temeke

Temeke District is a district in southern Dar es Salaam, Tanzania, with Kinondoni to the far north of the city, and Ilala in the downtown of Dar es Salaam. To the east is the Indian Ocean and to the south and west is the coastal region of Tanzania. The 2002 Tanzania National Census reported that the population of Temeke District was 768,451. The area is 786.5 km².

View More On Wikipedia.org
  1. radhiya

    JamiiForums Tanzania House For Sale at Temeke Chang'ombe near Benjamin Mkapa stadium

    House For Sale. Location: Temeke Chang'ombe. -100 meters from National Stadium. -Corner House. Features: -3 Bedrooms(1Master Bedroom). -1 Kitchen. -1 Public Toilet. -3 Medium Size Warehouse(Stoo). -Large Parking. -Borehole(Kisima). Size: SQM 375. Starting Price: Tzs 450 Million Negotiable...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Hii Script ya Wakatoliki Feki wa Mtaa wa Yombo Dovya Kata ya Makangarawe Wilayani Temeke Ifike Mahali Ifike Mwisho

    Chondechonde hizi Scripts za Hawa Wakatoliki Feki wa Mtaa wa Dovya, Kata ya Makangarawe ifike mahali hata Wakuu wa Nchi waon Aibu inabidi Wachutame kuweza Kufika hili Jambo. Sisi Wakatoliki wa CCM na ambao siyo wa CCM hatupendezwi na hizi Scripts Kila Uchwao zinakuja kwa namna tofauti tofauti...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya Temeke

    Jana kuna mgonjwa kaenda kufunga kidonda (dressing) cha kidole cha mguu kaambiwa Bima yake haina hiyo huduma ya bandage. Bima aliyonayo ni hii ya wafanyakazi (NHIF); alielekezwa akanunue bandage apeleke ili wamfunge; ikabidi afanye hivyo Kwa wanao husika na Hospitali ya Temeke naomba...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mliochezea Mashine Pale Temeke Hospitali Nina Ujumbe wenu

    Huyu mwamba mwenye dhamana ya Wizara yenu hatanii na Wala hataniwi, ni Bora mkafikiria kwenda kuishi nje ya nchi kama bado mnapenda kuendelea kupumua katika hii Dunia kabla hamjaaimbiwa parapanda. Natumaini mmenielewa.
  5. boufer

    JamiiForums Tanzania Msaada wa shule za msingi za serikali za kulipia zilizopo manispaa ya Temeke

    Km tittle inavyojieleza wakuu, naomba majina ya shule za msingi za kulipia zinazopatikana Manispaa ya Tmk! Nawasilisha
  6. radhiya

    JamiiForums Tanzania House For Sale at Temeke Chang'ombe

    House For Sale. Location: Temeke Chang'ombe. -100 meters from National Stadium. -Corner House. Features: -3 Bedrooms(1 Master Bedroom). -1 Kitchen. -1 Public Toilet. -3 Medium Size Warehouse(Stoo). -Large Parking. -Borehole(Kisima). Size: SQM 375. Starting Price: Tzs 450 Million Negotiable...
  7. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Temeke Toangoma

    Plot For Sale. Plot details: Accessible through Nyerere Bridge or Mbagala near to Kigamboni. •It's almost 20.5km from Dar port through Kilwa road. •Perfect for; Yard, Garage, container’s storage, or Godown. Location: Temeke Toangoma. Size: 5600 sqms. Permit: Residential can be converted to...
  8. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Temeke Toangoma

    Plot For Sale. Plot details: Accessible through Nyerere Bridge or Mbagala near to Kigamboni. •It's almost 20.5km from Dar port through Kilwa road. Location: Temeke Toangoma. Size: 4400 sqms. Permit: Residential can be converted to Commercial. Document: Clean Title Deed. Price: Tsh 500M. For...
  9. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jimbo la Temeke lagubikwa na rushwa, vitisho na ukiukwaji wa maadili ya chama ktk kura za maoni

    Na Mwanachama Hai wa CCM TEMEKE Utangulizi Kwa masikitiko makubwa na kwa dhamira ya dhati ya kulinda heshima, maadili, na misingi ya haki ndani ya chama chetu, napenda kuwasilisha taarifa hii maalum ya uchunguzi wa awali kuhusu mchakato wa kura za maoni ndani ya Jimbo la Temeke. Taarifa hii...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kwa aina ya mgombea wa CCM Temeke, jimbo litakwenda mikononi mwa ACT-Wazalendo, Shehe Issa Ponda kushinda mchana kweupe

    KWA AINA YA MGOMBEA WA CCM TEMEKE, JIMBO LITAKWENDA MIKONONI MWA ACT-WAZALENDO – SHEHE ISSA PONDA Katika harakati za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu, macho mengi yameelekezwa katika majimbo yenye ushindani mkali – mojawapo likiwa ni Jimbo la Temeke. Kauli kali iliyotolewa na Shehe Issa Ponda...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Temeke Inahitaji Mwana Mapinduzi, Siyo Mteule wa Juu - Shehe Ponda Turufu sahihi kwa wakazi wa Jimbo la Temeke

    Temeke Inahitaji Mwana Mapinduzi, Siyo Mteule wa Juu - Shehe Ponda Turufu sahihi kwa wakazi wa Jimbo la Temeke Katika mwaka huu wa uchaguzi, Temeke iko kwenye njia panda ya kihistoria. Wananchi wana nafasi ya kuchagua baina ya kiongozi anayewakilisha maisha yao ya kila siku, na yule...
  12. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Shehe Issa Ponda kushinda jimbo la Temeke mchana kweupe - Mikiki katika kutetea wanyonge ndio turufu yake Temeke

    SHEHE ISSA PONDA KUSHINDA JIMBO LA TEMEKE MCHANA KWEUPE - MIKIKI KATIKA KUTETEA WANYONGE NDIO TURUFU YAKE TEMEKE - MAMBO MANNE KUMBEBA JIMBO LA TEMEKE. Uislamu unaweza kumbeba sana Shehe Issa Ponda kisiasa, hasa katika muktadha wa Jimbo la Temeke – na hapa kuna sababu kuu nne za msingi: 1...
  13. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Famonga ashinda kura za maoni jimbo la Temeke

    🛑 Famonga ashinda kura za maoni jimbo la Temeke. Fadhil Mohammed Famonga mshindi kura za maoni kupitia CCM jimbo la Temeke – Famonga ambaye amewahi kuwa mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM wilaya ya Temeke. #AsanteniWajumbe
  14. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Registered hospital for sale,located at Tandika, Temeke Dar es salaam Tanzania,price tsh 1billion

    #hospitalforsale REGISTERED HOSPITAL FOR SALE LOCATED AT TANDIKA, TEMEKE DARESALAAM. Complete x ray room, no x ray modality. ULTRASOUND MACHINE -four probes -curved probe - linear probe -echo probe -TVS probe Dressing room 1, Theater changing room 1, Autoclave room 1, OPERATING THEATER...
  15. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania Viashiria vya rushwa katika zahanati ya Tambukareli, Temeke Dar es salaam

    Zahanati ya Tambukareli iliyopo kata ya Azimio wilaya ya Temeke DSM, ambayo ni tegemeo kwa wananchi wa kata ya Azimio na maeneo jirani imeanza kugubikwa na viashiria vya rushwa, hali inayotia doa huduma za afya na kuathiri maisha ya wagonjwa na wateja kwa ujumla. Malalamiko kutoka kwa wananchi...
  16. radhiya

    JamiiForums Tanzania House For Sale at Temeke Chang'ombe Near National Stadium

    House For Sale. Location: Temeke Chang'ombe. -100 meters from National Stadium. -Corner House. Features: -3 Bedrooms(1 Master Bedroom). -1 Kitchen. -1 Public Toilet. -3 Medium Size Warehouse(Stoo). -Large Parking. -Borehole(Kisima). Size: SQM 375. Starting Price: Tzs 450 Million Negotiable...
  17. ngara23

    JamiiForums Tanzania GE2025 Eng Hersi Said aachwa ubunge Kigamboni Shafii Dauda apeta Temeke

    Kamati kuu umegoma kulipitisha jina la Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa Eng Hersi Said kugombea kupitia CCM Jimbo la Kigamboni, Shafii Dauda akipita huko Jimbo la Temeke Sasa rasmi Rais wa Yanga Eng Hersi Said atajikita zaidi kwenye football
  18. M

    JamiiForums Tanzania Kero za ushuru wa biashara ndogo ndogo temeke

    Habari wanajikwaa Nimekua mfanya biashara mdogo katika halmashauri ya manispaa ya TEMEKE na changamoto ni kua wanakuja kuchukua ushuru kila siku sokoni lakini swali la kujiuliza mbona ushuru huu wa Tsh 500 kila siku umekuwa ukitolewa lakini wahusika hawatuboreshei mazingira ya kazi mfano...
  19. radhiya

    JamiiForums Tanzania House For Sale at Temeke Chang'ombe Near National Stadium

    House For Sale. Location: Temeke Chang'ombe. -100 meters from National Stadium. - Corner House. Features: -3 Bedrooms(1 Master Bedroom). -1 Kitchen. -1 Public Toilet. -3 Medium Size Warehouse(Stoo). -Large Parking. -Borehole(Kisima). Size: SQM 375. Starting Price: Tzs 450 Million which is...
  20. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kama anakusumbua Mbagala nenda Temeke akukusumbua Dar nenda Arusha nenda Moshi unangangania mtu 1 amekuea roho mt

    Mtumr.Mungu akubariki sana Maboya Nimeona clip yake anasema ntue wanawake wanaume mnakufa mapema sana kwa mambo ya kijinga Kkama unaona mwenzio anakusumbua nenda mbagala akikusumbua nenda tafuta wa temeke Dar ukiona inakuumixa hamia arusha hakufai nenda moshi Acheni ujinga Mnanganganiana...
Back
Top Bottom