Temeke District is a district in southern Dar es Salaam, Tanzania, with Kinondoni to the far north of the city, and Ilala in the downtown of Dar es Salaam. To the east is the Indian Ocean and to the south and west is the coastal region of Tanzania. The 2002 Tanzania National Census reported that the population of Temeke District was 768,451. The area is 786.5 km².
Kamati kuu umegoma kulipitisha jina la Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa Eng Hersi Said kugombea kupitia CCM Jimbo la Kigamboni,
Shafii Dauda akipita huko Jimbo la Temeke
Sasa rasmi Rais wa Yanga Eng Hersi Said atajikita zaidi kwenye football
Habari wanajikwaa
Nimekua mfanya biashara mdogo katika halmashauri ya manispaa ya TEMEKE na changamoto ni kua wanakuja kuchukua ushuru kila siku sokoni lakini swali la kujiuliza mbona ushuru huu wa Tsh 500 kila siku umekuwa ukitolewa lakini wahusika hawatuboreshei mazingira ya kazi mfano...
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
- Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1 Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million which is...
Mtumr.Mungu akubariki sana
Maboya
Nimeona clip yake anasema ntue wanawake wanaume mnakufa mapema sana kwa mambo ya kijinga
Kkama unaona mwenzio anakusumbua nenda mbagala akikusumbua nenda tafuta wa temeke
Dar ukiona inakuumixa hamia arusha hakufai nenda moshi
Acheni ujinga
Mnanganganiana...
Kama kuna Wizara ambayo imeshindwa kazi hapa mkoani na Jiji la Dar es salaam ni wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano.
Nadiriki kusema Wizara hii imejaza vilaza walioko katika utendaji, kuanzia Waziri wake, Katibu Mkuu na hata watendaji wengine wa ngazi za juu.
Haiwezekani katika miaka hii ya...
Salam Wadau!
Shimo kubwa sana lipo barabara ya Mwembe Yanga, linahatarisha usalama wa watumiaji wa barabara. Tafadhali lifanyiwe kazi haraka na mamlaka husika.
Hii ni series ya matukio yaliyotokea miaka ya 2010-2013.
Ni mtiririko wa matukio ya ujasiri,kushangaza,kufurahisha na kusikitisha. Maisha ya watoto wa Temeke.
Miaka hii ilikuwa ndiyo mwisho mwisho wa uhuni uliokithiri wa watoto wa Temeke. Bhangi,wizi,mauaji, kukimbizana na defender za polisi...
Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, Abdallah Mtinika amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Temeke.
Mtinika amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumapili, Juni 29, 2025 na Katibu wa UVCCM Wilaya ya Temeke, Sayi Samba.
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
- Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1 Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million which is...
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
- Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1 Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million which is...
Jamani elimu haina mwisho.
Hiki kituo One Stop Judicial Centre Temeke - High Court of tanzania genesis yake ni ipi na kwanini kinaitwa One stop centre .......
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
- Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1 Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million which is...
Naomba ujumbe huu ufike kwa Mamlaka husika ya LATRA, Daladala za Kigamboni Wilayani na Temeke hazifiki Wilayani, zinaishia Kigamboni Mwisho.
Pili, nauli ya kutoka Kigamboni Mwisho hadi Temeke, mlangoni pameandikwa Sh 600 lakini wao wanatoza Sh 700.
Tatu, wakishachukua hela, hawatoi tiketi...
Eneo lenye Nyumba ya zamani linauzwa.
Mahali: Temeke karibu na shule ya Yemen, Mtaa wa Mganda.
Eneo liko mita chache kutoka barabara ya Chang'ombe.
Ukubwa wa Eneo: SQM 548.
Bei: Tzs Milioni 400. Mazungumzo yanaruhusiwa.
Nyaraka: Hatimiliki.
Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano...
Habari wadau.
Kwa wale wajomba na mashangazi above 30s nazani wanazijua sana hizi stori.
Dar kulikuwa na vitisho vingi mitaani kwamba jini mrefu kavaa kanzu kaonekana bondeni. Watu wanabadilisha njia.
kwenye shule za msingi kulikuwa na vitisho vya mbuzi kaonekana chooni anakuna nazi. Mara...
Huyu Jamaa anaitwa Mtulia aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni 2015-2020.
Mwaka 2017 alijiuzulu ubunge na akahamia Ccm .
Wakati wa uchaguzi mdogo chadema walinyimwa viapo kwa mawakala wake.
Na ndipo waliandamana na mwisho kikatokea kifo cha Akwilina.
Naomba kujua ile dua na karma imeshamfikia...
Ramadhan Kareem, Kwaresma Njema.
Jana Chuo Kikuu cha Makerere Nchini Uganda kimeturudisha nyuma kidogo enzi za siaaa za Hoja na Zenye Tija.
Kimeturudisha kwenye zile siasa za Critical Thinking ambazo Magwiji wa Africa Mashariki na Afrika yote ilizitumia kulete Ukombozi, siasa za kina Nelson...
Wakuu nimekuja kwenu, ofisi za TRA Temeke zina fikirisha sanaa katika uwajibikaji wao
Nili-register TRA TIN Number mwaka 2020 branch ya Mbagala sasa nataka nihamishe ile TIN number location isome Ilala hapo ndo kimbembe aisee
Hawa jamaa nimefanya process zotee online barua nimeandika na...
Wizara ya elimu ina maprofesa wapuuz mno.
Inaamini maskini wa Tabata, Buza, Goba, mbezi hawawez kupeleka watoto shule za laki 5?
Mkenda na wezako wa TAMISEMI mnashida ipi? Mkiigeuza Jica primary mnashindwa nini? Acheni hizo.
Hii nchi ni as if tuanza kiushi nyumba ya kupanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.