Jana Waziri Mkuu Feki anatoka anatoa takwimu za uharibifu wa mali uliofanyika kipindi cha uchaguzi.
Ametaja magari ya serikali, magari binafsi, vituo vya polisi, nk. Tuache kwanza hoja ya usahihi wa hizo takwimu ambazo zinatia shaka.
Cha kushangaza wakati yote hayo yanatokea, kituo cha taifa...