Binafsi nimekuwa kwenye tafakuri kuhusu maisha, nimewaza haya..
Kuna watu Mungu kawapa mioyo ya huruma kiasi kwamba yupo tayari kubeba adhabu ya Mtu au watu wengne, na kuwaokoa awapendao
Tundu Lissu anaipenda Nchi yake, tena sana.
Upendo uwo hauelezeki,
Katika biblia, Mfalme Daudi alipoona...