vumiliag
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 375
- 700
Habari zenu wakuu
Nmejichanga changa nikapata milion 12 za kuvuta kausafiri, nategemea kuvuta kutoka mkononi mwa mtu. Sina hela yakuongezea kuagiza gari mpya sina uwezo huo.
ili niondokane na kero za usafiri wetu wa Dar es Salaam wa daladala.
Naomba mnishauri kati ya gari hizi ipi itanifaa.
Toyota voltz
Rav 4 old model (hii siipendi kivile)
Premio ya cc 1490
Harrier yenye engine ya 5s
Nataka kujua unafuu wa gharama za service na bei ya vipuli, yaani gari ipi kati ya hizo vipuli vyake si vya bei ghali
Katika gari hizo nilizotaja nimependa sana muundo wa toyota voltz (nahitaji kuijua zaidi hii gari.
NOTE: Nakaa sehem yenye njia mbovu mvua ikinyesha ni mtihan kupita.
Nikifanikiwa nitaleta mrejesho.
Nmejichanga changa nikapata milion 12 za kuvuta kausafiri, nategemea kuvuta kutoka mkononi mwa mtu. Sina hela yakuongezea kuagiza gari mpya sina uwezo huo.
ili niondokane na kero za usafiri wetu wa Dar es Salaam wa daladala.
Naomba mnishauri kati ya gari hizi ipi itanifaa.
Toyota voltz
Rav 4 old model (hii siipendi kivile)
Premio ya cc 1490
Harrier yenye engine ya 5s
Nataka kujua unafuu wa gharama za service na bei ya vipuli, yaani gari ipi kati ya hizo vipuli vyake si vya bei ghali
Katika gari hizo nilizotaja nimependa sana muundo wa toyota voltz (nahitaji kuijua zaidi hii gari.
NOTE: Nakaa sehem yenye njia mbovu mvua ikinyesha ni mtihan kupita.
Nikifanikiwa nitaleta mrejesho.