kumchangia Mchungaji Saniel Sosoa ambaye amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela au faini ya 5M kwa kudaiwa kuikashifu serikali ya CCM (cyber bullying and false information). Kwa umoja wetu tumeweza kumchangia...
  20. tonicimmobility

    Mpina kuwania uraisi kupitia ACT

    Chama cha ACT Wazalendo kimependekeza majina ya wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Urais wa Zanzibar kufuatia kikao kilichofanyika jana Jumanne, Agosti 5, 2025 katika makao makuu ya chama hicho, kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema. Soma pia: Mpina agonga hodi ACT Wazalendo na...
Back
Top Bottom