toyota

  1. Natafuta Toyota IST ya kununua

    Habari wakuu. Mwenye gari IST anaye uza tafadhari tuwasiliane.
  2. Car4Sale Toyota Kluger for sale

    TOYOTA KLUGER Mil 20.5 NATOA BOX 5 INA SUNROOF MODEL ENGINE 2AZ CC 2360 KM.91930 FULL DOCUMENTS NEW TIRES COLOR BLACK LOCATION DAR ES SALAAM 0714787795
  3. L

    Car4Sale Tunauza Magari aina mbalimbali

    Gari aina ya IST new model cc:1500,year of manufacture 2015, ipo vizuri sana Karibu wateja Wetu wa MR classic tuwasiliane kwa nambari 0695022051
  4. Msaada Tafadhali: AC ya Toyota Alphard kupiga kelele

    Nimetembelea mkoa wa Mtwara, nikiwa na gari aina ya Toyota Alphard. Changamoto inayonileta mbele yenu ni kwamba AC inapiga sana kelele kiasi kwamba huwezi kuvumilia. Naomba msaada nijulishwe tatizo, ili nikienda kwa fundi asinibabaishe na kuni over charge.
  5. J

    Toyota Landcruiser hardtop ya mwaka 2015 inauzwa

    👉2015 TOYOTA LANDCRUISER HARDTOP 🚂ENGINE TYPE:-1HZ DIESEL 🦜BEI 140 MILLIONI 👉IMETEMBEA=80,000 KM 👉GARI ILINUNULIWA MPYAA ZERO KM 👉LOCATION:-DODOMA 👉TUWASILIANE 📞 +255622599002 DODOMA
  6. Nissan TIIDA namba EFU

    Habari za uzima? Nissan TIDA NAMBA EFU MILIONI 16 Gari bado ni mpya kabisa. Kwa mawasiliano zaidi karibu PM.
  7. M

    Car4Sale Toyota Raum old inauzwa 8ml

    Nauza Toyota Raum old kwa 8ml. Gari liko Tabata liko vizuri sana mkoa nia ujaza full tank zako nakutembea. Mawasiliano 0758 350 943
  8. Msaada jamani hizi gari 3 Mazda CX5, Mitsubish Outlander SportsstyleEditon, Toyota Vanguard

    Naombeni msaada mwenye uzoefu au ufahamu wa hayo magari matatu lipi ni bora katika vipengele vya 1. Utumiaji mafuta 2. uimara 3. Speed 4. Kupatikana vipuri 5. Ukisasa zaidi 6. Mwonekano mzuri. 7. Bei zake sokoni Zote zikiwa za mwaka unaofanana au kutofautiana kidogo tu.
  9. R

    Natafuta Toyota Landcruiser - Bajeti milioni 40

    Habari wakuu.. Natafuta Toyota landcruiser station wagon au pickup kwa ajili ya kuifanyia conversion kuwa safari car ya kubeba watalii. Tuma picha za nje, ndani na engine pamoja na details za gari kwa whatsapp 0656388678. Iwe model ya kuanzia mwaka 2000 na kuendelea. Bei isizidi milioni 40...
  10. Nichukue gari ipi kati ya Toyota Voltz, Harrier, Rav 4 old na Premio?

    Habari zenu wakuu Nmejichanga changa nikapata milion 12 za kuvuta kausafiri, nategemea kuvuta kutoka mkononi mwa mtu. Sina hela yakuongezea kuagiza gari mpya sina uwezo huo. ili niondokane na kero za usafiri wetu wa Dar es Salaam wa daladala. Naomba mnishauri kati ya gari hizi ipi itanifaa...
  11. Toyota yasaini makubaliano ya Kuunda Magari yake nchini Kenya

    Kenya na Toyota Tsusho Corporation ya Japani wametia saini makubaliano ya mfumo wa ushirikiano katika utengenezaji wa magari na maendeleo ya nishati mbadala. Makubaliano hayo yatawezesha Toyota kuanzisha kiwanda cha kutengeneza magari nchini. kampuni imefanya uwekezaji wa awali wa Kshs 800...
  12. Msaada: Fuel gauge na Consumption ya Toyota Premio

    Wakuu kwema? Siku ya Jumamosi nilisafiri na gari yangu Toyota Premio F(1490cc) kutoka Arusha kuja Dar es Salaam. Ilikuwa ndo mara ya kwanza kusafiri safari ndefu kwa kutumia hii gari kwa hiyo nilitaka kujua pia consumption yake ya mafuta highway iko vipi. Siku ya Ijumaa niliweka full tank na...
  13. DOKEZO Waziri wa Madini gari hii Toyota Land cruiser STK 327 inatumika vibaya kuokota Rushwa na kuwanyanyasa wachimbaji wadogo Chunya

    Leo ninatuma namba ya gari nikijiamini kuwa gari hiyo inamilikiwa na Tume ya madini. Huko gari liliko Kila siku linatumika kukusanya rushwa na kusumbua wachimbaji wadogo. Gari Hilo linafanya ukusanyaji wa rushwa usiku na mchana, siku za kazi na siku za sikukuu. Bosi wa Tume ya madini Chunya...
  14. Car4Sale Toyota Hiace inauzwa 10M tu

    Nauza Toyota Hiace inapiga Daladala Mwanza, bei milioni 10 tu, maongezi yapo. Mawasiliano 0753311398
  15. N

    Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Toyota Allion

    Anayeijua sifa ya hii gari wakubwa kuna mtu anaiuza nawaza kuinunua. Toyota Allion
  16. Car4Sale Toyota starlet inauzwa

    Toyota starlet inauzwa Bei million 4.3 Cc 1300 Gari ni nzuri Full ac Ipo dar es salaam 0784020604
  17. Naomba kujua Jinsi Toyota Alphard Hybrid inavyofanya kazi na Ubora wake

    1. Je, ni full hybrid? 2. Inaweza kutembea kwa betri engine ikiwa iimezima. 3. Fuel conception ikoje.
  18. Engine ya Toyota inayoweza kuvaa kwenye TATA PICK-UP

    Waungwana habari zenu. Naombeni ushauri,nina gari yangu TATA XENON DICOR 3.0L. Nahitaji kuibali Engine niweke injini ya Toyota. Je niweke injini gani inaweza kuwa poa.?
  19. Madiwani nao wanunuliwe Toyota Land cruiser LC300

    Kama ilivyo Kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, Majenerali wastaafu, mwenezi na Wakuu wa Mikoa. Madiwani nao wanastahili vyombo vya usafiri vyenye hadhi. NB: hizi gari zitarahisisha kumtembelea miradi ya maendeleo Kama ilivyoainishwa kwenye ilani
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…