tvs

  1. Kididimo

    GE2020 Ushauri: TVs na Redio zitoe kwa usawa hotuba za mwisho za Wagombea Urais wote. Miaka yote kuanzia 1995 hadi 2015 ilifanyika hivyo

    Ni maoni yangu kuelekea hitimisho la Kampeni leo 28/10/2020. Lengo kuu ni ili Wananchi wawasikie kwa lugha moja katika kuhitimisha na kesho wafanye maamuzi sahihi. Naamini leo hakuna pumba au chuya, ni mwendo wa "SERA".
  2. Ndikwega

    TVs: Naomba Ufafanuzi wa haya Maneno

    Habarini Wanajamvi. Naomba Msaada wa Maana ya Specifications ya Maneno haya kwenye Hizi Screen za Kisasa (TVs). 1. Smart 2. Smart uhd 4k 3. Smart Android Uhd 4k Ahsanteni.Chief-Mkwawa mchango wako utanifaa Mkuu
  3. A teller

    Je, ninunue pikipiki aina ipi kati ya Boxer BM 150 na TVS HLX 150?

    Habari wakuu nataka ushauri nataka kununua pikipiki binafsi kwa ajili ya bodaboda ipi iko vizuri kati ya boxer 150 na tvs150? - Kuanzia engine - Fuels - Speed - Rough road na appearance === Boxer BM 150 TVS HLX 150
  4. M

    Kati ya TVS HLX 150 na Hero dawn 150 ipi bora?

    Wakuu hivi kati ya TVS HLX 150 na Hero dawn 150 ipi bora?
  5. Boyla

    Nauza Pikipiki aina ya TVS HLX125

    Wadau wa jamii forum nauza pikipiki yangu aina ya TVS star hlx 125.. Napatikana Ukonga Dar es Salaam. Price Tshs.920,000/= Hakuna udalali Mhusika ni mimi mwenyewe Call 0652015525
Back
Top Bottom