uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 Dodoma wakimsubiri Rais Samia baada ya kuchukua fomu yakugombea Urais

    Wakazi wa Dodoma wako hapa wamekusanyika wakimsubiri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan baada ya kuchukua fomu ya kugombea Urais kwa awamu nyingine.
  2. Waufukweni

    GE2025 Mapokezi ya Wagombea Urais wa ACT Wazalendo, Mpina na Othman, Unguja-Zanzibar kujitambulisha

    Wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, wamewasili mjini Unguja kwa ajili ya utambulisho kwa wanachama na wananchi wa kisiwa hicho. Luhaga Mpina mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania na Othman Masoud anayewania urais...
  3. tonicimmobility

    GE2025 CUF kimeshanuka, wafukuza wanachama 7 na kumpitisha mgombea urais

    Chama Cha Wananchi (CUF) kimepitisha majina ya wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, huku kikiwaondoa wanachama saba waliodaiwa kufanya vurugu na kukwamisha kikao cha Baraza Kuu la Uongozi. Soma pia: CCM yapokea Wanachama wengine zaidi ya 70...
  4. DuaZaMama

    GE2025 ACHPR yaitaka Tanzania kukomesha ukiukaji wa Haki za Binadamu Kabla ya Uchaguzi

    TAARIFA KWA UMMA TUME YA AFRIKA YAKUBALI AZIMIO KUHUSU HALI YA HAKI ZA BINADAMU NCHINI TANZANIA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakaribisha na kupongeza kwa dhati kupitishwa kwa Azimio ACHPR/Res.640 (LXXXIV) 2025 na Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHPR), wakati wa...
  5. tonicimmobility

    Mzee wa ''tunaanza upyaa'' ametangaza kuacha siasa rasmi

    Selemani Saidi Ally Bungara maarufu kama Bwege ametangaza rasmi kuachana na siasa za majukwaa. Hizi hapa baadhi ya nukuu zake Bungeni na nje ya Bunge Tuandikie hapa nukuu yake moja unayoikumbuka. Soma pia: Mwenyekiti wa CHADEMA Dodoma Aisha Madoga ajiuzulu nafasi yake na kuondoka CHADEMA...
  6. M

    Tetesi: Njama ovu kwenye uchaguzi mkuu 2025

    Wanajamvi Huku kwetu Mtaa wa Kigezi Kata ya Buyuni Maeneo ya Chanika jijini Dar es Salaam kuna fomu za kuanzisha vikundi vya Kijamii vinavyoratibiwa na baadhi ya Wana-CCM . Kwa aliyetoa maelezo anasema kuanzishwe vikundi vya kijamii ambapo kila mkaazi wa eneo hili anatakiwa kujiunga kwa kujaza...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Rais Samia: Tumeanza Kuteua Watakao tuwakilisha kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

    Akizungumza katika maonesho ya Siku ya Wakulima (Nanenane) Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma katika viwanja vya John Malecela leo, Agosti 8, 2025, Rais Samia amesema kuwa katika kipindi hiki kuanzia mwezi huu, vyama vyote vya siasa vimeanza michakato ya kupengua na kuteua wale wote...
  8. Waufukweni

    GE2025 Bashe awashukia Wagombea wa CCM waliopondea Sera za Serikali kwenye Kura za Maoni: Ni hatari sana!

    Waziri wa Kili Hussein Bashe, awashukia Wagombea wa CCM waliopondea Sera za Serikali kwenye Kura za Maoni, asema ni hatari sana!
  9. DuaZaMama

    GE2025 Polepole amshauri Rais Samia asichukue fomu ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 2025

    Kada wa chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole hii leo Agosti 08, 2025 amemsihi Rais Samia Suluhu kutochukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku akihoji anataka kwenda kushindana na Salum Mwalimu wa CHAUMMA, "Unataka ukagombee na Salumu Mwalimu wa CHAUMMA ndio...
  10. DuaZaMama

    GE2025 THBUB Yatoa Wito kwa Viongozi wa Dini na vyama vya Siasa Kuepuka Lugha za Uchochezi uchaguzi mkuu 2025

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imewataka wadau wa uchaguzi wakiwemo viongozi wa dini na vyama vya siasa kujiepusha na lugha za matusi, kejeli, ubaguzi na uchochezi, hasa wakati wa kampeni huku akiwasisitiza kutanguliza mbele masilahi ya taifa. Wito huo umetolewa na Makamu...
  11. Waufukweni

    GE2025 Kilimanjaro: Watu watiwa Mbaroni kwa uhalifu Kura za Maoni CCM Vunjo

    Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu kadhaa kwa tuhuma za kujihusisha na jaribio la kufanya uhalifu wakati wa zoezi la uchaguzi wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mpinduzi (CCM) jimbo la Vunjo. Watu hao wanadaiwa usiku wa kuamkia siku ya upigaji kura za maoni, yaani Agosti...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Benson Kigaila: CHAUMMA ina wanachama wengi inazidiwa na CCM tu

    Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Bara, Benson Kigaila amesema; "CHAUMMA leo ni chama chenye wanachama wengi, kinaweza kuwa kinazidiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) tu ambacho kimejijenga kwa dola kwa miaka yote, lakini CHAUMMA ni chama chenye wanachama wengi, na athari...
  13. Nipe Maji

    GE2025 LUWASA yaagizwa kuchunguza changamoto ya miundombinu ya maji Lindi

    Mkuu wa wilaya Lindi, Victoria Mwanziva ameiagiza Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira (LUWASA) kuchunguza uharibifu wa miundombinu ya mradi wa Ng’apa. Hatua hiyo inafuatia malalamiko ya wananchi wa mtaa wa Mtange kukosa maji kwa zaidi ya wiki moja.
  14. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya Zuio CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa yaahirishwa Hadi Agosti , 18, 2025

    Kesi ya madai iliyofunguliwa dhidi ya Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA na Katibu Mkuu wa chama hicho, inayohusu zuio la kufanya shughuli za kisiasa, imeahirishwa hadi Agosti 18, 2025, kwa ajili ya kusikilizwa kwa uamuzi wa maombi ya kutengua zuio hilo. Shauri hilo, Na. 8323/2025, liliwasilishwa na...
  15. tonicimmobility

    GE2025 Barabara Zinazoelekea Kwa Hayati Job Ndugai Zinatengenezwa Muda huu

    Barabara zimeanda kufanyiwa marekebisho nyumbani kwa marehemu Job Ndugai, Njedengwa jijini Dodoma ili kurahisisha upitaji wa magari. Soma pia: Mbunge Boniphace Getere: Tunachotaka ni kuona PM Majaliwa anarudi bungeni kuhusu vyeo anajua Mungu Watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa Chama Cha...
  16. McLaren

    GE2025 Lembrus Mchome: Nimemshauri sana Heche lakini hashauriki. Viongozi wengi wamejaa ghilba , viburi na jeuri

    Wakuu Akiwa anazungumza leo kwenye mahojiano aliyoyafanya wakiwa kwenye mkutano mkuu wa CHAUMMA, Lembrus Mchome amesema kuwa amejaribu sana kumshauri Heche lakini kiongozi huyo hashauriki
  17. tonicimmobility

    Ndugu wanasema Ndugai alikuwa mzima tu

    Waombolezaji wanaendelea kuwasili msibani kwa aliyekuwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Job Ndugai, nyumbani kwake Njedengwa Jijini Dodoma. Soma pia: Rais Samia asikitishwa sana na Kifo Cha Ndugai. Aomba Watanzania kumuombea kwa Mungu...
  18. McLaren

    GE2025 Naibu Msajili wa Vyama Sisty Nyahoza: Nilivyoona CHAUMMA mnarusharusha helikopta nikajua ndo walewale waliokuwa wanarusha kule

    Wakuu, Sisty Nyahoza akiwa anazungumza kwenye mkutano mkuu wa CHAUMMA alisema:
  19. Waufukweni

    GE2025 James Mbowe: Kesi ya Lissu Watu 300 hawafiki Mahakamani

    James Mbowe ambaye ni mwanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), anasema pamoja na CHADEMA kukubalika kwa wananchi lakini hata watu 300 hawafiki mahakamani kusikiliza kesi ya mwenyekiti wa chama hiko Tundu Lissu.
Back
Top Bottom