Ahmed Khalfan Ghailani (Arabic: أحمد خلفان الغيلاني, Aḥmad Khalifān al-Ghaīlānī) is a Tanzanian conspirator of the al-Qaeda terrorist organization convicted for his role in the bombing of embassies in Kenya and Tanzania. He was indicted in the United States as a participant in the 1998 U.S. embassy bombings. He was on the FBI Most Wanted Terrorists list from its inception in October 2001. In 2004, he was captured and detained by Pakistani forces in a joint operation with the United States, and was held until June 9, 2009, at Guantanamo Bay detention camp; one of 14 Guantanamo detainees who had previously been held at secret locations abroad. According to The Washington Post, Ghailani told military officers he is contrite and claimed to be an exploited victim of al-Qaeda operatives.Ghailani was transported from Guantanamo Bay to New York City to await trial in the United States District Court for the Southern District of New York in June 2009. When the case came to trial, the judge disallowed the testimony of a key witness. On November 17, 2010, a jury found him guilty of one count of conspiracy, but acquitted him of 284 other charges including all murder counts. Critics of the Obama administration said the verdict proves civilian courts cannot be trusted to prosecute terrorists because it shows a jury might acquit such a defendant entirely. Supporters of the trial have said that the conviction and the stiff sentencing prove that the federal justice system works.On January 25, 2011, U.S. District Judge Lewis A. Kaplan, the presiding judge in the case, sentenced Ghailani, believed to be 36 years old at the time, to life in prison for the bombing, stating that any suffering Ghailani experienced at the hands of the CIA or other agencies while in custody at Guantanamo Bay pales in comparison to the monumental tragedy of the bombings of the U.S. embassies in Kenya and Tanzania in 1998, which killed 224 people, including 12 Americans, and left thousands injured or otherwise impacted by the crimes. The attacks were one of the deadliest non-wartime incidents of international terrorism to affect the United States; they were on a scale not surpassed until the September 11 attacks three years later. Ghailani, who had said he was never involved and did not intend to kill anyone, had been portrayed as cooperating with investigators - yielding information wanted by investigators- and as remorseful by his defense counsel, but that argument of relative non-involvement or remorse was not accepted. He is the fifth person to be sentenced. Four others were sentenced to life in prison in a 2001 trial in Manhattan federal court. Osama bin Laden was also named in the indictment.
Hakuna Tena kujificha kama unatumia mtandao wa X jua utaweza kutambuliwa😎.
Mtandao wa X (Twitter) imeanza kufanya majaribio ya kuweka kipengele kipya kinaitwa "About this Account" ikiwa na uwezo wa kuonyesha Taarifa nyingi za akaunti Yako.
Taarifa mbalimbali zittaweza kuonyeshwa kuhusu...
Katika taarifa inayoenea mtandaoni wizara ya viwanda na biashara imepga marufuku baadhi ya biashara kufanywa na wageni, Je sisi km vijana wa kitanzania tumejiandaa vp kuziba nafasi hzo au sisi kazi yetu kulalamika tu
Katika mfumo wa utawala wa kidemokrasia mathalani nchini Tanzania, vyama vya siasa vina nafasi ya kipekee katika kuongoza mchakato wa kisiasa na kutoa dira ya maendeleo kwa taifa. Hata hivyo, hali ya sasa ni ya hatari Kwa sababu misimamo ya ndani ya vyama hususani chama Cha mapinduzi, maarufu...
Wote tunakumbuka kipindi kile ukitokea we ni mpinzani unawindwa na akinq sabaya na makonda kwa maagizo ya yule nduli.
Alifunga mikutano yote ya chadema kwa kuwahofia na hakuwa anapenda kabisa siasa ndo mana nchi iliongozwa kwa uongo mwingi mana hakukuwa na mkosoaji na aliogopa hilo
Mama...
Kwa Tanzania mataifa jirani yanayotunguza taifa ambalo kwa undugu wa damu wa makabila tunao share kwa wingi zaidi na Kenya hivyo kulifanya kuwa taifa ndugu yetu zaidi kuliko wengine, hata kama hatupendani kuliko hao wengine.
Makabila yanayopatikana Kenya na Tanzania ni mengi zaidi kuliko ya...
Salaam Wakuu,
Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea walishuhudia utiaji saini wa Mkataba wa Ushirikiano wa Uchumi (EPA).
Mkataba ambao utaiwezesha Tanzania kupokea mkopo kutoka Korea wa kiasi cha Dola za...
NBC News wametangaza kifo cha Dame Maggie Smith, kilichothibitishwa na watoto wake na mratibu wa habari. Wanawe, Chris Larkin na Toby Stephens, walitoa taarifa ya pamoja wakisema:
"Kwa huzuni kubwa tunatangaza kifo cha Dame Maggie Smith. Alifariki kwa amani hospitalini mapema leo asubuhi."...
Tangu July, 2015 wakati wa utawala wa Rais Kikwete kima cha chini cha Pensheni za wastaafu hakijawahi kuongezwa kutoka Tsh. 100,000/=.
Tokea 2023 Waziri Mwigulu amekuwa akiongelea zoezi la mapitio ya mifuko ya pensheni na kuwapa matumaini kwamba jambo hili linafanyiwa kazi lkn tumeona juzi...
Andiko linausu Tanzania tuitakayo
Tanzania tuitakayo iwe bora katika mambo yafuatayo ni lazima tuifanyie mabadiliko katika sehemu zifuatazo ambazo ni.
Afya: Tanzania kma nchi ni lazima tufanye mabadiliko katika sekta hii ya afya hili tumpunguze adui mkubwa wa umasikini ambaye ni magonjwa...
Serikali ya Rwanda imetia saini hapo jana makubaliano na shirika kutoka mataifa ya Canada na Ujerumani, ili kuanzisha ujenzi wa kinu cha nyuklia ambacho kitakuwa tayari kwa majaribio ifikapo mwaka 2026.
Ujenzi wa Kinu cha Nyuklia mjini Kurchatov, Urusi:02.11.2022
Mkurugenzi Mtendaji wa...
Habari zenu Wana jukwaa, imani yangu sote tuko wazima wa afya njema na kwa wale walio na changamoto ya afya mungu awasaidie waweze kupona na kuendelea na majukumu ya kila siku.
Watanzania hivi mnaamini kwamba maendeleo yanapatika Kwa urais kama mnavyodhani? Mnaamini kwamba ili uweze kuwa...
Wakuu habari zenu , naomba msaada wenu juu ya suala zima la soko la maziwa nchini Tanzania na hata nje ya mipaka ya Tanzania kwa mwenye details zozote zinazoweza kuwa msaada kwangu tafadhali tusaidiane.
Dunia hii ukiona mtu mweusi anatembea kibabe na kujiamini basi ni aidha Black Amerikan au Mtanzania hayo ni maneno ya mgeni mmoja alieyeitembea Dunia ikiwemo Tanzania pia.
Globalist kaogopa, katishwa na Tanzania, sisi ndiyo nchi pekee ambayo ilikuwa haipindiki kama mti wa mpingo, Elimu ya...
HATIMA YA UCHUMI NCHINI TANZANI
andiko hili lina sehemu tatu,
sehemu ya kwanza inaelezea maana ya uchumi
sehemu ya pili, inaelezea mifano ya baadhi ya taasisi mamlaka zinazofanya vizuri kwenye maeneo yao ya utendaji
sehemu tatu, inaelezea pendekezo la nini kifanyike Ili kuwa na Uchumi imara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.