My Take
Hakuna kumung'unya maneno Inawezekana kabisa kwamba magenge ya wahalifu wa Kimataifa wamepata Uchochoro wa Kusajili Meli zao hapa Bongo Kwa rushwa Ili zikatumike kwenye Uhuni.
Mwaka 2018 hayati Magufuli aliliona hili na kuzuia usajili wa hizi meli lakini naona ule mchezo umejirudia...
Hapa kuna orodha ya baadhi ya elimu/mada tata ambazo zimepigwa marufuku au kuzuiwa sana kufundishwa vyuoni katika nchi mbalimbali duniani (hadi mwaka 2026):
- Afghanistan (chini ya Taliban)
- Masomo yote yanayohusu haki za wanawake
- Gender studies / Jinsia na masuala ya kijinsia
-...
maswali....
1-Miji mingi imekuwa na idadi kubwa ya watoto wa mitaani tena katikati mjini. je wakati wa maandamano waliamia ktk makazi yapi mbali na mitaroni nk.?
2-kwa Mwanza na Dar es salaam nimewai ona kundi la mbuzi wakizurula wenyewe humo mjini pasipo kushambuliwa na binadamu. je kwa...
Uchaguzi mkuu ulifanyika nchini Liberia mwaka 1927.Katika matokeo mshindi alikuwa bwana Charles D.B King wa chama cha True Whig, alichaguliwa kwa kipindi cha tatu baada ya kumshinda mpinzani wake bwana Thomas J.R.Faulkner wa chama cha watu yaani People's Party.Kabla ya hapo Faulkener alikuwa ni...
Akitoa salam za pole Mh. Nchimbi alisema yeye ni Mkristo Mkatoliki hivyo watamzoea taratibu. Wakumzoea taratibu ni waombolezaji au wale wote wanaosema yuko kimya kwa yanayoendelea nchini kuanzia mauaji ya tarehe 29?
Alisema kwa taratibu za kanisa Katoliki Baba Askofu anapokuwepo Makamu wake...
1. "Oktoba 29 tulitumia nguvu kubwa Kwa sababu ya Vurugu, mlitaka tutumie nguvu ndogo ili iwaje"
2. "Waliohamasisha maandamano Oktoba 29 ni Kwa sababu ya shida za maisha, na walifanya hivyo ili Watanzania wanunue bando wawaangalie ili walipwe"
3. "Kuna watu tunawaambia waje mezani kwenye...
Kuna nyumba moja ya kupanga bwana; kuna hao wakaka wawili wenye umri takribani 25 mpaka 30; ni mapacha wa kufanana kabisa yaani(Identical Twins) na wanafanana kila kitu.
Sasa hao wakaka wameanza kuwatatiza watu wakiwemo wapangaji wenzao hadi mwenye nyumba; kwani wana tabia ya kufanya kila...
by Pdizaina from X
Nikikumbuka aliwahi kusema
1. Kwenye mbuga za wanyama kuna madini ya thamani Sana,na Simba wala hali madini. Tukachimbe "
2. Katiba ni kijitabu Tu
3. Hata mkipiga Kura kule kwingine lakini Sisi ndiyo tutakaounda serikali
4. Utekaji ni vijidrama Tu
5. Kifo ni Jambo la kawaida
Wanajukwaa habari za asubuhi.
Leo naomba tudiscuss kiundani kuhusu tungo hizi tata
1.MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI
2.KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI
3.WAZURI HAWAFI
4.KIFO NI KIFO TU
Karibu kwa mchango wako wa mawazo
Body la Tata linauzwa
Ni namba D
Exchange na Toyota Coaster au Ros a
vitu vyote vipo kasoro injini,giabox na propela ndio havipo.
Bei Mil 15
Lipo kibaha mkoa wa Pwani
mawasiliano 0759399805
Hapa naziita taasisi zote za kiislamu kuanzia Bakwata, Sunni jamaat,shia n.k
Uislamu ni dini iliyojipambanua kama dininya haki na misimamo ya haki, kujali utu na heshima Kwa watu wote
Kumekuwepo mashehe wanaotoa matamko tata kuhusu masuala ya utawala Bora hapa nchi
Mfano Leo shehe Mawinda...
Amesema,
1. Sasa amewaruhusu watu wengine wakashike nafasi yake ya ubunge wa Ruangwa.
2. Wagombea wote wa ubunge waliojitokeza ni wazaliwa wa Ruangwa, wana uwezo wa kuleta maendeleo.
3.Hatua yake ya kuacha ubunge wa Ruangwa imeongozwa na Mungu.
Nauliza tu huyu mtu ni Mzanzibar? kama ndiyo, vipi kuhusu mahusiano yake na hukumu aliyotoa ambayo iligubikwa na utata?
Huyu Jaji aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar kabla hajawa Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.
Hata kama ni suala la kurafsiriwa kama ubaguzi potelea mbali...
Askofu Josephat Gwajima ameendelea kudhihirisha chuki zake dhidi ya Uislamu, msimamo aliokuwa nao tangu enzi za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ambao sasa ameuhamishia kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Si mara moja wala mara mbili ambapo Gwajima ametumia majukwaa ya dini na siasa kutoa kauli zenye...
GT
Kiufupi sana samia hakujiandaa kuwa raisi lakini pia hata wasaidizi wake wameshindwa kumsaidia kuwa Raisi.mzuri, sasa wanachofanya .ni
Kulazimisha kila Kitu kwa mabavu
Baadhi ya kauli hapa chini ni Ushahidi tosha kwamba Mkuu wetu wa nchi hana karama hiyo ya uongozi Unaweza ukaongezea...
Anamaanisha anachosema?
Amevunja sheria?
Kauli yake inaashiria nini?
Kama nimemwelewa, anasema waliomwua Magufuli ni Samia na Kikwete!
Amemaanisha nini hasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.