technology

  1. Waziri Mayai Wa Maradhi

    Smartphones On The Rise As More Kenyans Embrace Newer Technology and Coverage

    Kenya had 78.3 million mobile phones linked to its networks as of the end of December 2025. Of those, 29,620,022 were feature phones and 48,726,982 were smartphones. There are already about 20 million more smartphones than feature phones, and the difference is growing every quarter. A year...
  2. Davidmmarista

    Bongo tuna matapeli wengi kwenye issue za technology; hii inatufanya kuja na solution chache mno

    Kama umeweza kusoma mchezo wa hapa bongo kwenye designing ya hardware au software products kumejaa utapeli. Kwasasa kuna low quality work mno hasa kwenye kazi za mobile application, websites yaaani app au web ya mbongo utaijua tu nyingi zipo hovyo mno ingawa wahandisi wazuri wapo lakini...
  3. DOM_LEADER

    Nahitaji connection au links za magroup ya WhatsApp yanayohusu technology kuhusu simu, PC na mengineyo kama hayo

    Habari wakuu Kiukweli nahitaji kuongeza uelewa kuhusu mambo mifumo ya sim na mambo ya computer like androids, OS, Linux, bypassing and other like that. Hivo nilipendelea sasa kisaidiwa kupata connection hasa za whatsapp ili kukutana na wataalamu mbalimbali katika group hizo. ASANTENI SANA.🙏🙏🙏
  4. michu03

    EPOXY FLOOR TECHNOLOGY: Kwa Nini Inakuwa Trend Kubwa Kwenye Ujenzi wa Kisasa?

    EPOXY FLOOR TECHNOLOGY: Kwa Nini Inakuwa Trend Kubwa Kwenye Ujenzi wa Kisasa? Utangulizi Kwa kipindi cha hivi karibuni, teknolojia ya Epoxy Floor imekuwa ikizungumzwa sana kwenye sekta ya ujenzi, hasa mtandaoni. Wauzaji wa kemikali za ujenzi, wakandarasi, mafundi pamoja na wamiliki wa majengo...
  5. QasraNet

    Badilisha PC yako ya zamani kuwa Powerful MIKROTIK ROUTER

    Router zenye uwezo mkubwa bei yake ipo juu sana. Sasa nikaanza kufanya research ya kama PC ikiwa na Windows OS ya kawaida kama inaweza kufanya kazi kama Router. Nilihangaika mpaka kuja kupata majibu kuwa kama unataka kutumia PC yako kama Router basi inabidi usasishe (install) OS ambayo ni...
  6. Teknolojia ni Yetu sote

    𝗬𝗼𝘂𝗧𝘂𝗯𝗲 𝗸𝘂𝗹𝗲𝘁𝗮 𝘂𝘄𝗲𝘇𝗼 𝘄𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗠𝗲𝘀𝗲𝗷𝗶 𝗣𝗿𝗶𝘃𝗮𝘁𝗲

    YouTube inafanya majaribio ya feature mpya inaitwa "Direct Message" Kwa watumiaji wake kupitia channel zao ambazo wana share video Kwa wengine kuweza kuchati nao Private. Feature hiyo itawapa watu uwezo wa kuweza kuchati kupitia app ya YouTube mobile Kwa kuweza kutumiana Meseji ndani ya hiyo...
  7. Teknolojia ni Yetu sote

    𝗕𝗶𝗻𝗮𝗱𝗮𝗺𝘂 𝗯𝗮𝘀𝗶 𝗧𝗲𝗻𝗮 𝘁𝘂𝗺𝗲𝗸𝘄𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗮𝗶𝘀𝗲𝗲𝗵!!

    Walichokifanya China hii ni zaidi ya Mapinduzi ya Teknolojia kwenye huu Ulimwengu wa Dunia, Kampuni ya kutengeneza Maroboti Toka China XPENG Robotics imeunda roboti mwenye vinasaba vya binadamu. Angalia video yake sio poa 👇
  8. P

    Computer engineering vs Computer science

    Je,course ya computer engineering ina dili nchini au Africa kama ilivyokuwa computer science?
  9. akul

    Suala la ajira kwa wenye Diploma ya food science and technology limefikia wapi?

    Hivi ndugu zangu suala la ajira kwa upande wa Diploma ya food science and technology limefikia wap maana ni mda umepita tunaomba serikali iliangalie
  10. Blasio Kachuchu

    Mati Technology yapanua wigo wa Kilimo kwa Teknolojia ya Drone

    Na Mwandishi Wetu. KAMPUNI ya Mati Super Brands Ltd kupitia tawi lake la Mati Technology imezindua teknolojia mpya ya ndege nyuki (drone) zinazotengenezwa nchini, zenye uwezo wa kuboresha sekta ya kilimo na huduma nyingine za kijamii. Mkurugenzi Mtendaji wa Mati Group of Companies, David...
  11. will93580

    Technology

    Has technology improved the overall quality of life in the 21st century?
  12. Teknolojia ni Yetu sote

    Tanzania kutumia satellite badala ya minara ya simu kufanya mawasiliano

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (Tcra) imetoa mwongozo mpya itakayoweza kubadilisha namna ambavyo Watanzania wanavyopata huduma za simu. 🗯️ Mwongozo mpya utoaji wa mawasiliano ya moja kwa moja toka kwenye simu kwenda kwenye satellite, iliyotolewa julai 2025, huruhusu simu za mkononi...
  13. T

    Tangazo la nafasi za kazi – gpmsc technology & banking company

    🔷 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI – GPMSC TECHNOLOGY & BANKING COMPANY 🔷 --- GPMSC TECHNOLOGY & BANKING COMPANY, taasisi inayoongoza kwa huduma za kibunifu za kiteknolojia na kifedha, ikiwa ni kampuni na benki ya kisasa yenye makao makuu Bugarika, Mwanza – Tanzania, inatangaza nafasi za kazi kwa...
  14. T

    GPMSC Technology company inatangaza ajira

    Kampuni ya GPMSC Technology company. Inatoa nafasi 24 Vigezo 1. Uwe Mwanza. 2. Accountant Nafasi 4 3. HR nafasi 4. 4. Wanasheria nafasi 4. 4. Secretary nafasi 4 5. IT nafasi 4 6. Afisa mahusiano, nafasi 4 7. Wote muwe na TIN number binafsi za TRA. NIDA number. 8. Cheti ni kwa Secretary. 9...
  15. N

    Nani technology gani ilitumika kuonekana Mtoto mdogo anajua kuigiza Katika baby day out

    Kuna kitu mpk leo najiuliza perform ya dogo ukimuona ni kweli alikuwa anajitambua kabisa kwa sasa naigiza au nyingi NI edit Tu za computer kumbuka movie unatoka hata ai tools ilikuwa bado kuanza.
  16. V

    Tunachimba visima vya maji vya kisasa

    Karibuni Sana wells technology wachimbaji wa visima vya maji safi na salama borehole gharama za uchimbaji kisima ni kwa mita Dar es salaam na pwani mita moja 90,000 Mikoani mita moja 140000 Gharama zinacover uchimbaji mpk kufunga pump mawasiliano 0657710078 . 0769509666
  17. technically

    Ogopa Sana Mungu na technology

    Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni
  18. T

    Teknolojia ya web 3( blockchain technology)

    Jaman watanzania nahamasisha muamko katika teknolojia ya masjala mtawanyiko(blockchain technology ) kwa sababu kuna baadh ya nchi za Afrika zimepiga hatua katika hii teknolojia na zinaitumia katika ustaw wa Jamii na nchi zao,.. Nchi kama Kenya, .Ghana, Nigeria na kadhalika zimesharasimisha...
  19. Megalodon

    Israel ni Overrated , na hawana Technology kubwa kama tunavyoamikishwa

    Well, ukiona mtu anafurahi vita juu ya Israel au Iran kupigwa either way kwa sababu za kiimani zenu, ujue wote mnafanya kazi ya Shetani. hakuna anaeweza ku claim ushindi wakati kuna uharibifu pande zote 2. Ishu ni namna Israel wanavyojipambanua Chosen people of God, wana advanced tech kuzuia...
  20. Marco Seth

    Elimu na teknolojia ya Tanzania iboreshwe kwa viwango vya juu ili iandae watu wenye uwezo mkubwa

    Matatizo mengi yanasababishwa na uwezo mdogo wa Elimu Elimu ya kikoloni Wenzetu wanaendelea kwa kasi Kwa sababu ya elimu yao ibo vizuri Na technology Ni bora mtu asomee kitu atakachobobea awe mtaalamu zaidi
Back
Top Bottom