Hivi karibuni Februari 28, 2026 wakati wa Msiba wa Hayati Polycarp Kadinali Pengo kila mtu anakumbuka kilichotokea kuhusu suala ya kupigiwa au kutopigiwa makofi kwa wanasiasa. Baadhi ya Viongozi wastaafu walipigiwa sana makofi na waaumini lakini wale waliopo madarakani kwa sasa hali ilikuwa...
Oya, ina maana USA wameshindwa kurudia kile walichokifanya Venezuela kwa Iran?
Yaani wameshindwa kwenda na makomando wao wa Delta force kumnyakua Ayatollah kama walivyomnyakua Maduro?
Daaaaah!!!
Kama unahitaji pikipiki kwa usafiri binafsi au kubeba abiria chukua Haojue Express Plus au TVS 125
Na ukihitaji pikipiki ya kubebea mizigo shambani chukua Haojue 125 Mninga utafurahia usafiri wako, nimependekeza hizo kwasababu zifuatazo
1. Ni rahisi kuuza hata ukiwa umeitumia kwa mda mrefu
2...
Kumekucha na makucha yake..
Ni muda Tena nimekuja na wazo la kuboresha usafiri wangu TVS baada ya kuona mafundi wamezidi kuchokonoa engine.
Ninampango wa kununua engine mpya ya TVS dukani nifunge cc125 ila Nina wasi wasi isije ikawa kama vifaa vingine vya mipira maana 80% ni fake.
Je vipi...
Mtangazaji machachari wa kituo cha runinga cha Clouds Media Sam Sasali akimuhoji Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila katika Mdahalo wa The Cafe Talk alikuwa na haya ya kusema,
Kwanza mtangazaji Sam Sasali alitaka kujua uhalisia wa tarakimu za ukuaji...
Kampuni ya magari kutoka Korea Hyundai, wameungana na Muhindi TVS kuleta "bajaji" za umeme ambazo unaweza ukazitumia kwa business au usafiri private.
Hyundai yeye atatoa engineering na technology wakati TVS atafanya assembly na marketing.
Bei na specifications zaidi bado hazijawekwa wazi.
Inafika kipindi mtu akisikia pikipiki ya TVS au Hero, anachowaza ni zile za bodaboda.
Tunajua mnatoa vyuma vizuri tu kwa bei rafiki, lakini kwanini hamzileti Tanzania?
Mfano hii pikipiki ukiambiwa ni TVS unakataa, na ukaambiwa mpya ni $3,000 tu kabla ya usafiri na kodi.
Kwamba hatuwezi...
Nimepita vijiwe kadhaa hapa nimechunguza kisha nikaona pikipiki nyingi ni boxer ikabidi niulize wadau hapa majibu yao ni kua TVS humpakii mtu haya maeneo TVS nenda mbeya au dsm. Lakini hakunitajia sababu kwa nini wateja wanapenda BOXER.
Kwanza itakua ni wendawazimu mkubwa Kwa WATU tunaowaita Mawakili kua Wala Rushwa na Kupokea Rushwa ili mradi kura wampigie mtu anayetakiwa na Serikali.
Pili, Ni Ujinga wa kiwango Cha juu sana ikiwa Serikali itahitaji Kuiongoza TLS.
Tatu, Hili la Online TVs zote kua na Mtangazaji Mmoja, ni...
Tunauza pikipiki zote za tvs kwa bei nafuu sana.
Tvs 125 4 gear utaipata kwetu kwa bei ya shilling Million 2 na laki tisa tu.
Tvs 125 gear 5 utaipata kwetu kwa bei ya shilling Million 3 na laki moja tu.
Tvs King ya mafuta utaipata kwetu kwa bei ya shilling Million 9 na laki 9 tu, Tvs king ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.