. Hebu angalieni hii picha, lakini msiishie kuiangalia, itazameni na mnapoitazama, itazameni kwa makini.
Kisha tafakari ujumbe ufuatao👇👇👇
Hivi unajua kwamba kila mmoja wetu hapa duniani amefanikiwa?
Yaani hakuna mtu duni, maskini, fukara, boya, lofa wala kenge.
Uduni, umaskini na ufukara...