Watu wengi tunafurahia kujadiliwa kwa kesi ya Tundu Lissu Bunge la Ulaya, binafsi nafikiri ni hatua nzuri kwa ajili ya check and balance za uwajibikaji wa Serikali.
Ila taarifa hii kwa namna ilivyowasilishwa si kweli na imepotoshwa (nikimaanisha sehemu ya yale yaliyoripotiwa ni kweli na...
Salaam!
Kuna ule msemo usemao, nabii hakubaliki kwao, ni wa kweli kabisa,
Tuna kiongozi maarufu ndani na nje ya mipaka ya nchi, Tena umaarufu wake ni Katika kupigania haki na kudai mifumo imara ya uchaguzi Katika kuchagua na kuchaguliwa viongozi.
Imagine, bunge la ulaya kuweka muda special...
Fuatilia mjadala wa Bunge la Ulaya kuhusu sakata la Tundu Lissu unaoendelea mchana huu, Mei 7, 2025
Pia soma Pre GE2025 - Bunge la Ulaya kufanya kikao cha dharura Mei 7, 2025 kujadili suala la Tundu Lissu, baadae kupiga kura Mei 8, 2025
Bunge la Ulaya kwa kuzingatia Kanuni ya 150(5) ya Kanuni...
Wakuu heshima Yenu! Mwezi uliopita niliandika thread yenye mambo Saba ambayo yatatokea kabla ya UCHAGUZI MKUU.
Jambo mojawapo ni kwamba TUNDU LISSU atatolewa kabla ya mwezi wa sita na Kundi la G-55 kuhama chama.
Leo hatimaye G-55 wameanza kuhama Chama na anayesubiriwa ni main character wao...
Siwezi kuamini kama G-55, ndiyo wameondoka mazima hapana, G55 ipo mapumzikoni bila kupoteza status ya Chadema, wanangoja, wanasubiri anguko kuu, ukizingatia CHADEMA haiwezi kushiriki uchaguzi kwa namna yoyote Ile, I thought very soon itakuwa ban away, kufanya kampeni kwa chama ambacho...
Salaam!
Kwa kuwa Mahakama imeona ni vyema mtuhumiwa wa kesi ya uhaini inayomkabili Tundu lissu isikilizwe mahali pa wazi na umma wa watanzania umeruhusiwa kuhudhuria,
Na kwa kuwa uhaini ni jambo baya, ungetumika uwanja ule wa uhuru Ili wananchi wahudhurie na kujua uhaini ni nini Ili waogope...
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu imeendelea tena leo, Jumanne Mei 06.2025 kwa ajili ya kutajwa
Akizungumza mbele ya Mahakama katika kesi hiyo inayoendelea kwa njia ya mtandao Wakili wa Serikali Mwandamizi Tawabu Yahya...
Mtu anaweza kufunga kula chakula kwa mwaka mmoja na akabaki hai na salama. Mr Angus Barbiel, mwanaume wa Scotland, alifunga kula chakula (akiwa nyumbani kwake) kwa siku 382 kuanzia tarehe 14 June 1965 hadi tarehe 30 June 1966. Katika muda huo alikuwa anatumia tu maji, chai, kahawa na vitamins...
Njaa mbaya jamani, njaa ndio inayowafanya akina Heche wapande jukwaani kulalamika maisha magumu, ile ni njaa.
Wakati Lissu anakamatwa tuliambiwa kuwa wasaidizi wake walikimbia haraka nyumbani kwake kwenda kuvunja mlango wamchukulie dawa zake anazotumia, kwahiyo Lissu anatumia dawa kutokana na...
Ndugu zangu Watanzania,
Nimesoma na kuusoma Ujumbe Unaodaiwa kutoka kwa Tundu Lissu,Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ambaye yupo Ukonga Gerezani ambako anaendelea kushikiliwa kwa Makosa ya Uhaini yanayomkabili.
Ambapo katika ujumbe wake huo pamoja na Mambo mengine aliyoyaelezea ,Amesema ya Kuwa...
Tanzania hatujui kudai haki zetu wala haki zenyewe hatuzijui. Kama Gen Z tu walizuia mswada usisainiwe na rais je ingekuwaje raila angewekwa mahabusu?
Tanzania ni wajinga wote na nadhani kitendo cha CCM kutupa hiinelimi ya madesa vyuoni basi waliua kila kitu.
Leo May 3, 2025, Tundu Lissu ametuma barua ya wazi kwa watanzania akiwa kolokoloni gereza la ukonga.
Barua hii imechapishwa na Maria Sarungi kupitia mtandao wa X kama ifuatavyo,
Barua rasmi ya Lissu kwetu sote! Alituma kwa Kiingereza neno kwa neno kupitia mtu aliyenifikishia na nimeweka hapa...
Leo Mei 3, Mawakili wanaomtetea mshtakiwa Tundu Lissu wanazungumza na Watanzania kupitia vyombo vya habari.
https://www.youtube.com/live/qwDj_39LjYk?si=p81m5_E7ICnpOth1
Kibatala: Intelijensia inayotumika kuthibiti maandamano ingetumika kuepusha kushambuliwa kwa Padre.Kitima na Mdude...
TISS nawaagiza acheni mzaha na ulinzi na usalama wa watu potential nchii hii itaangukia kwenye machafuko!!
Mlindeni Tundu Lissu ikiwezekana kwa Sasa awe anaonana na ndugu tu na sio mtu mwingine pale gerezani.
Watu watasimama kuhesabiwa acheni kucheza na usalama wa Taifa.
Hawa washamba wa...
Sina mengi ya kusema ila ukweli ndio huo na hii ni kazi ya Mungu (NATURE).
Angebki uraiani, ingekuwa ni hatari zaidi kwake . Kwahiyo, NATURE imemtafutia sehemu salama ingawa tunaona kama anateseka.
Pia, kuwepo kwake ndani, kunachochea hamasa ya mabadiliko.
Kwa kifupi, yuko jela kwasababu kuu...
Aisee ngoja tukumbushane akili hapa, maana kuna vitu vinaenda kama sinema, lakini maisha si movie—ni real life.
Hebu tujiulize kwa akili straight up:
Tundu Lissu yuko gerezani – but for real tho, what he really do? Ni kosa gani halali ambalo lina-weight ya kumuweka ndani? Sheria gani haswa...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Mahakama ya Tanzania litaendelea kuwawezesha Wafungwa na Mahabusu kusikiliza mashauri yao wakiwa magerezani kupitia Mahakama Mtandao, hasa kunapokuwepo na viashiria vya matishio ya kiusalama...
Baba wabariki watumishi wako wafanye kazi pamoja na wewe.
Sisi Watanzania tunasubiri Baraka zetu kutoka kwako.
Kisa cha Samsoni kwenda kuoa Mke kwa Wafilisti Wazazi wa Samsoni Mzee Manoa walishangaa sana. Walidhani Mtoto wao wa Kiume amechanganhikiwa kwenda kuoa kwa Watesi wao.
Lakini jambo...
Wanabodi,
Naamini kwamba msimamo wa mahakama kuhusu kesi ya Tundu Lissu ndio utakao tufahamisha kama kweli hana hatia.Ushahidi wa kutosha kutoka upande wa serikali ndio unaoweza kumshawishi hakimu kutoa adhabu ya kifo kwenye kesi hii ya uhaini.
Mwanasheria yeyote mwenye nafasi ya kumtetea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.