tozo

Basconcillos del Tozo is a municipality and town located in the province of Burgos, Castile and León, Spain. According to the 2004 census (INE), the municipality has a population of 371 inhabitants.
The municipality of Basconcillos del Tozo is made up of twelve towns: Basconcillos del Tozo (seat or capital), Arcellares, Barrio Panizares, Fuente úrbel, Hoyos del Tozo, La Piedra, La Rad, Prádanos del Tozo, San Mamés de Abar, Santa Cruz del Tozo, Talamillo del Tozo and Trasahedo.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania Serikali kuendelea kununua magari ya kifahari 'V8' huku ikitegemea kukusanya tozo ni kukosa uwajibikaji

    Kama kichwa cha mada kinavyoeleza hili liko wazi ni kukosa uwajibikaji kwa wananchi. Kama hali imekuwa ngumu hadi kulazimika kuwakamua wananchi tozo hii ingeonekana pia kwa serikali kubana matumizi yasiyo na tija ikiwemo hii ya maafisa kutumia magari ya anasa ambayo yanatakiwa kugharamiwa na...
  2. Kwa msisi yetu

    JamiiForums Tanzania Kwa hizi tozo, siyo Mama Samia ni Rais Samia

    Wasomi: Tozo mpya ya benki ni batili, ifutwe SUNDAY AUGUST 21 2022 Summary Wasomi wa masuala ya kodi, wamesema kuwa Sheria ya Tozo ya Miamala ya Kielektroniki ya mwaka 2022, haikufanyiwa tathmini ya athari zake kwenye uchumi kuanzia kwa watu wa chini, hivyo inakwenda kinyume na misingi...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu: Utitiri wa TOZO, PAYE kubwa n.k, wa kulaumiwa ni sisi Watanzania wenyewe

    Sasa hivi mitandaoni ni kilio cha tozo na hii ni kwasababu tozo imetugusa wote na si kundi moja katika jamii, otherwise kilio kingekuwa si kikubwa kiasi hiki na huu ndio ujinga mkubwa wa sisi watanzania. Kwanini nasema hivi? Wakati wa Mwendazake, watumishi ambao walikuwa ni wafaidika wa Bodi...
  4. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    JamiiForums Tanzania Hivi hawakuangalia hili la tozo kwa wafanyakazi?

    Aliyeleta wazo la Tozo za Bank transfer alilenga kila mshahara wa watumishi wa serikali ukatwe kwa sababu mishahara yote inapita benki lakini kasahau kuwa mshahara huo huo umeshakatwa PaYE na kwa sheria za kikodi upaswi kufanya double taxation,Kama ikiendelea wafanyakazi mtaumia
  5. B

    JamiiForums Tanzania Tozo zinalemaza serikali kubuni miradi mipya

    Habari za muda huu Wana Jamvi, Kutokana na Hali hii inayo endelea ambapo Kila kunapo kuchwa serikali yetu inakuja na TOZO mpya za Kila kitu hii inapelekea serikali kuji sahau na kumuumiza mwananchi. Kwa Sasa siyo Tena makato ya simu Hadi tulipo kimbilia benk Hali ni hiyo hiyo Serikali...
  6. Msambichaka Mkinga

    JamiiForums Tanzania Tozo zinaweza kugeuka na kuwa wizi wa dola dhidi ya Wananchi

    Msingi wa kodi, tozo au ushuru ni mapato. Kutokana na mapato uliyoyaingiza, sehemu ya hayo mapato, wewe uliyeingiza unastahili kutoa sehemu ya hayo mapato kama kodi, ushuru, tozo au jina jingine lolote utakalopenda kuita lenye lengo la makato yanayyoenda kwenye mamlaka za serikali. Hii ni kanuni...
  7. Nobunaga

    JamiiForums Tanzania Tozo zinazidi kupalilia mmea uliopandwa kwenye mioyo ya watanzania katika awamu ya 5

    Kati ya nchi nyingi za Afrika, ni nchi chache sana ambazo wananchi wake wake walikuwa na ule uzalendo wa toka moyoni kabisa, ule uzalendo wa kikondoo wa kuambiwa chochote kile na kiongozi hata wa nyumba 10 na ukatekeleza kiroho safi. Haka ka kitu sijui nikaite ni uzalendo ama ni nini, sijui...
  8. Championship

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, Dkt. Mpango na Majaliwa hawalipi kodi wala tozo yoyote hapa nchini

    Rais, Makamu na Waziri Mkuu (among others) hawalipi kodi yoyote kwenye mishahara yao, akaunti zao benki hazina makato na hata laini zao za simu hazina tozo yoyote. Bado natafuta tafsiri sahihi ya uhujumu uchumi. Nitaendelea kusoma Ili nielewe.
  9. M

    JamiiForums Tanzania CCM, kula nyama choma sio kutatua kero za wananchi!

    Wananchi wanalia kwa ugumu wa maisham Huku mkiweka mitozo ya kila namna. Sasa kula nyama choma ndio suluhu! 👇
  10. N

    JamiiForums Tanzania Majizi yang’ara TAMISEMI ila tozo zitafidia

    Naam It' another day another dollar kwa wapigaji wa jamhuri ya Tozonia, mambo ni bull bull sana,lete maneno dj kama kuna zilizopigwa tutafidia na za tozo bwana weeee, tozo oyeee Gazeti la juni 2022 miezi miwili iliyopita wadanganyika washasahau kila kitu kimepita its business as usual majizi...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanaumizwa na tozo za kikatili na dhuluma

    Ulipe kodi kwenye kila bidhaa unayonunua- hiyo SAWA Ukatwe Kodi (PAYE) toka kwenye mshahara - Hiyo SAWA Hiyo hiyo pesa uliyonilipa mshahara na kodi yako umesha nikata, unaniwekea benki, nikienda kuichukua bado unaifata tena unaikata TOZO- HII SI SAWA. KUNA BIASHARA GANI AMBAYO IMETOA FAIDA...
  12. T

    JamiiForums Tanzania TOZO

    CCM mmesha kosa kura yangu kwa kutulimbikia matozo kwenye Kila kitu, huku sisi Wana Nchi wakawaida umaskini unatutafuna. Aliye buni hii kitu ya tozo.Mungu atamlipa.
  13. init

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wizara ya fedha na mipango haijitoshelezi.

    Yaliyo fanyika hivi karibuni; 1. Kuanzishwa kwa tozo katika miamala ya simu za mkononi. 2. Kuanzishwa kwa government levy katika miamala ya kibenki. Yangeli tosha kabisa kumtathmini Mh Mwiguru ikiwa anamudu, kwani ameonekana kuishi katika machaguo duni siku zote. Miongoni mwa mafanikio yaliyo...
  14. 2019

    JamiiForums Tanzania Kwanini serikali inapunguza tozo za miamala wakati tumeshazizoea?☹️☹️

    Nasikitika sana kuona punguzo la tozo kwenye miamala ya simu. Hii tozo tuna mwaka mmoja naa... Tumekomaa nazo na maisha yanasonga. Burundi hatujaenda na kwa sasa tunazimudu kwanini serikali inazipunguza? Wote tumeona faida ya tozo,au miradiya tozo imekamilika? Kwa sasa eti ukitoa 100k unakatwa...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Kodi na Tozo nyingi kwa Nchi kama Tanzania ni kipimo tosha kuwa viongozi waliopo hawatufai

    Habari JF , Hivi unamkamuaje wananchi kwa Tozo na kodi lukuki katika Nchi ambayo ina Eneo kubwa la kilimo na Uwekezaji, Madini ya kila aina, Gesi, Vivutio vya Utalii vingi na vitu vingi ambavyo serikali ingetumia kuingizia Mapato? Ni kwamba viongozi tulionao uwezo wao umeishia kwenye Tozo? Kwa...
  16. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania Tozo, Miamala, Kikokotoo - Tanzania tuna Wanasheria Wasomi?

    JF team, SALAAM! Nimeona hivi karibuni Serikali ikipitisha vitu vingi ambavyo ni mzigo kwa watanzania (matajiri kwa maskini). Nimejiuliza sana kwa hakika upitishaji wa vitu vya hovyo umeshamili sana. = Kikokotoo kimepitishwa lkn watendewa ni pamoja na wabobezi wa masuala ya Sheria - hapa...
  17. N

    JamiiForums Tanzania Kigwangala awatolea uvivu walalamikia tozo wanaoonea wivu Mawaziri

    Ila huyu jamaa ni kichwa sana, mama akimrudisha kwenye uwaziri halafu akaunganika na makamba, Nape, mwigulu itakuwa combination ya hatari sana, Tanzania tuna bahati sana kwa kweli kuna nchi zinatamani hawa vijana waende kuwatawala ila sisi kila siku tunawalaumu tu
  18. N

    JamiiForums Tanzania Wananchi wengi wanaunga mkono tozo, maneno ya maadui na vibaraka wa mabeberu yapuuzwe

    Baada ya kuona nchi inapiga hatua kwa kasi chini ya Rais mpendwa wa awamu ya sita, madaui wa taifa kupitia vibaraka wao wameibuka kwa kasi sana Mama hata halali kabisa akiwaza jinsi ya kuwaletea maendeleo hili lilithibitishwa na Gerson Msigwa lakini bado kuna wajinga wanalalamika tu Tozo...
  19. N

    JamiiForums Tanzania Misamaha ya kodi na punguzo la tozo katika miamala

    Serikali katika Mwaka mpya wa Fedha 2022/23 imeanza kutekeleza punguzo la tozo katika miamala ya simu katika kutuma na kupokea fedha kwa 43%. (Tozo ya juu kabisa itapungua Kwa kutambua ukuaji wa sekta ya Sanaa na kujiajiri kwa vijana, serikali inatekeleza suala la punguzo la kodi(with holding...
  20. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Kilio Miamala ya Benki chatikisa nchi

    Tozo zilizoanza kukatwa kwenye miamala ya kifedha kupitia benki zimetajwa kuongeza makali ya ugumu wa maisha kwa watumiaji wa huduma husika. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba kupitia gazeti la Serikali No.478 lililochapishwa Julai Mosi mwaka huu, alitangaza kuanza utekelezaji wa kodi ya...
Back
Top Bottom