Temeke District is a district in southern Dar es Salaam, Tanzania, with Kinondoni to the far north of the city, and Ilala in the downtown of Dar es Salaam. To the east is the Indian Ocean and to the south and west is the coastal region of Tanzania. The 2002 Tanzania National Census reported that the population of Temeke District was 768,451. The area is 786.5 km².
KWA AINA YA MGOMBEA WA CCM TEMEKE, JIMBO LITAKWENDA MIKONONI MWA ACT-WAZALENDO – SHEHE ISSA PONDA
Katika harakati za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu, macho mengi yameelekezwa katika majimbo yenye ushindani mkali – mojawapo likiwa ni Jimbo la Temeke. Kauli kali iliyotolewa na Shehe Issa Ponda...
Temeke Inahitaji Mwana Mapinduzi, Siyo Mteule wa Juu - Shehe Ponda Turufu sahihi kwa wakazi wa Jimbo la Temeke
Katika mwaka huu wa uchaguzi, Temeke iko kwenye njia panda ya kihistoria. Wananchi wana nafasi ya kuchagua baina ya kiongozi anayewakilisha maisha yao ya kila siku, na yule...
SHEHE ISSA PONDA KUSHINDA JIMBO LA TEMEKE MCHANA KWEUPE - MIKIKI KATIKA KUTETEA WANYONGE NDIO TURUFU YAKE TEMEKE - MAMBO MANNE KUMBEBA JIMBO LA TEMEKE.
Uislamu unaweza kumbeba sana Shehe Issa Ponda kisiasa, hasa katika muktadha wa Jimbo la Temeke – na hapa kuna sababu kuu nne za msingi:
1...
🛑 Famonga ashinda kura za maoni jimbo la Temeke.
Fadhil Mohammed Famonga mshindi kura za maoni kupitia CCM jimbo la Temeke – Famonga ambaye amewahi kuwa mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM wilaya ya Temeke.
#AsanteniWajumbe
#hospitalforsale
REGISTERED HOSPITAL FOR SALE
LOCATED AT TANDIKA,
TEMEKE DARESALAAM.
Complete x ray room, no x ray modality.
ULTRASOUND MACHINE
-four probes
-curved probe
- linear probe
-echo probe
-TVS probe
Dressing room 1,
Theater changing room 1,
Autoclave room 1,
OPERATING THEATER...
Zahanati ya Tambukareli iliyopo kata ya Azimio wilaya ya Temeke DSM, ambayo ni tegemeo kwa wananchi wa kata ya Azimio na maeneo jirani imeanza kugubikwa na viashiria vya rushwa, hali inayotia doa huduma za afya na kuathiri maisha ya wagonjwa na wateja kwa ujumla.
Malalamiko kutoka kwa wananchi...
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
-Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1 Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million Negotiable...
Kamati kuu umegoma kulipitisha jina la Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa Eng Hersi Said kugombea kupitia CCM Jimbo la Kigamboni,
Shafii Dauda akipita huko Jimbo la Temeke
Sasa rasmi Rais wa Yanga Eng Hersi Said atajikita zaidi kwenye football
Habari wanajikwaa
Nimekua mfanya biashara mdogo katika halmashauri ya manispaa ya TEMEKE na changamoto ni kua wanakuja kuchukua ushuru kila siku sokoni lakini swali la kujiuliza mbona ushuru huu wa Tsh 500 kila siku umekuwa ukitolewa lakini wahusika hawatuboreshei mazingira ya kazi mfano...
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
- Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1 Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million which is...
Mtumr.Mungu akubariki sana
Maboya
Nimeona clip yake anasema ntue wanawake wanaume mnakufa mapema sana kwa mambo ya kijinga
Kkama unaona mwenzio anakusumbua nenda mbagala akikusumbua nenda tafuta wa temeke
Dar ukiona inakuumixa hamia arusha hakufai nenda moshi
Acheni ujinga
Mnanganganiana...
Kama kuna Wizara ambayo imeshindwa kazi hapa mkoani na Jiji la Dar es salaam ni wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano.
Nadiriki kusema Wizara hii imejaza vilaza walioko katika utendaji, kuanzia Waziri wake, Katibu Mkuu na hata watendaji wengine wa ngazi za juu.
Haiwezekani katika miaka hii ya...
Salam Wadau!
Shimo kubwa sana lipo barabara ya Mwembe Yanga, linahatarisha usalama wa watumiaji wa barabara. Tafadhali lifanyiwe kazi haraka na mamlaka husika.
Hii ni series ya matukio yaliyotokea miaka ya 2010-2013.
Ni mtiririko wa matukio ya ujasiri,kushangaza,kufurahisha na kusikitisha. Maisha ya watoto wa Temeke.
Miaka hii ilikuwa ndiyo mwisho mwisho wa uhuni uliokithiri wa watoto wa Temeke. Bhangi,wizi,mauaji, kukimbizana na defender za polisi...
Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, Abdallah Mtinika amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Temeke.
Mtinika amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumapili, Juni 29, 2025 na Katibu wa UVCCM Wilaya ya Temeke, Sayi Samba.
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
- Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1 Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million which is...
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
- Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1 Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million which is...
Jamani elimu haina mwisho.
Hiki kituo One Stop Judicial Centre Temeke - High Court of tanzania genesis yake ni ipi na kwanini kinaitwa One stop centre .......
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
- Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1 Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million which is...
Naomba ujumbe huu ufike kwa Mamlaka husika ya LATRA, Daladala za Kigamboni Wilayani na Temeke hazifiki Wilayani, zinaishia Kigamboni Mwisho.
Pili, nauli ya kutoka Kigamboni Mwisho hadi Temeke, mlangoni pameandikwa Sh 600 lakini wao wanatoza Sh 700.
Tatu, wakishachukua hela, hawatoi tiketi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.