tff

TFF 2. Lig (Turkish Football Federation Second League) or TFF 2. Lig (in Turkish), is the third level in the Turkish football league system. It was founded in the 2001–02 season with the name of Turkish Second League Category B as a continuation of the then second level division. In the 2005–06 season the name of the league was changed to Lig B. Since the 2007–08 season the league's current name is used along with sponsor names.
Turkish Second Football League (in Turkish: Türkiye İkinci Futbol Ligi or shortly İkinci Lig or 2. Lig) is a defunct football league in Turkey. It was the second level division in Turkish football since its foundation in 1963–64 until the formation of the new league system in 2001–02. The Second Football League was divided into two categories in the 2001–02 season: Category A and Category B. Since 2007–08 Category A has continued as the TFF First League and Category B has continued as the TFF Second League.

View More On Wikipedia.org
  1. kavulata

    Simba wana TFF Yanga wana Mungu, wote sare

    Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae hajui kwamba TFF na Bodi ya ligi wana upogo kwenye kupanga ratiba za mechi, waamuzi na adhabu mbalimbali. Upogo wao huu haupangui matokeo ya ligi badala yake unazidi kuidhoofisha timu yao.
  2. Pdidy

    Kama CAF wametoa kituko cha mwaka basi TFF wapeni Simba goli lao na Dube goli lake mtupe matokeo

    Jana nimecheka cheko la mwaka, hakuna kituko. Cheko la mwaka kama cha CAF na Morocco wake. Sisi Simba tunaomba tupewe goli letu. Yanga nao wanataka goli lao, hahaha. cc TFF Rushwa adui wa Haki mpaka michezo aiseee
  3. kavulata

    TFF tofautisheni ligi yetu na zile za Ulaya kwa mengi, mazingira ni tofauti

    Masaa 72 ya Ulaya na masaa 72 ya Tanzania ni tofauti kabisa. Think globally Act locally. Masaa 72 ya kucheza baina ya mechi yamezingatia vitu mbalimbali ambavyo Tanzania havipo. Baadhi ya vitu hivyo ni pamoja na: 1. Ubora wa viwanja vyao: Wachezaji hawaumii sana mara kwa mara kwasababu za...
  4. Mshana Jr

    Wakati Trump wa TFF "akiahidiwa" utekaji basi.. Kaka yake Polepole anusurika kutekwa Sweden

    Baada ya siku kadhaa za kimya cha TFF, Juzi kiongozi wa kundi hilo Bwana Trump aliibuka na ujumbe wenye mashaka mengi.. Nitaweka video hapo chini Mashaka hayo yaliyojaa maswali mengi tatanishi kama si kinzani yapo mpaka kwenye taswira yake na body language yake Kwenye video hiyo anadai...
  5. Mkalukungone Mwamba

    TFF sio kundi la kigaidi kama wanavyosema polisi bali ni kundi la Watanganyika wazalendo. Ushindi upo karibu

    Moja ya kiongozi wa Kundi la Tanzania Freedom Fighters(TFF) amefafanua na kueleza maana halisi ya kundi hili Amesema TFF ni kundi la wananchi wa Tanganyika Wazalendo na sio kundi la kigaidi au la uasi kama wanavyosema Jeshi la Polisi. Aidha amesema kindi hili limezaliwa baada yaliotokea Oktoba...
  6. R

    Wito wa dharura kwa Serikali: Mbinu pekee ya kupambana na TFF kisayansi bila kumwaga damu!

    1. Mpeni maiki mzee Warioba aitishe mchakato wa Katiba Mpya kuanzia Sasa, Lissu na Polepole wateuliwe Moja Kwa Moja kuwa wabunge wa mchakato wa Katiba Mpya, watoke huko walipo Hadi Bungeni. Wawekwe safe house chini ya uangalizi wa Serikali kwa usalama wao, wanafamilia pekee waruhusiwe kuwaona...
  7. Idugunde

    Hata Bokoharamu walianza kwa mzaa mzaa kama TFF. Uonevu huleta chuki katika jamii

    Hawa wanaojiita Tff unaweza kuwadharau. Kumbe uonevu umezalisha chuki
  8. Cute Wife

    PostGE2025 Kwa mara nyingine Polisi wakanusha matukio ya TFF, wasema hawajafanya uhalifu

    Wakuu, Naona Jeshi la Polisi linatumia nguvu sana kukanusha uwepo wa kundi hili la Tanzania Freedom Fighters badala ya kutuoneyesha wamefanya nini kuwakamata/kuwadhibiti na kurejesha 'amani' nchini. Ni kama vile wanajaribu kuficha kuliko kudili na tatizo! Baada ya ile clip ya kwanza kusema...
  9. Damaso

    Uamuzi wa TFF kutafuta kampuni moja ya Betting kwa ajili ya Derby ya Kariakoo ni Uamuzi wa Ovyo sana

    Ligi kubwa duniani kama English Premier League (EPL) na LaLiga hazijawahi kuogopa sekta ya betting wala kuweka wazi kuwa Shirikisho la soka la FA litatafuta kampuni moja pekee kwa ajili ya michezo ya Manchester United dhidi ya Manchester City au Arsenal dhidi ya Tottenham Hotspur. Badala yake...
  10. Waufukweni

    TFF wanatafuta kampuni moja ya ubashiri mechi ya Yanga na Simba ya Machi 1, 2026

    Hapa maana yake ni kwamba hakuna kampuni ya betting itaruhusiwa kuweka mchezo wa Simba na Yanga bila idhini ama kibali kutoka TFF, ambapo wao watamuuzia mtu mmoja tu na wengine wote wanapaswa kwenda kununua kwa aliyeuziwa haki za mchezo huo husika. ==== Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania...
  11. BIG BROTHER ALEX

    Lugha gongano TFF(shirikisho la mpira) wabadili jina, watu wanawachanganya na TFF waasi, huko mitandaoni, kichekesho

    Katika pita ZANGU mitandaoni, nikakuta HABARI ya TFF WAASI kuhusika na mambo ya mauaji, Sasa kilicho niacha hoi ni comments za waja. HABARI inasema, kiongozi wa kikosi cha TFF waasi adai kuhusika na mauaji mbeya, MTU ana comment hivi, 1. Heee, Walace karia NAE ana kikosi KAZI, hi Isha kuwa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    PostGE2025 Vitisho vinavyotolewa na kundi linalojiita 'Tanzania Freedom Fighters (TFF) visichukuliwe poa. Hofu inatanda, mimi nina ushuhuda!

    Hali ya usalama imeanza kuzua wasiwasi kwa baadhi ya wananchi kufuatia taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu kundi linalojiita TFF (Tanzania Freedom Fighters). Taarifa hizo zinadai kuwepo kwa vitisho vinavyolenga baadhi ya viongozi wa CCM hususan wa ngazi za chini katika jamii pamoja na polisi...
  13. Mshana Jr

    TFF: Dhana dhanifu ama halisi?

    Ilianza kama utani mitandaoni lakini ni wazi ni kitu kinachojijenga katika uhalisia wake TFF (Tanganyika Freedom Fighters) Wapigania Uhuru Tanganyika (WAUTA) Mwansilishi halisi hajulikani mpaka sasa lakini ni wazi ni kundi lenye vinasaba vyote na Gen-Z hasa baada ya yote yaliyotokea 0ctober 29...
  14. appoh

    Wanawake watakiwa kujiunga na kundi la tff

    Kuna video inasambaa mtandaon ikimuonesha kamanda wa mkuu wa kike wa tff ikiwataka wanawake kujiunga kwa wingi katika kund hilo ili kupigana kwa kile wanachokidai kulipigania taifa kwa kutumia silaha Nawaza tu kund hili likishirikiana na alshabab au isis tu itakuaje??
  15. BIG BROTHER ALEX

    Naendelea kuilaumu TFF na mashabiki wapuuzi wa Tanzania kisa Al Hilal FC

    Saudi arabia anahangaika kulipa mabilioni ili Barcelona na real Madrid wakacheze kwenye ardhi yao, nasikia alitaka kuwalipa england pesa mechi za mzunguko WA pili WA EPL zikachezwe saudia SIJUI walifikia wapi. Kuna kisiwa cha amani kinajiita HIVO mawazir wake huvaa miwani MIKUBWA utasema yes we...
  16. Kichuguu

    TFF Iwe Inaweka taratibu za Ligi Mwanzoni mwa Msimu tu

    Hii tabia ya kuruhusu viwanja mwanzoni mwa msimu halafu baadaye kuvifungia wakati ligi inaendelea siyo jambo zuri. Wakishakagua uwanja na kuupitisha basi wangoje hadi msimu uishe ndipo wautolee uamuzi mwingine.
  17. Scared

    PostGE2025 Tanzania: Kikundi cha uasi kimeanzishwa tayari? Wanajiita Tanzania Freedom Fighters (TFF). Ni hatari sana

    Nimeona video kiongozi wa kikundi Cha uasi Cha kutetea raia akitoa tamko dhidi ya serikali haramu ya tanzania hususani kwawataja sana polisi aisee kumeanza kuchangamka ni moto hii ni screenshot video ipo kwenye hiyo page Instagram ni moto kiongozi ameomba wananchi wakipokee Kwa mikono miwili na...
  18. Inside10

    Makonda kushindanisha wasanii wimbo wa AFCON 2027, mwambieni hayo ni mashindano ya CAF si Serikali wala TFF

    Tazama hii video naona kakurupuka kama kawaida yake anadhani hii ni SAMIA CUP au mapinduzi cup ======= Waziri wa Habari, Paul Makonda amesema serikali itaandaa shindano la wasanii kutunga wimbo bora utakaotumika rasmi kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027.
  19. S

    PostGE2025 Kuanzia tarehe 5 Disemba, hakutakuwa na shughuli ama sherehe yoyote ya kijamii ama kiserikali. TFF wamefuta utoaji wa tuzo uliokuwa ufanyike tarehe 5D

    KKKT nao wamefuta utoaji wa kipaimara uliokuwa ufanyike tarehe 8D. Serikali pia imefuta sherehe za uhuru zilizokuwa zifanyike tarehe 9D Mpo mpk hapo ? Yote haya yanafanyika ili kukwepa kishindo cha 9D.
  20. tonicimmobility

    TFF yaufungia uwanja wa Mkwakwani kwa kukosa vigezo

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Leo Novemba 26 limeufungia Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga kutumika kwenye michezo ya Ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na kisheria vinavyohitajika kwa matumizi ya viwanja vya mpira. Kwa mujibu wa TFF, miundombinu ya uwanja huo haikidhi...
Back
Top Bottom