tundu lissu

  1. Yoda

    Kuna mtu jasiri zaidi ya Tundu Lissu amewahi kutokea Tanzania?

    Uwe unazikubali au hauzikubali harakati zake za siasa bila shaka jambo moja ambalo wote tunakubaliana nalo kwa wanaompenda jacket kumchukuia Tundu Antipas Lissu ni ujasiri wake ulioptiliza viwango. Mpaka sasa katika historia ya Tanganyika na Tanzania sijawahi kuona mtu mwenye ujasiri kumzidi...
  2. The Palm Beach

    Alute Lissu (kaka yake Lissu) afafanua kwa urefu mashahidi watakaoitwa kuthibitisha uhaini wa mdogo wake

    https://youtu.be/YBiutTrtOI8?si=LgCCf10nAs7I_Yse Mashahidi hao watatu ni: =============================================== "DEATH ROW DIARIES” Ni title ya maelezo ya SC Tundu Antiphas Mughwai Lissu ambayo atayatoa katika committal proceedings Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam – Kisutu...
  3. R

    Video Tbt: Sugu akiwa bungeni akieleza sakata la wabunge upinzani (Tundu Lissu) kupigwa risasi kwa sababu ya hoja zao bungeni

    Wakuu, Nimekutana na hii video ya zamani Mbunge wa CHADEMA Sugu akieleza kile kilichotokea kwa Mbunge mwenzao Tundu Lissu kupigwa risasi akidai wakileta hoja wanatishiwa kupigwa risasi
  4. Idugunde

    Damu ya Tundu Lissu kuleta mabadiliko makubwa hapa Tanganyika

    Kila mtu anajua alishamwaga damu kwa kupigwa risasi zaidi ya 30. Leo hii kuna mpango anyongwe ... Damu ya Tundu Lissu italeta katiba mpya, italeta uhuru wa kisiasa na mabadiliko makubwa
  5. McLaren

    Mahakama yakataza rasmi Vyombo vya Habari kurusha live au kuripoti kesi ya Lissu

    Wakuu, Ni rasmi sasa hakuna updates zozote kuhusu hiyo kesi tutakuwa tunapata === "Pili uchezaji wa moja kwa moja au live streaming, utangazaji, usambazaji wa moja kwa moja mtandaoni au aina nyingine ya uenezaji wa moja kwa moja kwa umma yaani ukijumuisha mitandao ya kijamii au matangazo ya...
  6. J

    Mbowe kwenye Kesi ya Ugaidi alitetewa na Mawakili karibia 400 ila Tundu Lisu anajitetea Mwenyewe, Chadema ina Hazina ya Weledi!

    Kichwa cha Habari ndio Habari yenyewe Mawakili 400 hadi Bingwa kujitetea mwenyewe kama Mwana wa Adam mbele ya Pilato Ila Chadema 🐼
  7. Kimbesa11

    Kesi ya Tundu Lissu itumike kutufundisha kuwa Amani ya Taifa letu haichezewi, waasisi wa Taifa letu wameturithisha amani tuitunze na kuilinda

    Ndugu Watanzania wenzangu, linapokuja swala la Amani ya Taifa letu tusichukulie poa, tuwakemee watu wote wenye vimelea vya kuleta vurugu nchini mwetu, hii amani tuliyo ni utajiri tosha, tuepuke upotoshaji. Waasisi wetu walituachia amani, tuendelee kuilinda kwa uzalendo mkubwa, navipongeza...
  8. Fanfa

    Ushauri: Tundu Lissu gomea hiyo kesi ya mchongo ili waendelee na maamuzi yao ya mchongo

    Tundu Lissu nakushauri ugomee hiyo kesi ya mchongo yenye mashahidi wa mchongo. Fanya yafuatayo: 1. Kataa usijitetee, hata kama watakupeleka kizimbani kaa kimya. 2. Waelekeze mawakili wako wasikutetetee hiyo kesi. 3. Waache mawakili wa serikali na Jaji waamue wanachotaka. Fanya mambo haya matatu...
  9. J

    Hii kesi ya Tundu Lissu itakuwa ya 3 kwa kuvuta hisia za Watu baada ya ile ya Mamwindi ile ya Hanspope Mhaya Uncle Tom

    Kwa namna ilipofikia japo Inawezekana kuishia katikati lakini imeshavuta hisia za Watu wengi sana hadi Kenya na Uganda Tuko hapa na Mzee Mgaya tumejikuta Tunakumbushana Kesi za wale Wanyalu Mamwindi na 1980s ya hawa Wanyalu wagiriki akina Hans Pope kwa namna zilivyomkasirisha mwalimu Nyerere...
  10. tonicimmobility

    Ni nini uandhani kitaamuliwa leo Kisutu kwenye kesi ya Tundu Lissu

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inaendelea leo Agosti 18, 2025 ambapo Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga anatarajia kutoa amri kuhusu ombi na pingamizi la urushaji wa moja kwa moja wa mwenendo wa...
  11. upupu255

    POTOSHI Tundu Lissu ametinga mahakamani akiwa amevaa T-shirt ya 'Oktoba tunatiki'

  12. The Burning Spear

    Hiki ndo huwa kinapiga kelele kwenye kesi ya Lissu Mahakamani wakati anajitetea

    GT Pengine watu huwa mnajiuliza ni kitu gani huwa kinalia kama funguo wakati lisu anajitetea mahakamani pale anapogonga meza. Basi leo nawanyosha ni YESU mfufuka aliyewakomboa watu kwa damu yake katika msalaba mtakatifu na kupitia yeye dhambi zetu zitasemehewa.
  13. M

    Tundu Lissu, sauti ya ukombozi wa kweli wa Nchi hii

    Mimi naamini kuwa Tundu Lissu amebeba mikoba ya ukombozi kamili wa Nchi hii. Kutokana na imani hiyo, naamini pia kwamba ikiwa tutamwacha Tundu Lissu aendelee kupambana yeye mwenyewe kana kwamba anatafuta ukombozi wa familia yake tu, siku zinakuja Mungu atatupeleka utumwani. Utumwa huo...
  14. Mwande na Mndewa

    Nani adui wa CHADEMA - Freeman Mbowe au Tundu Lissu!?

    Kwa kauli hizi mbili tutajua tu nani ni adui wa Chadema,tulisikia mengi mara Magufuli kaiua Chadema,mara Magufuli kamteka Saanane,mara Magufuli kampiga risasi Tundu Lissu,sasa kwa kauli hizi ebu tafakari,nani ni adui wa Chadema!? Mbowe "Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo...
  15. Carlos The Jackal

    Sauti ya MTU, na Jinsi anavyoongea, inamchango mkubwa katika Kukubalika kwake Kwa Wasikilizaji wake !!

    MTU anaweza kua ana Elimu Kubwa ,ila Sauti yake, na jinsi anavyoongea, anakoswa mvuto , ushawishi kwa Wanaomsikiliza. Kwa mfano. SIGRADA huyu alohamia CHAUMMA, huyu Sauti yake ukimsikiliza ni kelele tupu ,Haina mvuto,Hana ushawishi wa kukufanya uendelee kumsikiliza. ROSE MAYAMBA , huyu...
  16. tonicimmobility

    Wakuu mumemskia Mwakinyo kuhusu Lissu?

    Champezi Hassan Mwakinyo Umegusia jambo muhimu sana katika harakati; Tundu A.M Lissu kujitetea Mahakamani katika mashtaka ya uhaini, wakati huo; Tundu Lissu anafundisha jumuiya yote kuanzia Mahakama, Wanasheria, watazamaji jinsi ambavyo sheria inaelekeza. Nelson Mandela alitumia dakika 180...
  17. J

    Natamani kuona Rais Samia akinywa juisi Ikulu na Tundu Lissu

    Lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja. Nasema hivi; natamani kuona siku moja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani, anakunywa juisi Ikulu na Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ambaye yuko gerezani akishtakiwa kwa Kesi ya Uhaini na Uchochezi. Hili halitakuwa jambo...
  18. Ex Spy

    Rostam Aziz ni mwanahisa mkubwa katika Kampuni iliyotajwa na Tundu Lissu kabla hajakamatwa!

    The Ngaka Coal Mine /Tundu Lissu's Arrest The Ngaka Coal Mine, located in Mbinga District, Ruvuma Region, is the same mine that opposition leader Tundu Lissu was speaking about shortly before his arrest. In 2011, the Government of Tanzania entered into a Public–Private Partnership (PPP) with...
  19. Idugunde

    Ijengwe minara minne yenye sanamu ya Tundu Lissu ili iwe kumbukumbu ya shujaa aliyepigania mabadiliko yenye manufaa kwa taifa lake

    Minara hii iwekwe kwenye bustani za kitaifa. Huko Mwanza, Dodoma, Dar na Arusha. Anachopigania Lissu sio kwa ajili ya tumbo lake ni kwa manufaa ya taifa zima la Tanganyika
  20. THE BIG SHOW

    Alipopigwa risasi walishangilia,eti leo wanasema wana huruma juu yake wanashikiza atolewe jela

    Friends and Our Enemies, Kila anaekuja hivi sasa mtaji wake umegeuka ni Tundu lisu,mara wengine utaskia utekaji... Wanakuja sasa na vitisho mara usipofanya hivi tutafanya hivi,mara kanisa litasismama kufanya maombi ya novena na hapo hapo wanatabiria wenzao vifo. Hii Nchi inaongozwa kwa katiba...
Back
Top Bottom