tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. P

    KERO Teknolojia mpya ya LUKU (ya TANESCO) inakula sana umeme kuliko kawaida

    Kwa wale ambao mmefungiwa hizi mita mpya za digital ambazo wanazibadilisha kipindi mtakua mnajua kuhusu suala la UNIT kwenda speed kuliko zile mita za awali. Mfano mimi natumia umeme wa 50,000/ mwezi mzima na unit zinabaki kidogo. Lakini kwa sasa kwenye hizi mita mpya umeme huo wa 50,000...
  2. Clemence Mwandambo: Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana, watu wanaoishi kwa kodi zetu kwa sasa wanatunyanyasa

    Clemence Mwandambo: Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana, watu waoishi kwa kodi zetu kwa ndio wamekuwa wanatunyanyasa, wewe fikiria afisa mtendaji tu anajisikia boss lakini anaishi kwa kodi zetu, walimu nao Polisi kuanzia Uniform zao, bunduki hadi mshaara ni kwa sababu ya kodi ya wananchi Lakini...
  3. Tuseme Kenya imewafanyia watanzania kama Boniface Mwangi na Agatha Atuhaire, Mamlaka za Tanzania zingemtoa yeyote kwa Kenya?

    Tunaposema Mwanasheria Mkuu wa Serikali anapaswa kuwa mtu mwenye weredi ya hali ya juu katika masuala ya kisheria ziwe za madai au jinai au za kitaifa au kimataifa hatutanii, tuna maanisha kweli. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni cheo nyeti sana katika nchi yoyote ile duniani. Ni kielelezo kikuu...
  4. H

    Wakala wa Vipimo Tanzania na Zambia kushirikiana kusimamia matumizi sahihi ya vipimo

    Wakala wa Vipimo Tanzania na Zambia kushirikiana kusimamia matumizi sahihi ya vipimo Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) na Zambia (ZMA) zimesaini mkataba wa miaka mitatu (3) wa kushirikiana katika usimamizi wa matumizi sahihi ya vipimo ambapo utekelezaji wake umeanza mara tu baada ya kusainiwa...
  5. S

    Wanaharakati kuweni makini sana na Tanzania leaks wa mtandao wa X kwani taarifa zake nyingi ni uzushi na anawapotezea credibility

    Kwa mtumiaji yoyote wa mtandao wa X na ambae anafuatilia taarifa za mtu anaeonekana kuwa ni mwanaharakati katika mtandao wa X anaetumia jina la "Tanzania leaks"atakubaliana namu kuwa huyu mtu taarifa zake nyingi huwa ni za uzushi. Ni bahati mbaya sana wanaharakati na wanasiasa makini, hu-...
  6. Tanzania yetu

    Tanzania, nchi yenye mandhari nzuri na urithi wa kitamaduni mbalimbali, inajivunia historia ya maelfu ya miaka. Tangu enzi za wawindaji wa mapema hadi utawala wa kikoloni na kupigania uhuru, safari yake ina alama ya ujasiri na umoja. Leo, Tanzania inasimama kama taifa la kujivunia, linaloundwa...
  7. A

    PostGE2025 CHADEMA yataka Tanzania iongozwe na UN au SADC

    Kwa hisani ya JUNA: "Leo Ndio nimeamini kuwa Chadema sio Chama Cha Siasa Bali ni NGO ya Wazungu, Yaani Makamu Mwenyekiti anawezaje kusema anataka Serikali ya Mpito itakayokuwa Nchini ya UN, Yaani Tanzania Leo iwe Koloni? “CHADEMA inataka kuanzishwa kwa Serikali ya Mpito ambayo haitoongozwa na...
  8. M

    Vipi huko chawa, mnakunywa amani?

    Nyie Vyawa, mnakunywa amani? Kuoga je? Kwanza hamuogi nyie maana ni wachafu wa mwili mpaka akili. Watu wanaandamana mpate haki za kupata huduma bora bila kukosekana huduma na uwajibikaji pale mambo kama haya yanapotokea. Ila sababu mna vichwa tupu mnawaona wanaharibu amani nyie mnataka amani...
  9. Wapinzani kwa ujinga huu hamtaiongoza nchi hii mpaka Yesu arudi. Abadani

    Wapinzani wapo kama milofa fulani, wanasubiri tukio ndio wadandie mada kama komba. Kila tukio linalotokea Tanzania wapinzani lazima walidandie. Liwe zuri au baya. Soon sasa hivi wapinzani watapita na trend ya mgao wa maji. Serikali ikifix wanakaa kimya na kutafuta jambo jingine. Sasa mjinga...
  10. Huenda hizi ndizo baadhi ya sababu zilizowafanya gen z wa Tanzania kuyagomea na kuyapuuza maandamano ya haramu ya Dec.09

    Mnamo dec.9 wanasiasa na wanaharakati wasiojulikana na wanaojulikana lakini wakiwa mafichoni kusikojulikana, walituma mitandao ya kijamii kuhamasisha vijana kufanya maandamo haramu yasioyo na kibali wala malengo mahususi ambayo kwa kiasi kikubwa yalipuuzwa na waTanzania wote hususani vijana, na...
  11. PreGE2025 BASATA yatangaza kuahirisha utoaji wa tuzo za muziki (TMA), zilizokuwa zitolewe leo tarehe 13.12.2025

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza rasmi kuahirishwa kwa hafla ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) 2025, ambayo mwanzo ilikuwa imepangwa kufanyika tarehe 13 Desemba 2025. Kupitia taarifa iliyochapishwa kwenye mitandao ya kijamii ya BASATA, imeelezwa kuwa uamuzi wa kuahirisha...
  12. Yanayoendelea Gaza yanauhusiano ya Mauaji ya Gen Z Tanzania?

    GTs, 1️⃣ Baada ya matukio ya mauaji ya vijana waliokuwa kwenye maandamano kuanzia tarehe 29 Oktoba, Rais Samia alihutubia wazee wa Dar es Salaam. Badala ya faraja na uwajibikaji, hotuba ilibeba maswali na kauli zilizoacha maswali mazito kwa mustakabali wa taifa. 2️⃣ Kauli yake ya “Mbona wao...
  13. Tamko kuhusu JamiiForums kuendelea kuzuiliwa kupatikana nchini Tanzania

    TAARIFA KWA UMMA Mnamo Septemba 6, 2025, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilisitisha Leseni ya Maudhui Mtandaoni ya JamiiForums na kuzuia upatikanaji wa jukwaa kwa siku 90, kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta. Pamoja na kutambua athari kwa haki ya...
  14. GDP ya China mwaka 1970 ndio GDP ya tanzania 2025

    Rasilimali zijawahi kusaidia watu nchi hii na kumbuka china mwaka 1960 ilikuwa GDP ambayo tanzania imefikia kipindi cha 2020. ======================== Hapa ni kulinganisha Pato la Taifa (GDP) la Tanzania na China kwa kipindi cha miaka mingi. Pato la Taifa la China (1960-2025): 1. 1960: $59.72...
  15. PostGE2025 Namba hazidanganyi, lakini Tanzania zinadanganya

    Wadau, Tuna msemo maarufu: "Namba Hazidanganyi." Kwenye nchi yoyote, takwimu (data) ndiyo msingi wa uhalali (legitimacy). Lakini ukiangalia Takwimu za Uchaguzi wa Oktoba 2025 na Takwimu za Watu (Sensa 2022) na Hali ya Mtaani (MO29, D9), nabaki na swali: Je, Tanzania tumeamua kukanusha Sayansi...
  16. Kama M23 wamefika Uvira, kumbuka Burundi ni kama Tanzania iliyojifia basi Kigoma kuwa mbioni

    Tuanze kwanza M23 ni wa kina nani?. Kuna historia kubwa zimeongelewa hapa JF kuhusu Congo, Rwanda na mambo yanayoendelea. Nasema haya sababu hata Mwigulu alishatuambia tukimbilie Burundi na idara ya uhamiaji kama Mtanzania uwezi kupewa kesi uraia zaidi ya Burundi. Kwa Burundi ndio nchi ambayo...
  17. Tanzania ya Sasa: Jamii, siasa na wanasiasa

    Sote twafahamu msingi wa taifa hili toka hapo awali nisingependa sana kugusia mambo ya kale japo vya kale ni dhahabu lakini kwa muktadha wa mada hii nitaangazia mambo ya sasa.. Si jambo geni ama la ajabu kuona migomo na maandamano katika taifa lolote lile lakini sikuzote jamii ndio hushawishi...
  18. PostGE2025 CHADEMA yatangaza kutoitambua Serikali ya Tanzania

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kutoitambua serikali ya Tanzania iliyozaliwa na uchaguzi wa Oktoba 29, 2025, ikidai kuwa uchaguzi huo uligubikwa na ukiukwaji wa haki, sheria na misingi ya demokrasia. Katika taarifa yao kwa umma iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA...
  19. Bunge la Ulaya lituletee azimio la kulaani vifo wakati wa ukoloni Tanzania

    Tanzania inahitaji fidia kutoka kwa mabeberu yaliyochota mali na kuchukua watu utumwani. Hii ni sambamba na kutoa idadi kamili ya maafa yaani waliouawa kwa mijeledi na kunyongwa nyakati za ukoloni
  20. K

    PostGE2025 CHADEMA: Tanzania iwekewe vikwazo vya kuuziwa silaha kwani zinatumika kuwaua wananchi wanaodai utawala wa misingi ya haki na kupinga utekaji

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo na vyombo vya habari Desemba 11, 2025 amesema chama hicho kinaomba Jumuiya za kimataifa kuiweea Tanzania vikwazo vya kuuziwa silaha kwa sababu silaha hizo zinatumika kuuwa wananchi wasio na silaha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…