tundu lisu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Nini kinasababisha mpaka sasa Tundu Lisu asalie mahabusu? Maana ilibidi atoke November 3

    Tundu Lisu ilibidi aachiwe tangu November 3 baada ya samia kuapishwa . Naona umepita mwezi sasa tunaona kimya, kesi haisikilizwi na yeye bado hajaachiwa. Au je mamlaka husika wanaona nchi bado haijakaa sawa kutokana na hofu ya maandamano au wanahisi atakuwa chachu ya watu kuandamana akiingia...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tundu Lissu hata akiachiwa kwa sasa haina maana yoyote. Too late

    Hamjambo wote! 1. Ndugu zangu Watanzania, mnakumbuka miezi ya nyuma kidogo niliandika nyuzi takribani tatu mfululizo nikiisihi serikali kumiachia Tundu Antipas Lisu. 2. Nafikiri wengi wenu mnakumbuka. Niliandika vile kutokana na sababu kuna Jambo na mambo mengi niliyaona katika spiritual...
  3. adriz de mbusii

    JamiiForums Tanzania Kutokana na Maelezo ya Tundu Lissu, Mwalimu Nyerere ndio chanzo cha utawala mbovu unaoendelea Afrika Mashariki

    Moja kwa moja. Nilikuwa natazama kwa umakini YouTube hoja za Lisu wakati alipoalikwa kuongea katika kongamano Moja katika chuo cha Makerere Uganda. Kutokana na Maelezo yake alimsifia Mwalimu kwa jitihada zake za ukombozi Afrika , kutopenda ufisadi na kujilimbikizia Mali Kisha akaenda kwenye...
  4. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu aliliona hili, hatimae Leo tunaishi katika maneno yake

    Alikua mbele ya muda
  5. sergio 5

    JamiiForums Tanzania TUndu Lissu hutoa wapi taarifa?

    Jana mahakamani
  6. Superbug

    JamiiForums Tanzania Awamu ya kwanza haikumnyonga Bibi Titi Mohamed. Je, ya sita itamnyonga Tundu Lissu ikiwa atatiwa hatiani?

    Naomba niulize wajuvi na wajuzi wa mambo ni kweli wanawake wana huruma sana kimaumbile sasa swali langu Nyerere hakumnyonga bibi Titi Mohamed; Je, awamu hii itamnyonga Tundu Lissu mkatoliki? Tena hapa kuna mbadilishano wa dini na jinsia.
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kwa Mara ya Tatu na ya mwisho; Naiomba Serikali imuachie Tundu Lissu Kabla ya Septemba 7

    Anaandika, Robert Heriel Kuhani Katika Hekalu Jeusi Kwa heshima yote isiyo na hila, nilianza kuiomba serikali tangu august 13 kuona namna ya Kumuachia Tundu Antipas Lisu. Hii ni kusema mpaka tarehe 7 septemba, zitakuwa sio chini ya siku 24 tangu nitoe ombi hilo. Lilikuwa Ombi la heshima na...
  8. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu hatokuja kuwa na sifa wala vigezo vya kikatiba kuwa mgombea urais wa Tanazania tena

    Na hiyo itakua ni kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, kwamba Tundu Lissu atakua hana tena haki na atakua amepoteza kabi fursa, sifa na vigezo vya kisheria kugombea nafasi hiyo nyeti kitafa.🐒 Mungu Ibariki Tanzania.
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mchezo wa kurushiana Risasi utahitaji Bullet Proof vest au kujificha huku unashambulia; Kwako Tundu Lisu baada ya kutoka usifanye kama Kina Mdude Chad

    Hamjambo Wote! Mwezi septemba unaoanza kesho utakuwa na hekaheka nyingi sana. Mambo mengi makubwa yanatarajiwa kutokea. Ni mwezi ambao Wagombea na mahasimu wao wanatakiwa kujihami zaidi na kujilinda huku wakifanya mashambulizi ya kushtukiza ya kimkakati. Wagombea Wapya katika nafasi mpya kama...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kabla ya Septemba 7 Serikali itakuwa imemuachia Tundu Lissu. Kete hiyo itabadili uelekeo wa siasa za Tanzania. Je, Chadema kushiriki?

    Hamjambo! Kete pekee ambayo imebaki kubadili upepo wa kile kinachoendelea ndani ya taifa hili ni kumtoa Tundu Lissu hasa nyakati hizi ambapo Kampeni za uchaguzi zitakuwa zimepamba moto.. Kumtoa Tundu Lisu Mahabusu kutaipa nguvu Serikali na kuondoa kelele zinazoendelea na matukio mapya...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Tuhuma za Polepole zisipuuzwe, yawezakuwa Tundu Lisu ameandikishwa pia kwenye Daftari la Mpiga kura, je itakuwaje?

    Salaam, Ikiwa tuhuma za Polepole Zina ukweli, basi chama kifanye utafiiti wake, maana wananchi wa kawaida ambao hawakujiandikisha, wameanza uchunguzi wao binafsi kumthibitishia tuhuma hizi. Nawashauri CDM nao wafanye utafiti, isijekuwa Lissu mtuhumiwa wa uhaini naye ameandikishwa kutiki...
  12. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hii ni aina gani ya laana inayomuandama na kumtesa Tundu Lissu kisiasa, kiuchumi na kijamii?

    Maana, kwanza, kila analolianzisha halifanikiwi, Kwa mfano alikua mbunge hakuinjoy, hakumaliza muda wake wa ubunge na wala hakufanikiwa kwa lolote ikiwa ni pamoja na kuwaletea maendeleo wanainchi wa singida mashariki. Bilashaka yoyote, nadhani hata watu wa singida wameshasahau kama kuliwahi kua...
  13. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Je, chadema masalia imemvua Tundu Lisu uenyekiti wa chadema taifa kinyemela na kumtelekeza korokoroni?

    Je, Hamphrey Polepole anaandaliwa kurithi mikoba ya Lisu na nafasi ya uenyekiti wa chadema masalia Taifa? Kwanini sasa, na mbona mapema mno? Kwasasababu kuna kila dalili na viashiria vya chadema masalia kwa ujumla wake kuhamisha ushujaa wa Tundu Lisu kwa polepole. Mtu wa watu anaandika mpaka...
  14. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Wanaoongea sana hawapaswi kupewa madaraka makubwa mfano, mfano Tundu Lissu

    Wakuu! Ukweli siku zote ni mchungu, ukweli unatabia ya kuumiza na kuibua hasira. Haya ni mawazo yangu binafsi. Mtu yeyote anaye ongea sana, ni yule akifika mtaani kwenu siku moja tu inamtosha kwake kujuana na kila mtu utadhani kazaliwa eneo husika, interest zote zipo kwa watu, ni mcharuko...
  15. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu aanza kuwaaga wanachama na wafuasi wake kwa huzuni na hisia sana. Je, ameshajua mwisho wa kesi yake na haki yake anayostahili?

    Muungwana amejawa hofu, mashaka na wasiwasi wa kiwango cha juu mno. Ujasiri umeyeyuka kabisa, muungwana anatia huruma tu hivi sasa. Ama kwa hakika, majuto ni mjukuu, na kifo cha nyani miti yote huteleza. Sote ni mashuhuda, Tundu Lisu amekata tamaa kabisa kuhusu kesi mahakamani, na imefikia...
  16. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Wakili Tundu Lisu ni mahiri wa kukariri na kuzieleza sheria mbele ya wasio jua sheria, lakini ni mnyonge mno mbele ya mahakama na wanao zijua sheria

    Anajisahau mno mahakamani na kudhani kwamba anajieleza mbele ya wale wasio jua sheria aliozoea kuwabeba ufala kifikra, kwamba eti anajua shreia bara-bara, kumbea hana lolote. Ndio maana, badala ya kujitetea kwa mujibu wa sheria kulingana na anachotuhumiwa nacho, Tundu Lisu anapoteza muda mwingi...
  17. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha ujasiri na umakini wa Tundu Lissu mahakamani kinashuka kadiri anavyoitwa mbele ya mahakama kujibu yanayomkabili

    Unadhani amesense kitu gani kisicho cha kawaida, hata ghafla awe mtu mwenye haiba ya hofu na huzuni, huku body language ikiwa katika hali ya kukata tamaa kwa kiwango kile? Anahisi amekosea wapi kujitetea kikamilifu na kwa umahiri wa kisheria alionao hata amefikia hatua ya kuandika insitement...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kwa heshima niliyonayo kwa Serikali; Kwa mara ya Pili: Naomba imuachie Tundu Lissu mwezi Septemba kabla ya tarehe 7

    Hamjambo! Ujumbe huu ufikiriwe na hatua stahiki zichukuliwe. Ujumbe huu uwafikie Wakuu, Rais, Vyombo vya Dola na Usalama. Mimi sio mfuasi wa chama chochote. Pili, Sina maslahi na mtu yeyote. Isipokuwa maslahi ya taifa. Ndugu viongozi wa serikali, Wakuu, vyombo vya Dola na Rais. Kwa heshima ya...
  19. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ni mmoja tu ila Kaichanganya Serikali yote hawajui wafanye nini

    GT Tindu Lissu ni mtu na nusu. Yaani yupo gerezani lakini anatema madini hadi waliopo uraiani wanabaki midomo wazi hawana cha kujibu. Hoja za Tundu Lissu zinakuwa na mashiko na maana kabisa na kila mtu anaona . Kinachobaki ni uonevu tu kwa sababu ya mamlaka ila siyo sheria.. Sisi tupo na...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watibeli tunaiomba Serikali kumuachia Tundu Lissu Septemba kabla ya Septemba 7

    Hamjambo wote! Tayari misukosuko imemtosha, tunaita ndio mambo ya siasa hayo. Tunaiomba serikali kabla ya septemba 7 iweze kumuachia Tundu Lisu. Hatusemi baada ya hapo ile Muku na yule aliyemuokoa na na lile shambulizi lilimnusuru roho yake ataingilia kati. Na haimaanishi kuwa hatujasema...
Back
Top Bottom