tulia ackson

Dr. Tulia Ackson (born November 23, 1976) is the Speaker of the National Assembly of Tanzania, in office since 2022. She was appointed as a Member of Parliament by President John Magufuli.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    GE2025 Dkt Tulia: Tutaleta Lami Iduda, hii ndio ilani ya CCM

    Mgombea ubunge wa jimbo jipya la Uyole, jijini Mbeya, Dkt Tulia Ackson, amewaondoa hofu wananchi wa kata ya Iduda, kuwa ilani ya chama cha mapinduzi inaeleza namna itakavyo boresha miundombinu ya barabara inayounganisha kata hiyo na Mbeya vijijini hadi Rungwe ambayo imekua shida kwa wakazi wa...
  2. PAYE

    GE2025 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya kugombea Jimbo jipya la Uyole

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackon, leo tarehe 25 Agosti 2025, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya wananchi wa jimbo jipya la Uyole katika Uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Dkt. Tulia amechukua fomu hiyo katika ofisi za tume huru ya Uchaguzi zilizopo katika...
  3. Common Folk

    Martin M. Masese amkosoa Tulia Ackson baada ya kusema "I Hate Death"

    RANGO! You hate death wapi weweeee.. watu wengi wanatekwa na kupotezwa kila uchwao, huumizwi. Mzee Kibao alitekwa na kuuwawa, hukusikitika. Uliishia kukejeli. You hate death wakati ulizuia hoja ya utekaji kujadiliwa? Mdude ambaye alitekwa jimbo kwako, hujawahi hata kutoa pole. Unaumizwa na...
  4. Roving Journalist

    Dkt. Tulia Ackson aitaka Dunia kukabiliana na vikwazo vinavyowakwamisha Wanawake

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, ameongoza majadiliano muhimu yaliyoandaliwa na UN Women kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, yaliyolenga kutafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto zinazowakabili wanawake na...
  5. Roving Journalist

    Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson afungua kikao cha Jukwa ala Kibunge UN

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, tarehe 22 Julai 2025, amefungua rasmi Kikao cha Jukwaa la Kibunge katika Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Umoja wa Mataifa wa Mwaka 2025 kuhusu Maendeleo Endelevu (Parliamentary Forum at the...
  6. S

    Baada ya Bunge la Tulia Ackson kushindwa kujadili vitendo vya utekaji na watu kupotea, Mbunge yeyote ambae angejiuzulu, angejingea heshima kubwa sana

    Huu ndio ukweli ila hakuna aliejiuzulu kwasababu hawajakomaa kisiasa, siasa imekuwa biashara, hawakuandiwa kwa viongozi, hawasomi historia na zaidi wametawaliwa na tamaa ya fedha na madaraka na ndio maana hakuna hata mmoja alieona thamani ya kujiuzulu ubunge na kukataa kuwa sehemu ya Bunge...
  7. McLaren

    PreGE2025 Hivi jimbo la Mbeya Mjini kuna siri gani? So far kuna makada 5 wamejitokeza kuchukua fomu

    Wakuu, Kwa sasa jimbo hilo halina Mbunge baada ya aliyekuwapo Dk Tulia Ackson kutangaza kugombea Jimbo jipya la Uyole katika uchaguzi mkuu ujao. Mpaka sasa makada watano wa CCM, wametia nia kulitaka jimbo hilo wakiwa ni Nsomba, Mwandishi wa Habari, Charles Mwakipesile, aliyewahi kuwa...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Dk. Tulia Ackson achukua fomu ya ubunge Jimbo la Uyole

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge katika Jimbo jipya la Uyole, mkoani Mbeya. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi...
  9. W

    PreGE2025 Wananchi Uyole wamchukulia fomu Dkt. Tulia Ackson kugombea Ubunge

    Wananchi wa Jimbo la Uyole Mkoani Mbeya wamemchukulia fomu ya kuwania Ubunge Dkt. Tulia Ackson katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2025 hapa nchini. Akizungumza baada ya kuchukua fomu hiyo kwa niaba ya wananchi wa Jimbo la Uyole Adil Mwansepele amesema kilichowasukuma...
  10. Lord Denning

    Tungekuwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam serious, Muda huu Tulia Ackson angenyang'anywa Degree yake ya Sheria

    Kwa Wanasheria na Mawakili, Moja ya kosa kubwa kabisa linaloweza kukufanya uzuiwe kuendelea kufanya kazi za Uwakili ni pale unapothibitika kufanya kosa la kitaaluma yaaani professional misconduct. Katika sekta ya Sheria Proffesional Misconduct ya juu kabisa ni kudharau Mahakama. Ikiwemo...
  11. Waufukweni

    Spika Dkt. Tulia ashangazwa na wanaosherehekea uamuzi wa Mahakama viongozi kushtakiwa

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson amesema ni muhimu wananchi na viongozi waelewe majukumu ya mihimili ya dola na kuheshimu mipaka yake, ili kulinda utawala wa sheria na demokrasia ya kweli. Akizungumza leo Jumapili Juni 15, 2025 Ikulu jijini Dodoma katika hafla...
  12. S

    Tulia Ackson na uspika wake lakini bado anaheshimu ndoa yake. Wapo wanawake wengi sana ambao mafanikio kiduchu tu wanadharu waume zao

    Kuna la kujifunza kwa Tulia Ackson Mwansasu kwa jinsi lvyoweza kujinyenuekeza kwa mumewe pamoja na cheo chake kuwa kikubwa. Kuna hawa mburukenge wa kitaa ambao mafanikio kiduchu tu yanawafanya kugeuka kuwa kunguru. *Mwanamke kapata ubunge tu, tayari anaanza jeuri. Mfano Jesca Kishoa alikuwa...
  13. Waufukweni

    PreGE2025 Dkt Tulia: Tuombee uchaguzi, viongozi wapatikane kwa haki

    Spika wa Bunge na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson ametumia mazishi ya aliyekuwa Askofu Mkuu wa kwanza wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Askofu Immanuel Lazaro kuwataka Watanzania kuliombea Taifa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu ili viongozi wapatikane kwa...
  14. Lord Denning

    Tunaposema Tulia Ackson Mwansasu hafai sio tu kuwa Spika wa Bunge bali hata Daktari wa Philosophia kwenye Sheria tueleweni jamani.

    Wiki chache zilizopita Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson akihojiwa na television ya Wasafi alitetea kitendo chake cha kuvunja Katiba kwa kuruhusu Wabunge 19 waliofukuzwa na Chadema kuendelea kuwa wabunge bila kuwa na Chama bungeni huku wakilipwa mamilioni ya fedha...
  15. Cute Wife

    PreGE2025 Sheikh Ponda: Inakatisha tamaa mtu kama Spika wa Bunge anapoelezwa kuhusu taarifa za utekaji anakanusha kuwa si sahihi

    Wakuu, Sheikh Ponda ametema cheche jinsi Spika Tulia alivyozingua na kucheza na maisha ya Watanzania kana kwamba matukio haya hayatokei na watu hawatekwei. ==== Sheikh Ponda amesema; "Namkumbusha Tulia Utekaji sio suala la kisiasa au la kubabaisha, ni suala linalohusu uhai wa watu. Ni suala...
  16. Mr Why

    PreGE2025 Spika Dkt. Tulia: Huwezi kusema mtu katekwa kama hukuona

    Majibu fikirishi kutoka kwa Mh Tulia Ackson kuhusiana na kupotea kwa Mh Mdude Nyangal, mwanachama wa CHADEMA Spika na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Tulia Ackson akifafanua hoja ya Bunge kutotoa maelekezo kuhusu uwepo wa matukio ya Watu kudaiwa kutekwa na wengine kupotea Nchini, amesema hiyo...
  17. Uzalendo Club Tanzania

    Klabu ya Uzalendo Wilaya ya Kibaha ilipata fursa ya kukutana na kufanya mazungumzo Ndugu Salim Kikeke

    TAREHE 2 MEI, 2025 | KIBAHA Kwa heshima kubwa, Klabu ya Uzalendo Wilaya ya Kibaha ilipata fursa adhimu ya kukutana na kufanya mazungumzo na Mtangazaji Kinara Mstaafu wa BBC na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Crown Media, Ndugu Salim Kikeke. Katika mazungumzo hayo ya kihistoria, Mwenyekiti wa Klabu...
  18. Uzalendo Club Tanzania

    Mchakato wa uanzishaji wa Taasisi ya Uzalendo na Malezi Tanzania (TUMT)

    TAARIFA RASMI | MCHAKATO WA KUANZISHA TAASISI YA KITAIFA YA UZALENDO NA MALEZI TANZANIA (TUMT) Kwa mujibu wa haja ya dharura ya taifa katika kujenga msingi imara wa maadili, uzalendo wa kweli, na malezi chanya ya kizazi kijacho, Klabu ya Uzalendo Wilaya ya Kibaha imeanza rasmi mchakato wa...
  19. Mindyou

    PreGE2025 Tulia Ackson: Kwanini Ulaya waone Mahakama zetu hazina uwezo?

    Wakuu, Akiwa anazungumza kwenye kipindi cha Goodmorning cha Wasafi, Tulia Ackson amekosoa vikali azimio la Bunge la Ulaya kuhusu kutaka Serikali ya Tanzania imuachie Tundu Lissu "Baadhi ya sheria kama Uhaini, mapenzi ya jinsia moja yote yalianzishwa enzi za ukoloni, sasa hivi wamebadilisha...
  20. Waufukweni

    "Shemeji Bungeni!" Mume wa Spika Dkt. Tulia akitambulishwa, Sauti yasikika kwa mbwembwe

    Wakuu! Huko Bungeni wakati anatambuliswa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Dkt. James Andilile Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika Dkt. Tulia Ackson kuna sauti imesikika ikisema ''Shemeji''
Back
Top Bottom